Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


West Ham yasonga mbele Europa league

West Ham ya England imesonga mbele katika hatua ya mzunguko wa tatu baada ya kuiondoa Birkikara ya Malta kwa penalt 5-3.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

West Ham United FC

Former West Ham flop scores brilliant hat-trick against PL side in Europa League - Hammers News

Former West Ham flop scores brilliant hat-trick against PL side in Europa League  Hammers News - West Ham United FCFootball news - Wolves reach Europa League last 16 despite Espanyol defeat  Eurosport.comVideo: Pedro Neto’s shocking open-goal miss for Wolves vs Espanyol  CaughtOffsidePedro Neto produces horrific open-goal miss for Wolves against Espanyol  GIVEMESPORTEuropa League last-16 draw: All you need to know  Sky SportsView Full coverage on Google...

 

5 years ago

West Ham United FC

West Ham get lucky with big factor in their favour for Wolves home game after Europa League progress - Hammers News

West Ham get lucky with big factor in their favour for Wolves home game after Europa League progress  Hammers News - West Ham United FCFootball news - Wolves reach Europa League last 16 despite Espanyol defeat  Eurosport.comVideo: Pedro Neto’s shocking open-goal miss for Wolves vs Espanyol  CaughtOffsideEspanyol 3-2 Wolves (3-6 agg): Nuno's men cruise into last 16 despite Jonathan Calleri treble  Goal IndiaCharlie Nicholas predicts the result of Espanyol vs Wolves  Sportslens.comView Full...

 

5 years ago

Bongo5

Man United yasonga nusu fainali Europa League, Samatta hoi njiani

Usiku wa jana (Alhamisi) zilichezwa mechi nne katika viwanja tofauti kwenye kombe la ligi ya Europa. Timu ya Manchester United imefanikiwa kutinga hatua ya nusu fainali ya ligi hiyo baada ya kufanikiwa kuifunga Anderlecht ua Ubelgiji kwa mabao 2-1 na kufanya kufuzu katika hatua hiyo kwa jumla ya magoli 3-2.

Nayo Ajax ya Uholanzi imefuzu katika hatua hiyo japo ilifungwa kwa mabao 3-2 na Schalke 04 ya Ujerumani, lakini katika matokeo ya Jumla yanaifanya timu hiyo kusonga mbele kwa jumla ya...

 

9 years ago

Dewji Blog

Matokeo ya ligi ya Europa (UEFA Europa League)

Uefa Europa League

Ligi ya vilabu barani Ulaya (Uefa Europa League) iliendelea hapo kwa michezo 24 iliyochezwa katika viwanja 12 tofauti. Yafuatayo ni matokeo ya michezo hiyo;

GROUP A;

Ajax 0 – 0 Fenerbahçe

Celtic 1 – 2 Molde

GROUP B;

FC Sion 1 – 1 Bordeaux

Rubin Kazan 0 – 1 Liverpool

GROUP C;

Borussia Dortmund 4 – 0 FK Qabala

FK Krasnodar 2 -1 PAOK Salonika

GROUP D;

Club Brugge 1 – 0 Legia Warsaw

Napoli 5 – 0 FC Midtjylland

GROUP E;

Dinamo Minsk 1 – 2 Villarreal

Viktoria Plzen 1 – 2 Rapid Vienna

GROUP F;

FC...

 

10 years ago

BBC

West Bromwich Albion 4-0 West Ham

Record buy Brown Ideye of Nigeria strikes twice as West Brom ease past 10-man West Ham to reach the FA Cup quarter-finals.

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga SC yasonga mbele CAF

Mabingwa wa zamani wa Ligi Kuu Tanzania Bara wamefanikiwa kusonga mbele katika mashindano ya Kombe la Shirikisho barani Afrika kwa jumla ya mabao 3-2, licha ya kulala ugenini kwa mabao 2-1 dhidi ya BDF ya Botswana.

 

9 years ago

BBCSwahili

Taifa Stars yasonga mbele

Taifa Stars imesonga mbele katika michezo ya raundi ya kwanza kwa Kanda ya Afrika ya mchujo wa Kombe la dunia

 

9 years ago

Habarileo

Magharibi yasonga mbele Zanzibar

TIMU ya soka ya Wilaya ya Magharibi imefanikiwa kusonga mbele katika michuano ya Zanzibar CUP baada ya kuifunga Wilaya ya Kaskazini B mabao 3-2.

 

9 years ago

BBCSwahili

Man U yasonga mbele UEFA

Manchester Utd imefanikiwa kusonga mbele kwa kishindo baada ya kuibuka na ushindi wa bao 4-0 dhidi ya Club Brugge na kufanya matokeo kuwa 7-1.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani