Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Weusi waingia studio na Navio wa Uganda kufanya ‘Gere’ East African remix waliyowashirikisha Naziz na Collo

Kundi la Weusi limemeingia tena studio, lakini safari hii wakiwa na rapper Navio kutoka Uganda ambaye yupo jijini Dar es salaam kwa sasa. Weusi wamemuongeza Navio kwenye remix ya single yao ‘Gere’, ambayo tayari walitangaza kuwa wameifanyia remix nchini Kenya miezi kadhaa iliyopita na kuwashirikisha Collo na Naziz na hivyo kuifanya kuwa ni remix iliyohusisha […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

New Music: Weusi f/ Navio, Naziz, Collo & Rabbit – Gere (East African Remix)

Weusi wameachia remix ya hit single yao ‘Gere’ ambapo wamewakusanya miongoni rappers wakali wa Kenya na Uganda. Walioshirikishwa ni pamoja na Naziz, Collo na Rabbit wa Kenya na Navio wa Uganda. Pia kwenye remix hii utamsikia Lord Eyez.

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Wizkid na Fally Ipupa waingia studio kufanya collabo

Staa wa Nigeria, Wizkid na staa wa DRC, Fally Ipupa wamekutana Paris, Ufarasa ambako wameenda kufanya show. Wizkid na Fally hawajaiachia fursa hiyo ipite hivi hivi, wameamua kuingia studio huko Paris na kurekodi wimbo mpya wa pamoja. “Good day Paris!! Studio link up with the brother @fallyipupa01” aliandika Wizkid kwenye moja ya picha zake. Hit […]

 

10 years ago

CloudsFM

Nay Wa Mitego,Diamond waingia studio kwa mara nyingine kufanya ngoma.

Staa wa Bongo Fleva,Nay Wa Mitego anatarajia kuachia ngoma yake mpya aliyomshirikisha Diamond Platinumz hivi karibuni. Akizungumza na Clouds FM, Nay alisema kuwa ngoma hiyo ameifanya kwenye studio za Free Nation kwa producer Mr.Tee Touch na kwamba jina la ngoma hiyo atalisema siku ambayo atakayoitambulisha ngoma hiyo.

‘’Yaah nimefanya ngoma tena na Diamond Platinumz na nitaitambulisha hivi karibuni kikweli sijisifii ni bonge la ngoma,’’alisema Nay Wa Mitego.
Mastaa hao walishawahi kufanya...

 

10 years ago

Michuzi

5TH ANNUAL EAST AFRICAN HEALTH AND SCIENTIFIC CONFERENCE OPENS IN KAMPALA, UGANDA

East African Community Headquarters, Kampala, Uganda, 25 March 2015: Uganda’s Vice President His Excellency Edward Ssekandi this morning represented HE Yoweri Kaguta Museveni at the official opening of the 5th Annual East African Health and Scientific Conference and International Health Exhibition and Trade Fair at the Kampala Serena Hotel in Uganda.
In a statement read by his Vice, President Museveni commended the EAC Secretariat and the Partner States for initiating the process of...

 

10 years ago

Bongo5

Nay wa Mitego na Diamond waingia tena studio kupika kitu!

Collabo yao, ‘Muziki Gani’ ilikuwa miongoni mwa ngoma zilizotamba zaidi miaka miwili iliyopita, hivyo ukiwaona wameingia tena studio, hakuna shaka kuwa hit nyingi ipo njia. Nay wa Mitego na Diamond Platnumz wameingia studio kwa mara nyingine kutengeneza wimbo pamoja. Nay amepost picha akiwa na hitmaker huyo ambaye hivi karibuni alikuwa vekesheni visiwani Zanzibar na mpenzi […]

 

9 years ago

Bongo5

Mtu Chee (Stamina,Country Boy na Young Dee) waingia studio

Rappers wanaounda kundi la Mtu Chee, Stamina, Country Boy na Young Dee ameingia studio za Kiri Records kuandaa kazi mpya za kundi hilo. Kupitia ukurasa wa Instagram, Stamina alipost picha na kuandika: Current situation,,,,right now,,,ndani ya Kirirecordstz tupo na mtu mbayaaaa Rashdontz project mpyaaaaaaa ya MTU CHEE,MTU NOMA,MTU 3,yale majibu ya maswali yenu sasa yako […]

 

9 years ago

Bongo5

Adele aonesha nia ya kutaka kufanya official remix ya ‘Hotline Bling’ ya Drake

Adele and drake

Collabo ya muimbaji wa Uingereza, Adele na rapper wa Canada, Drake yanukia. Hit maker wa ‘Hello’ Adele amesema kuwa angependa kufanya official remix na Drake ya hit song ya rapper huyo ‘Hotline Bling’.

Adele and drake

Katika mahojiano ya hivi karibuni na Danielle Graham, Adele amekiri kuwa yeye ni shabiki mkubwa wa Drake kiasi mpaka aliamua kununua koti jekundu linaloonekana kwenye video ya ‘Hotline Bling’.

“I really want us to do an official remix,” amesema Adele. “I love Drake. I love Drake so much. I...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani