Wizara ya Mambo ya Nje yamuaga rasmi Balozi wa Norway nchini aliemaliza muda wake
Mkurugenzi wa Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Celestine Mushy akisoma hotuba kwa niaba ya Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernad K. Membe (Mb.) kwa ajili ya kumuaga Balozi wa Norway nchini, Mhe. Ingunn Klepsvik ambaye amemaliza muda wake wa kazi. Hafla hiyo fupi ya chakula cha mchana ilifanyika katika Hoteli ya Hyatt Regency, Dar es Salaam.
Balozi Mushy akimkabidhi Balozi Klepsvik zawadi ya picha ya kuchora ya Twiga kama ukumbusho wake kwa Tanzania
Balozi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziWIZARA YA MAMBO YA NJE YAMUAGA RASMI BALOZI WA UBELGIJI ALIYEMALIZA MUDA WA KAZI NCHINI
10 years ago
VijimamboWIZARA YA MAMBO YA NJE YAMUAGA BALOZI WA INDIA ALIYEMALIZA MUDA WA KAZI NCHINI
Balozi wa India nchini Tanzania anayemaliza muda wake wa kazi, Mhe.Debnath Shaw akitoa hotuba yake ya kuaga mbele ya wageni waalikwa wakiwemo baadhi ya Mabalozi wanaowakilisha nchi zao hapa nchini wakiongozwa na Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Simba Yahya wakati wa hafla ya chakula cha mchana iliyofanyika katika Hoteli ya New Afrika Jijini Dar es Salaam tarehe 29 Julai, 2015.
Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa...
10 years ago
MichuziWIZARA YA MAMBO YA NJE YAMUAGA BALOZI WA SWEDEN ALIYEMALIZA MUDA WA KAZI NCHINI
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-XxcxtxhziWY/Vea1kRkiudI/AAAAAAAD55g/d1atzkHW48A/s72-c/0dac06c9d8cc9000d2e02779ef469d8e.jpg)
WIZARA YA MAMBO YA NJE YA MAREKANI YAMUAGA BALOZI AMINA SALUM ALI
![](http://4.bp.blogspot.com/-XxcxtxhziWY/Vea1kRkiudI/AAAAAAAD55g/d1atzkHW48A/s640/0dac06c9d8cc9000d2e02779ef469d8e.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-fiZ4ZL2Newo/Vea1keH3LMI/AAAAAAAD55c/2K88YzK-vao/s640/3f4a5ec14b824e3f8bb17a189e2ed46d.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-p1i2fiXwMio/Vea1kdyULPI/AAAAAAAD55Y/ZSDoQ6BYGSY/s640/34a9d58063ccce4ea027ac27f2558e4f.jpg)
10 years ago
MichuziKatibu Mkuu wa Mambo ya Nje akutana na Balozi wa Norway nchini
Picha na Reginald Philip.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-2eS_1Jorwlc/U8kCU9G2FII/AAAAAAAF3WQ/nuXc50MKqHU/s72-c/unnamed.jpg)
Dk. Shein aagana na Balozi wa ISRAEL aliemaliza muda wake
![](http://3.bp.blogspot.com/-2eS_1Jorwlc/U8kCU9G2FII/AAAAAAAF3WQ/nuXc50MKqHU/s1600/unnamed.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-9gdQZN89FQU/U8kCUrBfxoI/AAAAAAAF3WY/a0RzJhCbq2w/s1600/unnamed+(1).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-XU3kvFB7A4I/U8kCUgFst-I/AAAAAAAF3WU/d2QkMpt-5pw/s1600/unnamed+%25282%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-SEZ4VPeIsjY/VUdd0sHGHiI/AAAAAAAHVIs/Pe6MGiI91fo/s72-c/download%2B(1).jpg)
NEWS ALERT: BALOZI MULAMULA ATEULIWA KUWA KATIBU MKUU WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA, BALOZI SIMBA NAIBU WAKE
![](http://2.bp.blogspot.com/-SEZ4VPeIsjY/VUdd0sHGHiI/AAAAAAAHVIs/Pe6MGiI91fo/s1600/download%2B(1).jpg)
Kwa sasa Balozi Mulamula ni Balozi wa Tanzania nchini Marekani na Mexico.
Rais Kikwete pia amemteua Balozi Hassan Simba Yahya (chini) kuwa Naibu Katibu Mkuu katika Wizara hiyo ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa.
Kwa sasa Balozi Yahya ni Mkurugenzi wa Idara ya Mashariki ya Kati Wizarani...
10 years ago
MichuziKATIBU MKUU WA MAMBO YA NJE AMUAGA BALOZI WA BRAZIL ALIYEMALIZA MUDA WA KAZI NCHINI
10 years ago
VijimamboKATIBU MKUU WIZARA YA MAMBO YA NCHI ZA NJE BALOZI LIBERATA MULAMULA AAGANA RASMI NA WAFANYAKAZI WA UBALOZI WASHINGTON DC.
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10