Weusi waingia studio na Navio wa Uganda kufanya ‘Gere’ East African remix waliyowashirikisha Naziz na Collo
Kundi la Weusi limemeingia tena studio, lakini safari hii wakiwa na rapper Navio kutoka Uganda ambaye yupo jijini Dar es salaam kwa sasa. Weusi wamemuongeza Navio kwenye remix ya single yao ‘Gere’, ambayo tayari walitangaza kuwa wameifanyia remix nchini Kenya miezi kadhaa iliyopita na kuwashirikisha Collo na Naziz na hivyo kuifanya kuwa ni remix iliyohusisha […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo529 Dec
New Music: Weusi f/ Navio, Naziz, Collo & Rabbit – Gere (East African Remix)
9 years ago
Bongo506 Oct
Picha: Wizkid na Fally Ipupa waingia studio kufanya collabo
10 years ago
CloudsFM14 Apr
Nay Wa Mitego,Diamond waingia studio kwa mara nyingine kufanya ngoma.
Staa wa Bongo Fleva,Nay Wa Mitego anatarajia kuachia ngoma yake mpya aliyomshirikisha Diamond Platinumz hivi karibuni. Akizungumza na Clouds FM, Nay alisema kuwa ngoma hiyo ameifanya kwenye studio za Free Nation kwa producer Mr.Tee Touch na kwamba jina la ngoma hiyo atalisema siku ambayo atakayoitambulisha ngoma hiyo.
‘’Yaah nimefanya ngoma tena na Diamond Platinumz na nitaitambulisha hivi karibuni kikweli sijisifii ni bonge la ngoma,’’alisema Nay Wa Mitego.
Mastaa hao walishawahi kufanya...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Oj3HrzGcnos/VRLcWqMC07I/AAAAAAAHNMg/xRCNVfNzcFY/s72-c/unnamed%2B(36).jpg)
5TH ANNUAL EAST AFRICAN HEALTH AND SCIENTIFIC CONFERENCE OPENS IN KAMPALA, UGANDA
In a statement read by his Vice, President Museveni commended the EAC Secretariat and the Partner States for initiating the process of...
10 years ago
Bongo519 Feb
Nay wa Mitego na Diamond waingia tena studio kupika kitu!
9 years ago
Bongo502 Oct
Mtu Chee (Stamina,Country Boy na Young Dee) waingia studio
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/7hRyefEXhvs/default.jpg)
9 years ago
Bongo523 Nov
Adele aonesha nia ya kutaka kufanya official remix ya ‘Hotline Bling’ ya Drake
![Adele and drake](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Adele-and-drake-300x194.jpg)
Collabo ya muimbaji wa Uingereza, Adele na rapper wa Canada, Drake yanukia. Hit maker wa ‘Hello’ Adele amesema kuwa angependa kufanya official remix na Drake ya hit song ya rapper huyo ‘Hotline Bling’.
Katika mahojiano ya hivi karibuni na Danielle Graham, Adele amekiri kuwa yeye ni shabiki mkubwa wa Drake kiasi mpaka aliamua kununua koti jekundu linaloonekana kwenye video ya ‘Hotline Bling’.
“I really want us to do an official remix,” amesema Adele. “I love Drake. I love Drake so much. I...