Wiki ya ‘kutafuta maji’ yaanza
Taifa leo linaanza maadhimisho ya Wiki ya Maji, lakini vilio vimetawala kila kona ya nchi kutokana na uhaba mkubwa wa huduma hiyo muhimu kwa afya na kufanya maashimisho hayo yaoneane kuwa ni ya kutafuta maji.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-W1k4MJH2WZA/XmoglY1UcXI/AAAAAAALivA/00b2PAyKvyQoA1fODI77njBqSR82TUU0ACLcBGAsYHQ/s72-c/4aac1299-751c-415f-95fc-6b3099c9b322.jpg)
CHANGAMOTO ZA MAJI NA USAFI WA MAZINGIRA KUJADILIWA KWENYE MAADHIMISHO YA WIKI YA MAJI
Charles James, Michuzi TV
TANZANIA itaungana na Mataifa mengine duniani kuadhimisha wiki ya maji ambayo itaanza Machi 16 hadi 22 mwaka huu huku kauli mbiu ikiwa ni " Maji na mabadiliko ya tabia nchi, uhakika wa maji salama kwa wote".
Wiki ya maji itaenda sambamba na siku ya maji ambapo ndio itakua kilele cha maadhimisho hayo ambayo yalianza kuadhimishwa rasmi mwaka 1993 kupitia azimio na.47/193 ililofikiwa mwaka 1992 na Umoja wa Mataifa.
Akizungumza na wandishi wa habari leo jijini Dodoma,...
10 years ago
Habarileo17 Sep
Wanaume waamshwa usiku kutafuta maji
WANAWAKE wa Kijiji cha Michese kata ya Mkonze Manispaa ya Dodoma wamelalamikia tatizo la maji ambalo linawafanya kila siku kuwaamsha wanaume wao usiku wa manane kuwasindikiza kusaka maji.
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/KCjDqGqyYH8/default.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-o47iRvOhipc/UyWyybVgJdI/AAAAAAAFT9Q/va-Esq_0NvU/s72-c/unnamed+(26).jpg)
WAZIRI MAJI PROFESA JUMANNE MAGHEMBE AZINDUA RASIMI WIKI YA MAJI KITAIFA MKOANI DODOMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-o47iRvOhipc/UyWyybVgJdI/AAAAAAAFT9Q/va-Esq_0NvU/s1600/unnamed+(26).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-xqCTlf3aOnw/UyWyyWNat_I/AAAAAAAFT9c/Hy2UdoSAG5E/s1600/unnamed+(27).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-mTRv7OZEfxA/UyWyyo2_bXI/AAAAAAAFT9U/RMLZ8ssTzmg/s1600/unnamed+(28).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-pDH-jnHz_Ho/VQr53u2qXqI/AAAAAAAHLj0/O0GXxSgut8U/s72-c/Picha%2Bna%2B4.jpg)
MAADHIMISHO WIKI YA MAJI , MPIJI MAGOHE WATOA ARDHI BILA FIDIA KUPATA UMEME WA UHAKIKIA KWENYE CHANZO CHA MAJI
![](http://2.bp.blogspot.com/-pDH-jnHz_Ho/VQr53u2qXqI/AAAAAAAHLj0/O0GXxSgut8U/s1600/Picha%2Bna%2B4.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-TiIEhYdjVC8/VQr53lHgT7I/AAAAAAAHLjg/fykWROwrNRU/s1600/Picha%2Bna%2B5.jpg)
10 years ago
Dewji Blog20 Mar
Maadhimisho wiki ya maji, Mpiji Magohe watoa ardhi bila fidia kupata umeme wa uhakikia kwenye chanzo cha maji
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Said Meck Sadiki na Mbunge wa Ubungo Mhe. John Mnyika wakifungua maji ya bomba kwenye Zahanati ya Kijiji cha Mpiji Magohe mara baada ya kuzindua mradi wa maji katika kijiji hicho manispaa ya Kinondani jijini Dar es salaam.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Said Meck Sadiki akizindua Tenki la kuhifadhia maji katika kijiji cha Mpiji Magohe, manispaa ya Kinondoni jijini Dar es salaam leo wakati wa mwendelezo wa maadhimisho ya Wiki ya Maji yanayoendelea...
11 years ago
MichuziMASHINDANO YA TANZANIA MOVIE TALENTS KUHAMIA KANDA YA KATI MKOANI DODOMA, ZOEZI LA KUTAFUTA WASHINDI KUANZA JUMAMOSI YA WIKI HII
Promotions Limited - Mwanza Hatimaye Kikosi Kazi cha Kampuni ya Proin Promotions Limited ambao ndio waratibu na waandaaji wa Mashindano ya Kusaka vipaji vya uigizaji Tanzania yajulikanayo kama Tanzania Movie Talents (TMT) kinaondoka leo asubuhi Mkoani Mwanza Kuelekea Mkoani Dodoma kwa ajili ya kuendelea na shindano la kusaka vipaji vya kuigiza.
Katika Kanda ya Kati mashindano yatafanyika Mkoani Dodoma katika Ukumbi wa African Dream kuanzia Jumamosi ya tarehe...
11 years ago
Mwananchi14 Apr
Wiki ngumu Bunge la Katiba yaanza leo