WAZIRI NDALICHAKO AZITAKA SHULE KUACHA KUTUMIA CORONA KAMA KITEGA UCHUMI
![](https://1.bp.blogspot.com/-XsWL1GK5kh8/Xs_YcZdiprI/AAAAAAALr6o/nnwv54saTQskQOiIZ4RKBv8Rio2OQPlnQCLcBGAsYHQ/s72-c/f99570fe-a57d-4ba3-8c22-c1a79937cffe.jpg)
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Joyce Ndalichako, amezitaka Shule kuacha kutumia ugonjwa wa Covid-19 kama kitega uchumi kwa kuagiza fedha za ziada kutoka kwa wazazi; na kuwa Serikali itachukua hatua kwa shule zinazofanya hivyo ikiwa ni pamoja na kuzifutia usajili.
Waziri Ndalichako ametoa agizo hilo jijini Dodoma alipozungumza na Vyombo vya Habari kuhusu Mwongozo wa Kudhibiti Maambukizi ya Ugonjwa wa Corona (Covid-19) katika Vyuo na Taasisi za Elimu nchini uliotolewa na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziTAASISI YA AMANI TANZANIA YAWATAKA WANASIASA KUACHA KUTUMIA JANGA LA CORONA KAMA MTAJI WA KISIASA, WAUNGA MKONO HOTUBA YA RAIS MAGUFULI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-EolbNZRjHAw/XuZJJLCJoYI/AAAAAAALt1E/xRWzuZYgTiQTIL09y7pCu8ny8tBX6cM4wCLcBGAsYHQ/s72-c/e347af0a-2424-428d-9c7f-24389b7063fa.jpg)
WAZIRI UMMY AZITAKA HOSPITALI ZOTE NCHINI KUACHA KUWADAI DAMU WAGONJWA KABLA YA HUDUMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-EolbNZRjHAw/XuZJJLCJoYI/AAAAAAALt1E/xRWzuZYgTiQTIL09y7pCu8ny8tBX6cM4wCLcBGAsYHQ/s640/e347af0a-2424-428d-9c7f-24389b7063fa.jpg)
Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu akizungumza katika kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Wachangia Damu Duniani ambayo kitaifa yamefanyika katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma mapema leo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/f84cd3f6-1b00-405c-b949-edc70fcf36bc.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/6cffadbb-902a-4893-9c86-cc8ad1aa2912.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/--6prYHRXREw/XnxTBogcL2I/AAAAAAALlD8/KA-WMwzU7b4P3WNagOdlf9-EEWhVw5Q0wCLcBGAsYHQ/s72-c/f44510c6-858d-4218-a8c0-5a74541ce1c4.jpg)
WAZIRI NDALICHAKO AAHIDI KUUNGA MKONO JUHUDI ZA WABUNGE UJENZI WA SHULE MAALUM YA SEKONDARI WASICHANA JIJINI DODOMA.
Profesa Ndalichako ametoa ahadi hiyo alipotembelea shule hiyo akiongozana na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Job Ndugai ili kujionea maendeleo ya ujenzi huo ambapo amesema Wizara itatoa mchango...
10 years ago
Mwananchi20 Aug
Dk Nagu azitaka taasisi za fedha kuacha ukiritimba
10 years ago
Mwananchi20 Oct
Sugu ataka michezo iwe kitega uchumi
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-DeQVVNCUV0c/VNhTN8sZZ9I/AAAAAAAHChQ/CqtVKajtIj4/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-02-09%2Bat%2B9.25.27%2BAM.png)
JK KUZINDUA JENGO LA KITEGA UCHUMI LA NSSF KILIMANJARO
![](http://1.bp.blogspot.com/-DeQVVNCUV0c/VNhTN8sZZ9I/AAAAAAAHChQ/CqtVKajtIj4/s1600/Screen%2BShot%2B2015-02-09%2Bat%2B9.25.27%2BAM.png)
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Jakaya Kikwete leo anatarajia kuanza ziara ya kikazi ya siku mbili mkoani Kilimanjaro ambapo miongoni mwa shughuli anazotazamiwa kufanya ni pamoja nakufungua jengo la kitega uchumi la Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii(NSSF).
Mbali na ufunguzi huo Rais Kikwete pia anatarajia kufungua jengo la Upasuaji na kuweka jiwe la msingi katika jengo la wodi ya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/p9piKYn1mVJ40vVck05ZR4WWKFokZNm2NeaU3OpcAa70omaLXQ0etXm4ErHj70yL76suS1gX-YXwsdh9d8T*cpcHK7Yb9yYb/unnamed45.jpg?width=650)
JK AFUNGUA JENGO LA NSSF LA KITEGA UCHUMI MOSHI
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-iez95n4qv-I/VNpTrNubMzI/AAAAAAAHC7g/BgkEQ2yLgIE/s72-c/unnamed%2B(45).jpg)
JK afungua jengo la NSSF la kitega uchumi Moshi
![](http://3.bp.blogspot.com/-iez95n4qv-I/VNpTrNubMzI/AAAAAAAHC7g/BgkEQ2yLgIE/s1600/unnamed%2B(45).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Vyb7iGA2myw/VNpTrDkP9gI/AAAAAAAHC7o/oWcrJW_juzw/s1600/unnamed%2B(46).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-tKOJjZ0XVqQ/VNpTrHSUYFI/AAAAAAAHC7k/rGvO3ZeEayI/s1600/unnamed%2B(47).jpg)
5 years ago
BBCSwahili15 Jun
Corona: India kutumia mabehewa 500 ya treni kama vyumba vya wagonjwa