Wizara yaanzisha programu ‘Panda Miti Kibiashara’
WIZARA ya Maliasili na Utalii kwa kushirikiana na Wizara ya Mambo ya Nje ya Finland, imeanzisha programu ya Panda Miti Kibishara (Private Forestry Programme). Mradi huo una lengo la kuwahamasisha...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-wgQf3hKFIos/U7wO0o92m3I/AAAAAAAFyfw/Cz9BuIxuXPA/s72-c/ob_bbd1d56a4b37ce4bd4f03f6cab50d0bd_mti6.jpg)
PROGRAMU MPYA YA ‘PANDA MITI KIBIASHARA’ YAANZISHWA NCHINI
![](http://3.bp.blogspot.com/-wgQf3hKFIos/U7wO0o92m3I/AAAAAAAFyfw/Cz9BuIxuXPA/s1600/ob_bbd1d56a4b37ce4bd4f03f6cab50d0bd_mti6.jpg)
Ingawaje Programu hiyo imeshiriki kwa mara ya kwanza katika maonyesho ya Sabasaba ilikuwa kati ya sehemu zilizowavutia watu wengi ndani banda la Maliasili na Utalii. Wananchi walotembelea...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-5vC28MoyDdc/VR0rW6y0lMI/AAAAAAAHO6Q/0poDtc0UjnA/s72-c/unnamed%2B(27).jpg)
MKOA WA KAGERA WAADHIMISHA SIKU YA KUPANDA MITI KITAIFA WILAYANI ‘MISSENYI MISITU NI MALI PANDA MITI'
![](http://1.bp.blogspot.com/-5vC28MoyDdc/VR0rW6y0lMI/AAAAAAAHO6Q/0poDtc0UjnA/s1600/unnamed%2B(27).jpg)
Maadhimisho hayo yaliyoongozwa na mgeni rasmi Naibu Katibu Mkuu Celestine Gesimba kutoka Wizara ya Maliasili na Utalii ambapo maadhimisho hayo yalianzia katika Kijiji cha Bugolola eneo la...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-i_MW29iAiY0/VoJfkm5MFgI/AAAAAAAAATM/c69VrdF193A/s72-c/DSC_4362.jpg)
SERIKALI KUPITIA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII, TAMISEMI NA OFISI YA MAKAMU WA RAIS MAZINGIRA NA MUUNGANO KUANZISHA PROGRAMU YA PAMOJA WA UPANDAJI MITI
![](http://3.bp.blogspot.com/-i_MW29iAiY0/VoJfkm5MFgI/AAAAAAAAATM/c69VrdF193A/s640/DSC_4362.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-tBZtX9-ij7g/VojfKc5brBI/AAAAAAAIQCs/BTrTdicniug/s72-c/8e3f6e3f-10d8-4221-9d0f-e2a532e37c12.jpg)
Programu ya kitaifa ya kupanda miti kuanza mwezi huu
10 years ago
VijimamboTBL YAANZISHA PROGRAMU YA MAFUNZO YA KUENDELEZA WAUZAJI WADOGO WADOGO WA VINYWAJI VYAO NCHINI
11 years ago
Habarileo15 Jul
Wizara yasisitiza programu ya kifungo cha nje
WIZARA ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Idara ya Huduma kwa Jamii imesema ili urekebishaji wa wahalifu chini ya programu ya kifungo cha nje ufanikiwe, Serikali ichukue hatua za makusudi kueneza utekelezaji wa sheria ya huduma kwa jamii kwa nchi nzima.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-f4NQ3-9WeqE/VZORHM8YWFI/AAAAAAAHmGM/OD5iD9mH4UE/s72-c/DSC_0158.jpeg)
WIZARA YA FEDHA-IDARA YA BAJETI KATIKA MAONYESHO YA 39 YA KIBIASHARA JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://1.bp.blogspot.com/-f4NQ3-9WeqE/VZORHM8YWFI/AAAAAAAHmGM/OD5iD9mH4UE/s640/DSC_0158.jpeg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-LVY5tIiVxgw/VZOHHUz87CI/AAAAAAAHmFA/zvGIls_i1ts/s640/072.jpeg)
11 years ago
Dewji Blog06 Jun
Wizara ya Uchukuzi yaadhimisha wiki ya Mazingira Duniani kwa kufanya usafi na kupanda Miti Bandarini
Mkurugenzi wa Idara ya Usalama na Mazingira wa Wizara ya Uchukuzi, Bi, Tumpe Mwaijande (kulia), akipanda mti katika eneo la bandari ya Dar es Salaam jana, kama sehemu ya maadhimisho ya Wiki ya Mazingira. Maadhimisho ya Wiki ya Mazingira yanafanyika kitaifa mkoani Mwanza ambapo kwa mwaka huu kauli mbiu ni ‘Tunza mazingira ili kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi Tanzania’.
Mkurugenzi wa Idara ya Utawala na Rasilimali Watu wizara ya Uchukuzi, Bw. Issa Nchasi, akifanya usafi katika eneo...
10 years ago
MichuziMKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM AONGOZA UPANDAJI MITI MABWEPANDE KATIKA MAADHIMISHO YA WIKI YA KUPANDA MITI