Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WITO WA MCHORA VIBONZO NATHAN MPANGALA KWA SERIKALI AWAMU YA 5

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

NATHAN MPANGALA ‘KIJASTI’ KUWEKA WAZI MAISHA YAKE YA UCHORAJI VIBONZO KESHO

 Mchoraji wa  vibonzo maarufu nchini Tanzania, Nathan Mpangala.

MCHORAJI  wa vibonzo maarufu nchini Tanzania, Nathan Mpangala, ameandaa mazungumzo ya wazi yatakayofanyika katika Viwanja vya Nafasi Art Space, Mikocheni, Jijini Dar es Salaam, kesho (Ijumaa) ambapo atazungumzia maisha aliyopitia katika vyombo mbalimbali vya habari akiwa kama mchoraji vibonzo.
Ili kunogesha tukio hilo, nao wahudhuriaji watapata nafasi ya kuuliza maswali au kutoa maoni yao juu ya mambo mbalimbali...

 

11 years ago

Michuzi

9 years ago

Michuzi

Wachora vibonzo tujitokeze, tupaze sauti ili serikali awamu ya tano ijue matarajio yetu

Mchora vibonzo Nathan Mpangala akifundisha uchoraji baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Msingi Koboko, Moshi mwaka 2011. Ili tufanikiwe katika sanaa, uibuaji na ukuzaji vipaji kuanzia umri mdogo havikwepeki.Hivi karibuni, Rais wa Jamhuri wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, ameteua Baraza la Mawaziri ikiwemo Wizara ya Habari, Michezo, Utamaduni na Wasanii (Sanaa) inayoongozwa na Mh. Nape Nnahuye. Binafsi kutajwa moja kwa moja  kwa wasanii (wa sanaa za ufundi, muziki, filamu na jukwaani) katika...

 

10 years ago

Michuzi

ze kibonnzo na nathan mpangala

Kwa katuni zaidi ingia kisha LIKE ukurasa huu: https://www.facebook.com/pages/Nathan-Mpangala/696871333752030

 

11 years ago

Michuzi

10 years ago

Michuzi

10 years ago

Vijimambo

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani