WAZIRI MKUU, KASSIM MAJALIWA, AKUTANA NA KAMATI YA KITAIFA YA URATIBU WA MAPAMBANO DHIDI YA UGONJWA WA HOMA KALI YA MAPAFU (COVID - 19)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza, kwenye kikao cha Kamati ya Kitaifa ya Uratibu wa Mapambano dhidi ya Ugonjwa wa Homa kali ya Mapafu (COVID - 19), kilichofanyika katika, ukumbi wa Hazina, jijini Dodoma, Aprili 14, 2020.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiteta na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu, kwenye kikao cha Kamati ya Kitaifa ya Uratibu wa Mapambano dhidi ya Ugonjwa wa Homa kali ya Mapafu (COVID - 19), kilichofanyika katika, ukumbi wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-pXg7QD6hp_o/XpYMx-edcmI/AAAAAAALm9E/rUm0vVzOyNwu4NZlD9Cdk_biiPAQm3seQCLcBGAsYHQ/s72-c/a32fea49-41f9-4f60-927e-a169d5e5a28b.jpg)
WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AKUTANA NA KAMATI YA KITAIFA YA URATIBU WA MAPAMBANO DHIDI YA UGONJWA WA HOMA KALI YA MAPAFU (COVID – 19)
![](https://1.bp.blogspot.com/-pXg7QD6hp_o/XpYMx-edcmI/AAAAAAALm9E/rUm0vVzOyNwu4NZlD9Cdk_biiPAQm3seQCLcBGAsYHQ/s640/a32fea49-41f9-4f60-927e-a169d5e5a28b.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/PMO_1779-1024x683.jpg)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiteta na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu, kwenye kikao cha Kamati ya Kitaifa ya Uratibu wa Mapambano dhidi ya Ugonjwa wa Homa kali ya Mapafu (COVID – 19), kilichofanyika katika, ukumbi wa Hazina, jijini Dodoma, Aprili 14, 2020.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/PMO_1799-1024x585.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/PMO_1785-1024x546.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-r96SQNRyHyc/XlpfpskMB2I/AAAAAAALgFM/HPvEWQv3fo0I4P8iiwqFykHoVW6x7p2WwCLcBGAsYHQ/s72-c/1-72.jpg)
WAZIRI WA AFYA ATOA TAARIFA KUHUSU MWENENDO WA UGONJWA WA HOMA KALI YA MAPAFU (COVID-19) NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-r96SQNRyHyc/XlpfpskMB2I/AAAAAAALgFM/HPvEWQv3fo0I4P8iiwqFykHoVW6x7p2WwCLcBGAsYHQ/s640/1-72.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/2-60.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-z-egHoIE3WI/Xp595q655nI/AAAAAAALnpg/E5VBg3zmscEIdJFuGGF8q1YeIdhbyj7AQCLcBGAsYHQ/s72-c/afya.jpg)
WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA KUONGOZA MAOMBI YA KITAIFA DHIDI YA JANGA LA CORONA KESHO JIJINI DAR ES SALAAM
![](https://1.bp.blogspot.com/-z-egHoIE3WI/Xp595q655nI/AAAAAAALnpg/E5VBg3zmscEIdJFuGGF8q1YeIdhbyj7AQCLcBGAsYHQ/s1600/afya.jpg)
Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto kwa kushirikiana na Viongozi wa madhehebu ya Dini nchini, imeandaa maombi maalum Kitaifa kuiombea Nchi dhidi ya maambukizi ya homa kali ya mapafu inayotokana na Virusi vya Corona.Kwa mujibu wa taarifa ya Wizara, Maombi hayo yatakayoongozwa na Viongozi Wakuu wa madhehebu ya Dini nchini, yatafanyika Jumatano tarehe 22 Aprili, 2020 katika Viwanja vya Karimjee Jijini Dar Es Salaam, kuanzia Saa 3.00 Asubuhi ambapo Mgeni Rasmi atakuwa...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-NZLstfs29UY/XnknKyw-yFI/AAAAAAAAnLU/MiNG_NXvYHQi-gTSb4mlJe0jNDPrgvpQwCEwYBhgL/s72-c/bdbe85ca-8a79-4107-a625-5123ab4c33bf.jpg)
