Wazuia Rushwa Afrika wakutana Arusha
Mwenyekiti wa bodi ya ushauri ya kupambana na maswala ya rushwa katika Umoja wa Afrika kutoka Ghana Mh.Daniel Batidam akizungumza na waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali vya habari jijini Arusha katika ukumbi wa mikutano AICC katika kuangalia jinsi gani wataweza kupambana na kufikia malengo ya kutokomeza Rushwa ndani ya Bara La Africa.(Habari picha na Pamela Mollel wa jamiiblog).
Makamu Mwenyekiti bodi ya ushauri ya kupambana na maswala ya rushwa katika umoja wa Africa...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo11 May
WAKUU WA TAASISI ZA KUZUIA RUSHWA BARANI AFRIKA WAKUTANA ARUSHA KUANGALIA JINSI WATAKAVYOWEZA KUPAMBANA NA KUFIKIA MALENGO YA KUTOKOMEZA RUSHWA NDANI YA BARA LA AFRICA
![SAM_2509](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/9-k5J5k6fm9jZTkuMpDrMhitlwBqEw_7Tpv94yj-R37as0YwVtKE2Cv376zcE5eCeFdx1PuN5OdL4Pf9Y4akzA2LAdr8f35CXyk_QtU9446J_Q4=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/05/sam_2509.jpg)
![SAM_2498](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/iFmxPrDRlg6bKxDo_mmRvhFvNMyonw6Z2OilMaPInkVnjjRupaGxhm8awC7a72tCFbRiea7S1lhvQtncqYkPyrXgxrfBjX46jXjoAcTwhulz8lE=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/05/sam_2498.jpg)
10 years ago
Michuzi11 May
WAKUU WA TAASISI ZA KUZUIA RUSHWA BARANI AFRICA WAKUTANA JIJINI ARUSHA.
Wakuu hao ambao ni wajumbe wa Bodi ya Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa barani Afrika AUABC iliyopo chini ya jumuia ya muungano wa nchi za Afrika ambapo mwenyekiti wa Taasisi ya AUABC Jaji Daniel Batidam amesema kuwa wanatarajia kwa mkutano huu utasaidi kupunguza makali ya Ruswa ndani ya...
9 years ago
StarTV24 Nov
Wawakilishi wa haki za wanawake kanda tano za Afrika wakutana Arusha
Wawakilishi wa wanawake kutoka kanda tano za Afrika wamekutana jijini Arusha dhamira kuu ikiwa ni kupigania haki za wanawake hususani walio kwenye maeneo ya pembezoni kuweza kupata haki ya kumiliki ardhi na rasilimali nyingine za asili.
Wanawake hao kutoka katika kanda za Mashariki,Kaskazini,Kati,Kusini na Magharini mwa Afrika wamesema licha ya kwamba katiba na sheria za nchi nyingi za Afrika zinataja uwepo kwa haki sawa ya umiliki wa rasilimali kati ya wanaume na wanawake lakini kwa...
10 years ago
MichuziVijana wa Jumuiya ya Afrika Mashariki wakutana Arusha kujadili Sera ya Vijana wa EAC
10 years ago
Michuzi28 Apr
WANAFUNZI WA CHUO CHA UALIMU PATANDI WAZUIA BARABARA YA ARUSHA MOSHI KWA SAA MBILI
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/sabas-may10-2013%282%29%281%29.jpg)
kamanda wa polisi mkoa wa ArushaHali ya Sintofahamu imeukumba mji wa Tengeru leo Asubuhi baada ya wanafunzi wa chuo cha ualimu Patandi Kufunga barabara kwa muda wa masaa mawili na kuacha shughuli za maendeleo kusimama kwa muda huku magari ya abiria yanayokwenda katika mikoa ya Kilimanjaro,Tanga na Dar es salaam na mji mdogo wa usa river na maeneo mengine kupata adha hiyo.
Wanafunzi hao walizuia bara bara hiyo wakishinikiza madai yao kusikiliza kwani wameshatoa malalamiko yao kwa uongozi...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--PHe5LdsWVc/VTpv_cXMssI/AAAAAAAHS_c/vN4axDnjy4c/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-04-24%2Bat%2B7.30.30%2BPM.png)
MASPIKA WA AFRIKA MASHARIKI WAKUTANA JIJINI DAR KUJADILI MASUALA MBALIMBALI YANAYOHUSU NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI
Maspika wa Bunge wa Afrika Mashariki wamekutana jijini Dar es Salaam ili kujadili masuala mbalimbali yanayozihusu nchi za Ukanda wa Afrika Mashariki likiwemo suala la Ugaidi pamoja na vurugu zinazotokea ,maendeleo hususan Barani Afrika.
Katika Mkutano huo wenye jina la ‘Jukwaa la Maspika wa Mabunge ya Afrika Mashariki’ulihuduliwa na Maspika wa nchi za Tanzania,Kenya,Uganda, Rwanda pamoja na Spika wa Bunge la Afrika Mashariki(EALA),Mhe.Daniel Kidega....
11 years ago
Habarileo20 Jul
Wabunge Jumuiya ya Madola wakutana Arusha
MKUTANO wa 45 wa Umoja wa Mabunge ya Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika (CPA) unatarajia kufanyika kwa wiki moja kuanza leo jijini hapa, huku masuala ya afya ya mama na mtoto, unyanyasaji wa wanawake na ajira kwa vijana vikiwa ni kipaumbele katika mkutano huo.
11 years ago
Michuzi18 Jun
WADAU WA SEKTA YA MAWASILIANO WAKUTANA ARUSHA
![IMG-20140618-WA0010](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/aDCDfdwJ8YXoXfIzFZsQ5T33LORI5uY2mj-IcvSVq0-QohkwMQrbnM-9aqaF-ULoc4tZo7j3YdxaUog9cdpnNPBNN6fUDWKuj_Dp7SH2FSmFiaUgDo2qo43_78jQRIaZtMI0CpIn3ViQeQ=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/06/img-20140618-wa0010.jpg?w=1254&h=940)
![IMG-20140618-WA0004](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/j5HosH99XxJjQsRFt7CNEujv-tpM79t15EL5v45a3zPJvGuNq5g6auDB7YU7inxfGjdlvO9QPr0ifGGmL5vt2jW3_NNIMkOEs0YvbhJ6VCrGHI-lz7BeH0CdfTaAYb9Eik4DU4_IPgouGQ=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/06/img-20140618-wa0004.jpg?w=1254&h=940)
![IMG-20140618-WA0001](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/f1rdb-x_Mm19x2jQNagEkB5L8GmhAXyFDCxykgVBVGUe9tOSeJvaJldHIDpwWk37dSO6suiI7kvJ2LoaRwgevnl1OGgWJ51-xiB4f5dSj87VqmzVmi_EzkuE_bCxg5o2Az4s_niy3URXAA=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/06/img-20140618-wa0001.jpg?w=1254&h=940)
![IMG-20140618-WA0005](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/MIA3otrOVcxTAOm0Ah7wInonhFG6TfFx_vKY8KXq9ZnfjRtDyxvUHcy183rLM5qrBmCuGQylvtdba8O6S1F0JyNiwh36f7Z9vMptgUcvjNFQCROxmcFpMBkp8oEAwewZL-8euU6YDhRHwQ=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/06/img-20140618-wa0005.jpg?w=1254&h=940)
![IMG-20140618-WA0012](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/qG_3249NkPPkrTk-6tVASvzf5Lx5FvMzKjOcvl5AvHJJdFUZjut-ijo-WTBG31Gj1H7t5fXQISHcgu9WJRLhXbdzjbcyBTh0zaQmOzNQZMo-V0qSF_7KdhAEPGFXsDwMwecOoaG-2oc4FA=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/06/img-20140618-wa0012.jpg?w=1254&h=940)
Wadau zaidi ya mia moja kutoka taasisi za mamlaka ya mawasiliano Afrika Mashariki (EACO} wamekutana jijini Arusha ili kuangalia namna ya...
10 years ago
BBCSwahili30 Jan
Viongozi wa Afrika wakutana Ethiopia