WEMA AMBADILISHA DINI MNAMIBIA
![](http://api.ning.com:80/files/4bIsJDjFjL58frhmnZtFixcEGeqtNp2fwseMkM5FEnsqPx*jN91Z5y1RcmG-mcU9booUzw3909Ojgm30DzPF6DVq9EuStKH1/10899003_132658783757538_1347541536_n.jpg?width=600)
Nyota wa filamu za Bongo, Wema Issac Sepetu akiwa na Mnamibia Luis Munana . YAMETIMIA! Ndoa ya Miss Tanzania 2006 ambaye pia ni nyota wa filamu za Bongo, Wema Issac Sepetu na Mnamibia Luis Munana aliyekuwa mshiriki wa Shindano la Big Brother Hotshots mwaka jana, ipo mbioni huku kijana huyo akibadili dini kutoka Ukristo kwenda Uislam kwa lengo la kuwa dini moja na Wema. Wakifurahia jambo.… ...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*whl3J3XpWS3dUVs-VHOhgyPH2Y-0pp-gfZ872zMmu*fJeQoPklvFLagfQHZOlcyWJ*pSJzfqBfHzpqZ9JVM64-O0H9QwaLQ/THEA.jpg?width=650)
MIKE AMBADILISHA JINA THEA
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cDEmeB8bWGQsTkWOen8NKnYeBLsa2eWVidhFK8*3tmYlUnuUbtBjLdlnWd*MRLi5sQy6aRGQXOr2W2owT2H3dWzALGoZu9XT/idrisnamnamibia1.jpg?width=650)
IDRIS AGEUKA BODIGADI WA MNAMIBIA!
10 years ago
Bongo518 Sep
Mwisho mwampamba na mkewe Mnamibia Meryl wa ‘BBA’ wapata mtoto wao pili wa kiume
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-QGAL97PIhPA/VLpX0nISEgI/AAAAAAAG9-w/giB02-NwJuY/s72-c/DSC_0801.jpg)
VIONGOZI WA DINI WAKEMEA MAOVU YANAYOFANYWA KWA MGONGO WA DINI
Viongozi wa dini za kiislaam na kikristo wamesema dini ni za unyenyekevu na sio za kufanya maovu,ikitokea mtu mmoja katika imani anafanya maovu ni lazima akemewe ndani ya imani yake kwanza.
Wameyasema hayo leo katika kongamano la kujadili madhara ya misimamo mikali ya imani za kidini (Tafkiri) katika jamii na taifa lililofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Lamada jijini Dar es Salaam.
Akizungumza wakati wa kufungua kongamano hilo Katibu wa Taasisi za...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-QU0zdsqrHtY/VSacN4_K5FI/AAAAAAAHP38/smj7f3kpomU/s72-c/unnamed%2B(72).jpg)
Mangula awataka viongozi wa dini wasiwapotoshe wananchi kuhusiana na kuwapo kwa masuala ya dini katika katiba pendekezwa
![](http://4.bp.blogspot.com/-QU0zdsqrHtY/VSacN4_K5FI/AAAAAAAHP38/smj7f3kpomU/s1600/unnamed%2B(72).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Ypr5eRsgCsY/VSacSUg99UI/AAAAAAAHP4E/fhX5DK68_QQ/s1600/unnamed%2B(71).jpg)
Na Furaha Eliab, Njombe
MAKAMU mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) - Bara, Philip Mangula amesema kuwa viongozi...
10 years ago
Dewji Blog08 Apr
Membe atoa rai kwa viongozi wa dini zote pamoja serikali kuhimiza vijana waipende dini ili kudumisha amani, utulivu na uadilifu
10 years ago
GPLWAZIRI MEMBE ATOA RAI KWA VIONGOZI WA DINI ZOTE KUHIMIZA VIJANA WAIPENDE DINI ILI KUDUMISHA AMANI, UTULIVU NA UADILIFU
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-jFRe4B6dsOI/VSJKK5euttI/AAAAAAAC20M/odrRLRYJQCs/s72-c/11.jpg)
WAZIRI MEMBE ATOA RAI KWA VIONGOZI WA DINI ZOTE NA SERIKALI KUHIMIZA VIJANA WAIPENDE DINI KUDUMISHA AMANI,UTULIVU NA UADILIFU NCHINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-jFRe4B6dsOI/VSJKK5euttI/AAAAAAAC20M/odrRLRYJQCs/s1600/11.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ZqvScX6t4i4/VSJLh_gkyuI/AAAAAAAC27I/QXXUNvOPhYE/s1600/6.jpg)
10 years ago
VijimamboWAZIRI MHE. BERNARD MEMBE ATOA RAI KWA VIONGOZI WA DINI ZOTE PAMOJA SERIKALI KUHIMIZA VIJANA WAIPENDE DINI ILI KUDUMISHA AMANI, UTULIVU NA UADILIFU
Mkurugenzi wa Msama Promotion, Alex Msama akiwapungia watu waliohudhuria katika Tamasha la kumi na tano la Pasaka, lililofanyika katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar es...