Wenger asaini miaka 3 Arsenal
England. Kocha Arsene Wenger amesaini mkataba mpya wa miaka mitatu utakaomfanya kuendelea kuwa kocha wa klabu ya Arsenal hadi 2017.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HzbY9S4OGWuFfmYcNRnnCzm5dzcJ3syr0drad0Z1SckIOLshbFdan22z-EKc1Mksbq*qwYGQUjV7UjWSvQMetwCClWnPAXBd/WENGER4.jpg?width=650)
ARSENE WENGER ASAINI MKATABA WA MIAKA 3 KUBAKI ARSENAL
10 years ago
BBCSwahili23 Nov
Wenger alaumu walinzi wa Arsenal
10 years ago
BBCSwahili05 Nov
Wenger akasirishwa na sare ya Arsenal
10 years ago
BBCSwahili16 Apr
Wenger:Walcott kusalia Arsenal
10 years ago
BBCSwahili15 Mar
Wenger:Arsenal itaibandua Monaco
11 years ago
Mwananchi12 Apr
Wenger ataka mabadiliko Arsenal
10 years ago
BBCSwahili27 Jul
Wenger:Walcot Kusalia Arsenal
9 years ago
TheCitizen23 Nov
Wenger rocked by Arsenal nightmare
9 years ago
Mtanzania02 Oct
Arsene Wenger atakiwa kuondoka Arsenal
LONDON, ENGLAND
BAADA ya Arsenal kupokea kichapo kwenye Uwanja wa nyumbani wa Emirates, katika michuano ya Ligi ya Mabingwa dhidi ya Olympiakos, mashabiki wa klabu hiyo wamemtaka kocha wao, Arsene Wenger kuachia ngazi.
Katika mchezo huo ambao ulipigwa mwanzoni mwa wiki hii, Arsenal ilikubali kichapo cha mabao 3-2 na kuifanya klabu hiyo kushika nafasi ya mwisho katika kundi F ikiwa haina hata pointi na wakitarajia kukutana na Bayern Munich katika mchezo wao wa tatu.
Mashabiki wa Arsenal...