WIZARA YA MAMBO YA NDANI YAPOKEA MSAADA WA PIKIPIKI 10 TOKA DALBIT PETROLIUM
![](http://3.bp.blogspot.com/-wTBY3lcGpFw/VH8oAhEhu4I/AAAAAAAG0-I/kNDelANSSds/s72-c/001.jpg)
Kamishina wa oporesheni na mafunzo wa jeshi la polisi, Paulo Chagonja akisisitiza jambo wakati wa hafla ya kupokea msaada wa pikipiki 10 aina ya boxes kutoka kwa Kampuni ya mafuta ya Dalbit Petrolium ya nchini kwa ajilia ya kusaidia kikosi cha usalama barabarani kupambana na swala zima la usalama barabarani.Katikati ni Mwenyekiti wa kampuni Hum Dalbit Petrolium Humprey Kariuki na Kushoto ni Mkurugenzi wa maswala ya Uhusiano wa Kampuni hiyo Magaret Mbaka.
Baadhi ya askari wa kikosi cha usalama...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-3462QO1WdRU/VCbh88FrF-I/AAAAAAAGmN4/j7aeNpvhg7M/s72-c/unnamed%2B(15).jpg)
WIZARA YA AFYA ZANZIBAR YAPOKEA MSAADA WA AMBULANCE TOKA (UNFPA)
Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Idadi ya watu (UNFPA) limekabidhi msaada wa magari manne ya Ambulance kwa Wizara ya Afya ya Zanzibar ambayo yatatumika katika Hospitali nne visiwani hapa.
Mwakilishi wa UNFPA Tanzania Dkt. Natalia Kanem alimkabidhi Waziri wa Afya Rashid Seif Suleiman magari hayo katika sherehe fupi zilizofanyika Wizarani Mnazi mmoja.
Dkt. Natalia alitaka magari hayo yatumike kwa uangalifu ili kufikia malengo ya...
9 years ago
MichuziKATIBU MKUU MAMBO YA NDANI AFUNGUA KIKAO CHA BARAZA LA WAFANYAKAZI WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI
10 years ago
Michuzikatibu mkuu wizara ya mambo ya ndani awatembelea wajumbe wa kikao kazi cha mambo ya ndani mjini morogoro
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ltz8IQUQkiJdUjJPjpNmV*4daMWiLOCakODS8c2r8laH9OM7vK-NxDnDIoDhOeN0niywtCnj0I-PoZcCpZEhsaJPpb49CNhB/001.MTAKUJA.jpg?width=650)
SHULE YA SEKONDARI MTAKUJA YA KUNDUCHI BEACH, DAR, YAPOKEA MSAADA WA KOMPYUTA TOKA VODACOM FOUNDATION
9 years ago
MichuziUJUMBE WA UBALOZI WA CHINA NCHINI WAMTEMBELEA WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI WAKUBALIANA KUIMARISHA USHIRIKIANO NA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI
9 years ago
MichuziWATUMISHI WA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI WAMPOKEA NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI MH. HAMAD MASAUNI
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-EjuYdjeSi-c/VVIRKtu-NmI/AAAAAAAHW3M/xhDkmWWn8lQ/s72-c/001.MTAKUJA.jpg)
SHULE YA SEKONDARI MTAKUJA YA KUNDUCHI BEACH JIJINI DAR ES SALAAM YAPOKEA MSAADA WA KOPYUTA TOKA VODACOM FOUNDATION
![](http://4.bp.blogspot.com/-EjuYdjeSi-c/VVIRKtu-NmI/AAAAAAAHW3M/xhDkmWWn8lQ/s640/001.MTAKUJA.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-NK8gYiMrPFs/VVIRJSw3DrI/AAAAAAAHW3E/hmtrbBYkl8c/s640/002.MTAKUJA.jpg)
5 years ago
MichuziWIZARA YA AFYA YAPOKEA MSAADA KUTOKA TAASISI YA MILELE ZANZIBAR FOUNDATION
NAIBU Waziri wa Afya Harusi Said Suleiman amewataka wananchi na Taasisi za kiraia kushirikiane na Serikali katika mapambano dhidi ya maradhi ya Corona.
Amesema mashirikiano ya pamoja kati ya wananchi na viongozi na kufuata maekezo yanayotolewa na wataalamu wa afya yatasaidia kushinda vita dhidi ya maradhi hayo.
Naibu Waziri wa Afya alitoa kauli hiyo baada ya kupokea msaada wa vifaa vya kujikinga na maradhi ya Corona kutoka Taasisi ya Milele...