WAZIRI WA KAZI NA AJIRA, GAUDENSIA KABAKA, AZINDUA BODI YA WAFHAMINI MFUKO WA FIDIA KWA WAFANYAKAZI, WCF
![](http://1.bp.blogspot.com/-9YemaKultvw/VeqdibmCkeI/AAAAAAAAYuA/WyDimvPjGaI/s72-c/p2.jpg)
Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudensia Kabaka, (kulia), akiongozana na Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi, (WCF), Masha Mshomba, wakati wakichukua nafasi zao kwenye uzinduzi wa Bodi ya Wadhamini ya Mfuko huo, jijini Dar es Salaam, Septemba 4, 2015. Waziri Kabaka alizindua bodi hiyo itakayoongozwa na Mwenyekiti wake, Bw. Emmanuel Humba
Waziri Kabaka akitoa hotuba ya uzinduzi wa Bodi hiyo
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog06 Sep
Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudentia Kabaka, azindua bodi ya wadhamini mfuko wa fidia kwa wafanyakazi, WCF
![](http://1.bp.blogspot.com/-9YemaKultvw/VeqdibmCkeI/AAAAAAAAYuA/WyDimvPjGaI/s640/p2.jpg)
Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudentia Kabaka, (kulia), akiongozana na Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi, (WCF), Masha Mshomba, wakati wakichukua nafasi zao kwenye uzinduzi wa Bodi ya Wadhamini ya Mfuko huo, jijini Dar es Salaam, Septemba 4, 2015. Waziri Kabaka alizindua bodi hiyo itakayoongozwa na Mwenyekiti wake, Bw. Emmanuel Humba.
![](http://1.bp.blogspot.com/-QT_uGsvJYkM/VeqdivWSdiI/AAAAAAAAYuE/ucaZFMMm9ag/s640/p3.jpg)
Waziri Kabaka akitoa hotuba ya uzinduzi wa Bodi hiyo.
![](http://4.bp.blogspot.com/-IqUE8j0ZlNk/VeqdgyXP_pI/AAAAAAAAYt4/FyCIDolW_bg/s640/p4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-tyDWKggX3eU/Veqdo6K7LsI/AAAAAAAAYuQ/7xd3z0KAHR4/s640/p5.jpg)
Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini Bw. Emmanuel Humba akipokea chati cha usajili wa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-S6DLFIpt0QY/VWSIPTa991I/AAAAAAAHaBI/Wo1_NCrseow/s72-c/1.jpg)
WAZIRI WA KAZI NA AJIRA,GAUDENSIA KABAKA AZINDUA BARAZA LA WAFANYAKAZI LA NHIF ARUSHA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-S6DLFIpt0QY/VWSIPTa991I/AAAAAAAHaBI/Wo1_NCrseow/s640/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Jg1It2GNhbo/VWSIPcnESJI/AAAAAAAHaBM/V0X2CnP-_b4/s640/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-qRxrakgm6ZI/VWSIPX52GQI/AAAAAAAHaBQ/7yr6_VhKTHk/s640/3.jpg)
10 years ago
Michuzi12 Feb
10 years ago
Dewji Blog23 Jul
Mfuko wa fidia kwa wafanyakazi (WCF), wakutana na wahariri, Dar
![](http://2.bp.blogspot.com/-09OJehHiW3c/Va-eAnARGII/AAAAAAAAWgI/tvnhQZItQ9M/s640/Masha%2BMshomba_DGWCF4.jpg)
MKURUGENZI Mkuu wa kwanza wa Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi, (WCF), Masha Mshomba, akiwasilisha mada wakati wa warsha iliyoandaliwa na Mfuko huo kwa Wahariri kwenye Hoteli ya Court Yard jijini Dar es Salaam, Julai 22, 2015
Na K-VIS MEDIA
MFUKO wa Fidia Kwa Wafanyakazi, (WCF), umekutana na Wahariri wa vyombo vya Habari nchini, kwenye Hoteli ya Court Yard jijini Dar es Salaam, Julai 22, 2015, kwa nia ya kujitambulisha na kuelezea mikakati yake ya kiutendaji na majukumu iliyo...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-D4iCphaSuUg/Va-eBsSa1EI/AAAAAAAAWgQ/57YaYVF7Cqw/s72-c/Masha%2BMshomba_DG%2BWFC.jpg)
MFUKO WA FIDIA KWA WAFANYAKAZI (WCF), WAKUTANA NA WAHARIRI, DAR ES SALAAM
![](http://2.bp.blogspot.com/-D4iCphaSuUg/Va-eBsSa1EI/AAAAAAAAWgQ/57YaYVF7Cqw/s640/Masha%2BMshomba_DG%2BWFC.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-vhYz8IeQUPI/Va-eCLWrIVI/AAAAAAAAWgU/BMqu-H2F8HQ/s640/Irine%2BIsaka_DGSSRA2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-94b-TIiWNww/Va-eH5Z8NUI/AAAAAAAAWgo/v9Fl-UgF2Vg/s640/Shemax.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-qplRbticTzk/Va-eJEbhTLI/AAAAAAAAWgw/bx81jeCAGXE/s640/Steven%2BChuwa_Scolastica%2BMazula.jpg)
11 years ago
GPLWAZIRI WA KAZI NA AJIRA MH. GAUDENTIA KABAKA ATEMBELEA BANDA LA GEPF NA KUSIFU UBUNIFU WA MFUKO WA GEPF KATIKA KUTOA HIFADHI YA JAMII KWA WAJASIRIAMALI
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-nvQ3gcSvOTo/VeqNxya1ztI/AAAAAAAH2dA/vU3_rz7W0L8/s72-c/New%2BPicture.png)
UZINDUZI WA BODI YA WADHAMINI YA MFUKO WA FIDIA KWA WAFANYAKAZI
![](http://2.bp.blogspot.com/-nvQ3gcSvOTo/VeqNxya1ztI/AAAAAAAH2dA/vU3_rz7W0L8/s320/New%2BPicture.png)
WCF ni Taasisi ya Serikali chini ya Wizara ya Kazi na Ajira iliyoundwa kwa Mujibu wa Kifungu cha 5 cha Sheria ya Fidia kwa Wafanyakazi Na. 20 ya mwaka 2008 ili kushughulikia masuala ya fidia kwa Wafanyakazi waliopo katika Sekta ya Umma na Binafsi Tanzania Bara ambao wataumia, kuugua au kufariki dunia wakiwa katika utekelezaji wa majukumu ya Mwajiri.
Mfuko wa Fidia kwa...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/Untitled1.jpg)
BODI YA WADHAMINI MFUKO WA FIDIA KWA WAFANYAKAZI YAZINDULIWA
10 years ago
Michuzi18 Aug
Waziri Gaudensia Kabaka aipongeza TPB kutoa mikopo kwa wastaafu
![Kutoka kushoto ni Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Posta (TPB), Sabasaba Moshingi, Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudensia Kabaka na baadhi ya viongozi meza kuu wakiwa wameshikana mikono na kuinyanyua juu ikiwa ni ishara ya kuwaunganisha wastaafu kwenye fursa mara baada ya uzinduzi wa mpango maalumu wa kutoa mikopo kwa wastaafu wa Mfuko wa Pensheni wa LAPF leo jijini Dar es Salaam.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/08/IMG_0079.jpg)
![Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudensia Kabaka akizungumza katika uzinduzi wa mpango maalumu wa kutoa mikopo kwa wastaafu wa Mfuko wa Pensheni wa LAPF leo jijini Dar es Salaam.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/08/IMG_0071.jpg)