WAZIRI MKUU MSTAAFU FREDRECK SUMAYE AONDOKA CCM NA KUJIUNGA NA UKAWA
Waziri Mkuu mstaafu, Fredreck Sumaye (kushoto), akizungumza na wanahabari wakati akitangaza kujiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), leo mchana.
Waziri Mkuu mstaafu, Fredreck Sumaye (kulia), akipeana mkono na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe Dar es Salaam leo mchana, baada ya kujiunga na chama hicho. Anayeshuhudia katikati ni Mgombea urais wa Tanzania kupitia chama hicho, Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa.
Sumaye akisisitiza jambo
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo22 Aug
Dakika 15 za Waziri Mkuu Mstaafu Frederick Sumaye alivyotangaza kujiunga UKAWA.. (+Audio)
![UKAWA II](http://i2.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/08/UKAWA-II.jpg?resize=509%2C286)
9 years ago
VijimamboPICHA WAZIRI MKUU MSTAAFU ALIPOTANGAZA KUHAMA KUJIUNGA UKAWA MAPEMA LEO
9 years ago
Mzalendo Zanzibar22 Aug
Breaking News: Sumaye Ajivua CCM rasmi na kujiunga n UKAWA
Habari tulizozipata live kutoka kituo cha ITV ni kwamba Waziri wa zamani wa serikali ya Mkapa, ameamua rasmi kujitoa CCM baada ya kutotendewa haki na chama hicho. ” Sijiungi na upinzani kwa maslahi binafsi,sitaki cheo,sijachukua pesa, […]
The post Breaking News: Sumaye Ajivua CCM rasmi na kujiunga n UKAWA appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Mwananchi25 Apr
Fredrick Sumaye Waziri Mkuu mstaafu
10 years ago
Michuziwaziri mkuu mstaafu,mh sumaye mgeni rasmi mahafali ya 13 ya RCT.
10 years ago
MichuziWAZIRI MKUU MSTAAFU FREDERICK SUMAYE ATANGAZA NIA YA KUWANIA URAIS
11 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-Sl91s7l1XHg/UuDgKHipXtI/AAAAAAACZGM/g-Doig9RQl4/s1600/1.jpg)
WAZIRI MKUU MSTAAFU SUMAYE ATEMBELEA CLOUDS MEDIA GROUP LEO
11 years ago
Dewji Blog04 Aug
Waziri Mkuu Mstaafu Fredrick Sumaye azindua Albam ya “Shikilia Pindo la Yesu” ya Rose
Waziri Mkuu mstaafu Mh. Fredrick Sumaye akikata utepe wakati akizindua rasmi albam ya Rose Muhando mwimbaji wa muziki wa injili inayoitwa Shikilia Pindo la Yesu katika onesho kubwa la uzinduzi lililofanyika kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam leo likihudhuriwa na maelefu ya washabiki wa muziki wa injili, ambapo waimbaji mbalimbali wameshiriki katika uzindzi huo wakiwemo Ephraim Sekereti Kutoka Zambia, Sara K. kutoka Kenya , Upendo Kilahiro, Upendo Nkone John Lisu na...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-laxXJRJSMIk/VS4frc57gjI/AAAAAAADiaE/IaJWdN39da4/s72-c/FullSizeRender%2B(9).jpg)
WAZIRI MKUU MSTAAFU FREDERICK SUMAYE ATEMBELEA UWAKILISHI WA KUDUMU WA TANZANIA UMOJA WA MATAIFA NEW YORK
![](http://3.bp.blogspot.com/-laxXJRJSMIk/VS4frc57gjI/AAAAAAADiaE/IaJWdN39da4/s1600/FullSizeRender%2B(9).jpg)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10