WIZARA YA MAMBO YA NJE YAMUAGA RASMI BALOZI WA UBELGIJI ALIYEMALIZA MUDA WA KAZI NCHINI
Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Irene Kasyanju akitoa hotuba wakati wa kumuaga Balozi wa Ubelgiji ambaye amemaliza muda wake wa kazi hapa nchini, Mhe. Adam Koeler huku Balozi huyo (wa kwanza kulia waliketi) na wageni waalikwa wakimsikiliza. Hafla hiyo ilifanyika katika Hoteli ya Serena Jijini Dar es Salaam tarehe 22 Julai, 2015. Katika hotuba yake Balozi Kasyanju alimsifu Balozi Koeler kwa kuimarisha ushirikiano kati ya Tanzania na Ubelgiji.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboWIZARA YA MAMBO YA NJE YAMUAGA BALOZI WA INDIA ALIYEMALIZA MUDA WA KAZI NCHINI
Balozi wa India nchini Tanzania anayemaliza muda wake wa kazi, Mhe.Debnath Shaw akitoa hotuba yake ya kuaga mbele ya wageni waalikwa wakiwemo baadhi ya Mabalozi wanaowakilisha nchi zao hapa nchini wakiongozwa na Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Simba Yahya wakati wa hafla ya chakula cha mchana iliyofanyika katika Hoteli ya New Afrika Jijini Dar es Salaam tarehe 29 Julai, 2015.
Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa...
10 years ago
MichuziWIZARA YA MAMBO YA NJE YAMUAGA BALOZI WA SWEDEN ALIYEMALIZA MUDA WA KAZI NCHINI
11 years ago
Michuzi24 Jul
Wizara ya Mambo ya Nje yamuaga rasmi Balozi wa Norway nchini aliemaliza muda wake
10 years ago
MichuziKATIBU MKUU WA MAMBO YA NJE AMUAGA BALOZI WA BRAZIL ALIYEMALIZA MUDA WA KAZI NCHINI
10 years ago
MichuziWAZIRI MEMBE AMUAGA RASMI BALOZI WA HISPANIA ALIYEMALIZA MUDA WA KAZI NCHINI
10 years ago
MichuziKatibu Mkuu amuaga rasmi Balozi wa Finland aliyemaliza muda wa kazi nchini
10 years ago
Vijimambo18 Feb
RE: WAZIRI MEMBE AMUAGA RASMI BALOZI WA SAUDI ARABIA ALIYEMALIZA MUDA WA KAZI NCHINI
10 years ago
MichuziWAZIRI MEMBE AMUAGA RASMI BALOZI WA SAUDI ARABIA ALIYEMALIZA MUDA WA KAZI NCHINI
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-XxcxtxhziWY/Vea1kRkiudI/AAAAAAAD55g/d1atzkHW48A/s72-c/0dac06c9d8cc9000d2e02779ef469d8e.jpg)
WIZARA YA MAMBO YA NJE YA MAREKANI YAMUAGA BALOZI AMINA SALUM ALI
![](http://4.bp.blogspot.com/-XxcxtxhziWY/Vea1kRkiudI/AAAAAAAD55g/d1atzkHW48A/s640/0dac06c9d8cc9000d2e02779ef469d8e.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-fiZ4ZL2Newo/Vea1keH3LMI/AAAAAAAD55c/2K88YzK-vao/s640/3f4a5ec14b824e3f8bb17a189e2ed46d.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-p1i2fiXwMio/Vea1kdyULPI/AAAAAAAD55Y/ZSDoQ6BYGSY/s640/34a9d58063ccce4ea027ac27f2558e4f.jpg)