KATA YA KIVUKONI CCM YAKABIDHI VIFAA NA SABUNI KUJILINDA NA UGONJWA WA HOMA KALI YA MAPAFU YANAYOSABABISHWA NA VIRUSI VYA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-NZLstfs29UY/XnknKyw-yFI/AAAAAAAAnLU/MiNG_NXvYHQi-gTSb4mlJe0jNDPrgvpQwCEwYBhgL/s640/bdbe85ca-8a79-4107-a625-5123ab4c33bf.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-L1ELeoFJr-I/XnknJoIL0CI/AAAAAAAAnLM/ilnpUWk2sao6FKTaqtROO4MTPQWfVCMzgCEwYBhgL/s640/2b352534-c708-417a-b94b-34e3573c55f8.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-tCx0BO58ZqA/Xp5-RBZE3OI/AAAAAAAC3mE/SGEBm89KV0IkDyPNqDrKOWHUnmQ9_yeOACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200421_073800.jpg)
WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA KUONGOZA MAOMBI YA KITAIFA KESHO APR 22, 2020
![](https://1.bp.blogspot.com/-tCx0BO58ZqA/Xp5-RBZE3OI/AAAAAAAC3mE/SGEBm89KV0IkDyPNqDrKOWHUnmQ9_yeOACLcBGAsYHQ/s400/IMG_20200421_073800.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-6CJr5l9U7ug/Xp6BXaodQHI/AAAAAAAC3mc/ml2tGb9WeIQaPQT5C_w3V3D2jXlTiin9wCLcBGAsYHQ/s400/20200421_081327.png)
Maombi hayo yatakayoongozwa na Viongozi Wakuu wa madhehebu ya Dini nchini, yatafanyika Jumatano tarehe 22 Aprili, 2020 katika Viwanja vya Karimjee Jijini Dar Es Salaam, kuanzia Saa 3.00 Asubuhi ambapo Mgeni Rasmi atakuwa Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa...
9 years ago
Michuzi14 Dec
WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AKUTANA NA KADHI MKUU WA TANZANIA
![0d766169-dd05-48f7-8eb5-58506ff0a6c4](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/0d766169-dd05-48f7-8eb5-58506ff0a6c4.jpg)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Kadhi Mkuu wa Tanzania, Abdallah Mnyasi, ofisini kwake jijini Dar es salaam Desemba 14, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/jwY6YVd6P7c/default.jpg)
9 years ago
CCM Blog![](http://3.bp.blogspot.com/-slj5kZenQ3E/VmG0l_MVMzI/AAAAAAAA1b4/FHGu_bGtYuo/s72-c/1.jpg)
PICHA RASMI ZA WAZIRI MKUU MAJALIWA KASSIM MAJALIWA NA MKEWE MAMA MARY MAJALIWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-slj5kZenQ3E/VmG0l_MVMzI/AAAAAAAA1b4/FHGu_bGtYuo/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Vd0xHojhppo/VmG0lexvtUI/AAAAAAAA1b0/iW1seV--6-0/s640/2.jpg)
9 years ago
Dewji Blog19 Nov
Breaking News: Waziri Mkuu mteule ni Kassim Majaliwa Kassim!
Kassim Majaliwa
Tayari dakika chache zilizopita kutoka ndani ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Rais Dk, John Pombe Magufuli ametuma jina la Waziri Mkuu, ambaye ni Kassim Majaliwa aliyekuwa Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).
Jina hilo limefikishwa kwa mbwembwe likiwa ndani ya bahasha tatu huku likiwa limeandikwa kwa mkono. Kwa hatua hiyo sasa Bunge limeenda mapumziko na dakika chache kutoka sasa litarejea kwa ajili ya kupigia kura na wabunge...