Wema, Jokate waungana kummaliza Diamond
Staa wa Bongo Fleva, Ali Kiba ‘King Kiba’ na Jokate Mwegelo ‘Kidoti’.
Na Musa Mateja
WAREMBO ‘classic’ ambao ni zao la Miss Tanzania mwaka 2006, Wema Sepetu na Jokate Mwegelo wamedaiwa kuungana pamoja kumsapoti staa wa Bongo Fleva, Ali Kiba ‘King Kiba’ ili kumfunika mpenzi wao wa zamani, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’.
Wema na Jokate ambao kwa nyakati tofauti waliwahi kulitumikia penzi la Diamond, Desemba 26, mwaka huu walipanda kwenye jukwaa la Kiba na kuanza kuonyesha uwezo wao wa...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OSWpCIjID-FyzPv2O8nLL0aIkqiycEuWqftsN1cC8r*pDilpRdr820EChPW2UbR*E7eswxDYtSwdj82Rw1ZUf0nZ9vxdZgDd/FRONT.jpg)
WEMA, JOKATE WAMZOMEA DIAMOND!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1UL3ifpm7LtkxTnXYTeUq3v4iLorQH6Q*itGxT9FX2mLdHSQrRmgFXHYID4pjwQzSLC6-5BqhFEpfVaQUDoJHumixMvWsyxO/FRONT.jpg?width=650)
DIAMOND: WEMA, JOKATE, PENNY WALIGOMA KUNIZALIA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mhrng7eeJg1goHeGM*aQGNkR-hCZ2rnxBVw4cHjLkT*W-8kGIBcCL5fLVnHx4Ql3o*BRUtmqUXaCS7Y7N9lMzKdPJnYwTrgG/jokate.jpg?width=650)
BIFU LAO KWA DIAMOND... JOKATE AMWANGUKIA WEMA
10 years ago
Bongo Movies18 Dec
DIAMOND:Wema, Jokate, Penny Hawakutaka Kuzaa Na Mimi
Akizungumza kwenye kipindi cha Live Chumba cha Habari kinachorushwa na Global TV online, Msanii wa muziki Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ alieleza jinsi wapenzi wake wazamani ambao ni Mwigizaji Wema Sepetu, Jokate Mwegelo na matangazaji Penniel Mungilwa ‘Penny’.
Diamond alifunguka baada ya kuulizwa kwamba amekuwa akitangaza kupenda watoto lakini kwa nini hana hata wa dawa licha ya kuwa na uhusiano na wanawake tofoutitofauti.
Diamond: “Ni kweli napenda watoto lakini siwezi kupata mtoto...
11 years ago
Bongo525 Jul
Audio: Jokate azungumzia filamu, muziki, biashara, Alikiba vs Diamond, Wema na mapenzi
10 years ago
Vijimambo24 Dec
DIAMOND AANIKA SABABU 5 ZA KUMPENDA ZARI, ACHAMBUA UBOVU WA WEMA, PENNY NA JOKATE
![](http://api.ning.com/files/BybgAqvu3OnnTpxUvjp2wQpPb9wrnW0FkthLue3yshTOidJli16V4T5N7Kf0h69qzGS4dpJLITqItRlnYOJCkca9i3FYLzYH/diamondzari.jpg?width=650)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-Omm4UhJ_Z-g/VX5f7VyjheI/AAAAAAAAvvU/qbsmZFcsErk/s72-c/DiamondPlatinumz.jpg)
Kilicho Mponza DIAMOND PLATNUMZ Tuzo za Kill Music Hichi Hapa, Wema na Jokate Watambiana Mabwana, Vanessa na Jux Wapakatana
![](http://1.bp.blogspot.com/-Omm4UhJ_Z-g/VX5f7VyjheI/AAAAAAAAvvU/qbsmZFcsErk/s640/DiamondPlatinumz.jpg)
Tuzo za Muziki za Kili 2015, Jumamosi ya wiki iliyopita zilitimua vumbi kwenye Ukumbi wa Mlimani City, Mwenge jijini Dar es Salaam ambapo maelfu ya Watanzania wanaopenda burudani walikuwa wakifuatilia mwenendo mzima wa tuzo hizo, ambapo msanii Ali Kiba aling’ara baada ya kunyakua tuzo tano na kumuacha mbali hasimu wake mkubwa, Nasibu Abdul ‘Diamond Platinumz’ aliyeambulia tuzo mbili tu.Mpango mzima ulianza, mishale ya saa tatu za usiku ambapo wasanii pamoja na wadau mbalimbali walijumuika...
10 years ago
Bongo Movies19 Jul
Baada ya Ushindi wa Tuzo, Diamond Atupa Dongo kwa Jokate, Jokate Naye Ajibu
Usiku wa jana kuamkia leo July 19 2015 Diamond Platnumz kanyanyua ushindi mwingine kwenye Tuzo za MTVMAMA2015, zilizokuwa zikitolewa Durban Africa Kusini.
Leo Diamond alipost Video inayomwonesha staa wa Mitindo Bongo, mrembo Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ akicheza wimbo wa ‘Mdogomdogo‘ alafu akaandikia hivi >>>> ‘Mbona Bado, Mtanyooka tu..‘ >>>> @ diamondplatnumz
Baadae Jokate nae akaandika kwenye ukurasa wake wa @Instagram kuhusu video hiyo ambayo alimpost Diamond.
Tuki-support mtu ndio kama hivi...
9 years ago
Bongo508 Dec
Aunty Ezekiel na Wema Sepetu waungana kukuletea filamu ya watoto ‘Saa Mbovu’
![Wema na Aunt](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Wema-na-Aunt-300x194.jpg)
Baada ya urafiki wao kudaiwa kuyumba kwa kipindi cha zaidi ya miezi miwili hivi iliyopita, waigizaji wa filamu hapa nchini, Aunty Ezekiel pamoja na Wema Sepetu wanatarajia kuachia filamu ya pamoja iitwayo ‘Saa Mbovu’ itakayokuwa inazungumzia malezi ya watoto.
Akizungumza na Bongo5 jana, Aunty ambaye ni mama wa mtoto mmoja aitwae Cookie, alisema wakati wa ujauzito wa mwanae alishauriana na Wema kuandaa filamu itakayozungumzia jinsi ya kumlea mtoto.
“Wakati tunafanya hiyo filamu mimi tayari...