Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WEMA, DIAMOND, AUNT WANATAJWA KWENYE MICHEPUKO HATARI!

Stori: Shakoor Jongo
Ni tamaa ya ngono au ni nini? Hivyo ndivyo unavyoweza kujiuliza baada ya kubainika kwamba mastaa watatu Bongo, Wema Isaac Sepetu, mpenzi wake Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na Aunt Ezekiel Grayson wanatajwa kwenye mchepuko hatari wa kuzungukana kimalovee, Ijumaa lina kila sababu ya kukujuza. Mastaa watatu Bongo, Wema Isaac Sepetu, mpenzi wake Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

AUNT ALIANGUSHIA MAOMBI PENZI LA DIAMOND, WEMA

Stori: Mayasa Mariwata
KUTOKA moyoni? Staa wa sinema za Kibongo, Aunt Ezekiel amefunguka kuwa siku zote amekuwa akimuombea dua shosti wake, Wema Sepetu ‘Madam’ na mwandani wake, Nasibu Abdul ‘Diamond’ uhusiano wao udumu. Staa wa sinema za Kibongo, Aunt Ezekie l(kulia) akiwa na shosti yake Wema sepetu.
Aunt alifunguka hayo mara baada ya kuulizwa na mwanahabari wetu juu ya mtazamo wake kuhusu mapenzi...

 

9 years ago

GPL

AUNT: NAAPA WEMA ATANIONA KWENYE KIFO

KIAPO! Ndivyo unavyoweza kusema kufuatia mwigizaji matata Bongo, Aunt Ezekiel ‘Mama Cookie’ kufunguka kuwa kamwe hatajihusisha kwenye ishu yoyote ya sherehe inayomuhusu staa mwenzake Wema Sepetu ‘Madam’ isipokuwa kwenye tatizo la msiba unaomuhusu. Mwigizaji matata Bongo, Aunt Ezekiel ‘Mama Cookie’ Kwa mujibu wa chanzo makini, Aunt hakuhudhuria kwenye sherehe ya kuzaliwa ya Wema,...

 

10 years ago

Bongo Movies

Kicheko cha Wema na Aunt Ezekiel Kwenye Kaburi la Ngwea Chawashangaza Wengi!

Katika hali isiyokuwa ya kawaida, waigizaji Wema Sepetu na rafiki yake Aunt Ezekiel wameonekana wa kiangua kicheko na kutuma mesegi kwa simu wakiwa juu ya kaburi  la aliekuwa msanii wa Bongo Fleva, marehemu Albert Mangweha ‘Ngwea’.

Kwa mujibu wa GPL, Tukio hilo litokea Januari Mosi, mwaka huu ambapo Wema akiwa na team yake nzima ya Endless Fame walitembea kaburini hapo eneo la makaburi ya Kihonda mjini Morogoro wakiwa wakitokea Dodoma kuja Dar.

Inaelezwa kwamba awali inadaiwa kuwa, ...

 

10 years ago

Bongo Movies

HATARI!! Diamond aamua kuwapa ''makavu live'' team Wema baada ya wao kumdiss.

Baada ya mashabiki wa mwanadada Wema "kumjia juu mwanamuziki Diamond Platnumz" kuhusu tuhuma za yeye kumtumia mwanadada huyu kimwili zaidi bila kumuendeleza, hatimaye raisi huyu wa kundi la WCB ameamua nay eye kufunguka haya mazito juu ya kauli hizo. Kupitia ukurasa wake wa mtandao ule maarufu wa kijamii Diamond ameandika haya..

 

“Nafkiri ningewaona kweli Mnaakili na Mapenzi ya dhati kwa Msanii wenu... kama mngemshauri apunguze Mashoga wapenda anasa na apunguze Stareh zisizo na Faida,...

 

10 years ago

CloudsFM

DIAMOND AMZAWADIA WEMA ZAWADI YA GARI KWENYE BIRTHDAY YAKE

STAA wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' amemzawadia gari aina ya Nissan Murano mpenzi wake Wema Isaac Sepetu katika bethidei yake jana.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani