Waziri wa Afya afungua Mkutano Mkuu wa 15 wa Prinmat 2014
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii,Dkt. Seif Rashid (mb) akifurahia jambo baada ya kupata kauli mbiu ya Mkutano Mkuu wa 15 wa Prinmat 2014 isemayo,uimarishwaji wa uhai baina ya sekta ya Umma na Sekta binafsi (PPP) ni njia nzuri ya kufikisha huduma za Afya kwa wananchi Wengi.
Wajumbe na wanachama wa PRINMAT wakishiriki Kuimba Wimbo wa chama chao,mkutano huu wa siku nne(4) wa wauguzi na wakunga walio katika huduma binafsi unakuja na kwa lengo la kuweka mikakati ya kuboresha huduma hizi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-aUrjaSbgWbg/Ux1x7aZYIRI/AAAAAAAFShs/m6i6CAitofQ/s72-c/unnamed+(64).jpg)
WAZIRI WA AFYA NA USTAWI WA JAMII Dkt.SEIF S.RASHID(Mb) AFUNGUA MKUTANO MKUU WA 15 WA PRINMAT 2014
![](http://3.bp.blogspot.com/-aUrjaSbgWbg/Ux1x7aZYIRI/AAAAAAAFShs/m6i6CAitofQ/s1600/unnamed+(64).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-aWwP03vpddo/Ux1x8Ubf_eI/AAAAAAAFSh0/Ma4qB5izfS0/s1600/unnamed+(61).jpg)
10 years ago
MichuziWAZIRI MKUU PINDA AFUNGUA MKUTANO WA BRN DODOMA
Waziri Mkuu Pinda ameyasema hayo leo (Jumatano) mjini hapa wakati wa hotuba yake fupi ya ufunguzi wa Mkutano wa siku tatu wa watendaji hao kujitathmini katika utekelezaji wa miradi ikiwemo miradi ya elimu iliyoko chini ya BRN. Mkutano huo umeandaliwa na Ofisi ya Waziri Mkuu – TAMISEMI.
BRN ni...
10 years ago
MichuziWAZIRI MKUU AFUNGUA MKUTANO WA KIMATAIFA WA TATHMINI YA BRN
10 years ago
VijimamboWAZIRI WA AFYA NA USTAWI WA JAMII DKT. SEIF RASHID AFUNGUA MKUTANO WA MADAKTARI DAR ES SALAAM LEO
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-FaP54a4LPEg/VXl4FaKDWZI/AAAAAAAAKpU/e17IvH-AAgo/s72-c/unnamed%2B%25283%2529.jpg)
WAZIRI BERNARD MEMBE AFUNGUA MKUTANO MKUU WA UMAKI ZANZIBAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-FaP54a4LPEg/VXl4FaKDWZI/AAAAAAAAKpU/e17IvH-AAgo/s640/unnamed%2B%25283%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-xBj26Bv1Jxk/VXl4FX5G8WI/AAAAAAAAKpY/ADOpjxhLf5A/s640/unnamed%2B%25284%2529.jpg)
11 years ago
Dewji Blog23 Jul
Waziri Mkuu Mizengo Pinda afungua Mkutano wa Tathmini ya Utekelezaji wa BRN
Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania, Prof. Benno Ndulu akichangia hoja wakati wa mkutano wa kupitia taarifa ya mwaka mmoja ya utekelezaji wa Mpango wa Matokeo Makubwa sasa (BRN) uliofanyika leo Jumatano Julai 23, 2014 katika ukumbi wa Mwalimu Nyerere Jijini Dar es Salaam. Kulia ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji na Umwagiliaji Mhandisi, Bashir Mrindoko.
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue akichangia hoja wakati mkutano wa kupitia...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Exn3KO9emg0/VXl7pygA-XI/AAAAAAABhgc/7mhlsuScKEo/s72-c/1.jpg)
WAZIRI BERNARD MEMBE AFUNGUA MKUTANO MKUU WA UMOJA WA AKINAMAMA WA KIKRISTO, ZANZIBAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-Exn3KO9emg0/VXl7pygA-XI/AAAAAAABhgc/7mhlsuScKEo/s640/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-z6v1f_Tcol4/VXl7rILsVpI/AAAAAAABhgo/ws_RbFSGDxg/s640/2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-5Jw7C-JqfUc/VXl7rOQwW8I/AAAAAAABhgk/SpN0SDr7AfQ/s640/2A.jpg)
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe (wa pili kulia), akipata maelezo kuhusu bidhaa za ujasiriamali za kikundi cha Umoja wa Kinamama wa Kikristo (UMAKI) wa Kanisa Angikana Dayosisi ya Zanzibar,...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-BHoGpTigQJo/VAB_z9fONDI/AAAAAAAGT0c/1ThdQg81Pe4/s72-c/unnamed%2B(64).jpg)
WAZIRI MKUU,MIZENGO PINDA AFUNGUA MKUTANO WA MAWAZIRI WA MAZINGIRA JIJINI DAR LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-BHoGpTigQJo/VAB_z9fONDI/AAAAAAAGT0c/1ThdQg81Pe4/s1600/unnamed%2B(64).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/--x9B1wA6kY0/VAB_1o_HddI/AAAAAAAGT0w/sa97IT-f8KE/s1600/unnamed%2B(65).jpg)