Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Werema aliteleza - Bomani


NA RABIA BAKARI
SAKATA la Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema, kuchukizwa na kauli za kuudhi za Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila na kutaka kumchapa makonde, limechukua sura mpya.
Tukio hilo ambalo lilichafua hali ya hewa bungeni, limekuwa likivuta hisia za watu wengi, ambapo limemuibua Jaji Mstaafu Mark Bomani na kusema kuwa, Jaji Werema aliteleza.

Alisema kwa wadhifa na majukumu mazito ya Jaji Werema ndani ya Bunge, hakupaswa kutoa maneno makali wala kujibizana na...

Uhuru Newspaper

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

TheCitizen

Bomani to media: Here’s your role Bomani tells Media

Media should focus more on educating the citizen as it seeks to play its pivotal role in the country’s development process, a former Attorney general, Judge Mark Bomani, has said.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Jaji Bomani asipuuzwe

MWANASHERIA Mkuu wa Serikali mstaafu, Jaji Mark Bomani, amesema kuwa Tanzania kwa sasa haitaweza kupata katiba mpya huku akionya kwamba amani ya nchi itavunjika iwapo jambo hilo litalazimishwa. Kwa maono...

 

11 years ago

Off On Constitution

Bomani gives hints on stand


IPPmedia
Bomani gives hints on stand-off on Constitution
IPPmedia
Former attorney general Mark Bomani has said unless the two differing groups in the constitutional review debate resolve their differences, pessimism reigns high that Tanzanians might not get the expected fundamental document. He appealed to the ...

 

11 years ago

TheCitizen

Bomani wants Katiba Assembly shut down

Action should be taken to curb the monetary cost which the government incurs in running the CA, says Bomani.

 

11 years ago

Daily News

Bomani wants civic polls postponed


Daily News
Bomani wants civic polls postponed
Daily News
RETIRED Judge Mark Bomani has advised the government to postpone the local government elections which are due this year until the new constitution is in place. Speaking with journalists in Dar es salaam on Thursday Judge Bomani said that he thinks ...

 

11 years ago

Mwananchi

CCM, msiyapuuze ya Jaji Bomani

Nianze kwa kunukuu maneno ya Mwanasheria Mkuu Mstaafu wa Serikali, Jaji Mark Bomani kwamba, “Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinapaswa kuacha msimamo wake wa kutaka muundo wa serikali mbili na wawaachie wananchi waamue wanachokitaka.”

 

10 years ago

Daily News

Work instead of complaining, Bomani tells Tanzanians


Work instead of complaining, Bomani tells Tanzanians
Daily News
FORMER Attorney General (AG), Mr Mark Bomani, has advised Tanzanians to shun complaining over hardships of life they face and instead work hard to reverse the situation. Mr Bomani was confident that Tanzanians could attain better lives than their ...

 

10 years ago

TheCitizen

Heri Bomani: provision of mortgages low

“There are simply too few institutional private sector developers in this sector, and supply has thus been constrained, coupled with inadequate sales and marketing push to communicate options to the public” Heri bomani, Pangani Real Estate Services Limited managing director

 

11 years ago

GPL

OTILIA SASA KUFUNGA NDOA BOMANI

Stori: Gladness Mallya
JAPOKUWA Mnenguaji wa Bendi ya Extra Bongo, Otilia Boniface alibadili dini na kuwa Muislamu baada ya kupata mchumba ambaye ni muumini wa dini hiyo, imebainika anatarajia kufunga ndoa ya bomani kutokana na ndugu zake kutoridhika na uamuzi wake wa awali. Mnenguaji wa Bendi ya Extra Bongo, Otilia Boniface Rafiki wa karibu wa Otilia aliyeomba hifadhi ya jina alisema kuwa, mnenguaji huyo aliyepata mchumba...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani