Wanaume waamshwa usiku kutafuta maji
WANAWAKE wa Kijiji cha Michese kata ya Mkonze Manispaa ya Dodoma wamelalamikia tatizo la maji ambalo linawafanya kila siku kuwaamsha wanaume wao usiku wa manane kuwasindikiza kusaka maji.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
11 years ago
GPL
KOMBE LA DUNIA: USIKU WA WANAUME, ENGLAND NA ITALY SAA SABA USIKU
10 years ago
Mwananchi16 Mar
Wiki ya ‘kutafuta maji’ yaanza
11 years ago
GPL01 Jan
TMK WANAUME FAMILY WAKIKAMUA KATIKA USIKU WA ZAWADI DAR LIVE
10 years ago
Tanzania Daima22 Sep
Watanzania waamshwa
WATANZANIA wameelezwa kwamba wataendelea kuwa masikini kwa mika yote endapo hawataamka na kufuatilia upatikanaji wa rasilimali fedha na matumizi yake katika maeneo yao. Hayo yalibainishwa mwishoni mwa wiki na mratibu...
9 years ago
MillardAyo24 Dec
Baada ya Danny Mrwanda kusajiliwa na Maji Maji FC na kutowasili, uongozi wa Maji Maji umeamua hivi (+Audio)
Headlines za soka la bongo mtu wangu wa nguvu zimenifikia, safari hii sio kuhusu Simba na Yanga bali ni kuhusu staa wa soka aliyewahi kuvitumikia vilabu hivyo kwa nyakati mbili tofauti Danny Mrwanda, staa huyo ameingia kwenye headlines baada ya kuingia mkataba wa kuitumikia klabu ya Maji Maji FC ya Songea na kupewa malipo yake […]
The post Baada ya Danny Mrwanda kusajiliwa na Maji Maji FC na kutowasili, uongozi wa Maji Maji umeamua hivi (+Audio) appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
Vijimambo
Story ya wanawake wa Rombo kukodi wanaume Kenya kuwaridhisha kimapenzi yatinga bungeni, wanaume wataka waombwe radhi

Habari iliyoandikwa kwenye gazeti la Mwananchi juzi yenye kichwa cha habari ‘Wanawake wa Rombo wakodi wanaume kutoka Kenya’ imeibukia bungeni leo.Habari hiyo iliandikwa kutokana na kauli aliyoitoa mkuu wa wilaya ya Rombo, Lembris Kipuyo, aliyedai kuwa kutokana na wanaume wa wilaya hiyo kuwa walevi wa kutupa, wake zao wamekuwa wakikodi wanaume kutoka Kenya ili kuwaridhisha kimapenzi.
“Tatizo la ulevi wilayani Rombo na matumizi ya pombe zisizokuwa na viwango ni kubwa sana na linahitaji nguvu...
10 years ago
Michuzi30 Aug
Bodi ya ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka Dar es Salaam (DAWASA) yatembelea Eneo la Mradi wa Ujenzi wa Bwawa la Maji Kidunda


10 years ago
GPL
BODI YA WAKURUGENZI YA MAMLAKA YA MAJI SAFI NA MAJI TAKA DAR ES SALAAM (DAWASA) YATEMBELEA ENEO LA MRADI WA UJENZI WA BWAWA LA MAJI KIDUNDA