WIZI WA KARAFUU MASHAMBANI PEMBA
![](http://3.bp.blogspot.com/-XZvnu4Sc_w8/U81I6TEFOJI/AAAAAAAF4bA/ptaDv302Y-4/s72-c/unnamed+(46).jpg)
Wakati msimu wa uchumaji karafuu ukiendelea nao wizi wa zao hilo mashambani umeshamiri, Mkulima wa zao hilo Kombo Khamis Othman wa kijiji cha Ranguni Wete Pemba akionyesha matawi yaliyokatwa na wezi katika shamba lake.
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi15 Dec
Shehena ya karafuu yakamatwa Pemba
Kikosi Maalumu cha Kuzuia Magendo (KMKM), kimekamata shehena ya makonyo na karafuu kavu iliyodaiwa kusafirishwa kwenda nje ya nchi kwa njia ya magendo katika Bandari ya Milango Mikavu kisiwani hapa.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-LhXHdUSJt1s/VIskO9F7uaI/AAAAAAAG2v8/c7N3KwdtKCY/s72-c/unnamed%2B(93).jpg)
KARAFUU CHAFU YAKAMATWA PEMBA
![](http://3.bp.blogspot.com/-LhXHdUSJt1s/VIskO9F7uaI/AAAAAAAG2v8/c7N3KwdtKCY/s1600/unnamed%2B(93).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Ityqxplv1XQ/VIskOwlJA6I/AAAAAAAG2v4/1J_hGy29MXU/s1600/unnamed%2B(94).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-q8sBqSji1Ys/VIskPh-BzmI/AAAAAAAG2wI/se_8GrnBj0U/s1600/unnamed%2B(95).jpg)
9 years ago
Mwananchi16 Sep
Dk Shein: Karafuu itamaliza umasikini Pemba
Mgombea urais kwa tiketi ya CCM Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein amesema kama atachaguliwa kuwa rais atahakikisha anapambana na umasikini kwa kuboresha kilimo cha karafuu.
10 years ago
BBCSwahili18 Dec
Marashi ya Karafuu, je bado yapo Pemba?
Wakulima wa Karafuu Pemba wanasema wanaitaka Serikali yao kufanya juhudi kwa ajili ya kuendeleza zao ambalo wamekuwa wakizalisha kwa miaka mingi.
10 years ago
BBCSwahili17 Dec
Wakulima wa karafuu,Pemba waomba msaada
Wakulima Pemba wanaitaka Serikali yao kufanya juhudi kwa ajili ya kuendeleza zao ambalo wamekuwa wakizalisha kwa miaka mingi.
10 years ago
BBCSwahili19 Dec
Kilio cha wakulima wa Karafuu Pemba
Wakulima wa karafuu sasa wanasema wanahitaji serikali yao kuwasaidia zaidi ili kuweza kuendeleza kilimo cha zao hilo walilolima kwa miaka mingi.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-9iGMJNZXTR4/VItRaqn-S7I/AAAAAAAG24M/pWDLBcdGaG8/s72-c/unnamed%2B(40).jpg)
msako wa KARAFUU CHAFU kisiwani PEMBA wapamba moto
![](http://3.bp.blogspot.com/-9iGMJNZXTR4/VItRaqn-S7I/AAAAAAAG24M/pWDLBcdGaG8/s1600/unnamed%2B(40).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-YDcHBmv52TQ/VItRatR385I/AAAAAAAG24Y/0PMUOuc9kWI/s1600/unnamed%2B(41).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-HfqP-oWjzbM/VItRbMdP9xI/AAAAAAAG24Q/1_0jxvXRAEY/s1600/unnamed%2B(42).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-o_nrfdhXZ9U/U72V3DWNrAI/AAAAAAAF0Ng/pG-9lo9LM-c/s72-c/unnamed+(50).jpg)
DKT SHEIN ATEMBELEA MASHAMBA NA KUZINDUA MSIMU MPYA WA KARAFUU PEMBA
![](http://2.bp.blogspot.com/-o_nrfdhXZ9U/U72V3DWNrAI/AAAAAAAF0Ng/pG-9lo9LM-c/s1600/unnamed+(50).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-IjBWYQTPUmE/U72V5S8tnJI/AAAAAAAF0Ns/j8r8MrlZS3c/s1600/unnamed+(51).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-q4_JoQxGNgE/U72V5ChdwtI/AAAAAAAF0No/g00c9NhzZoQ/s1600/unnamed+(52).jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-0bmVotg7m7g/Vk2LdGRwQRI/AAAAAAAIGvQ/RA1awx_6R8U/s72-c/MKULIMA.jpg)
SERIKALI YAPIGA MARUFUKU UUZAJI, UNUNUZI WA KARAFUU KWA ‘VIKOMBE’ KUEPUSHA WIZI NA UKATAJI MIKARAFUU.
![](http://1.bp.blogspot.com/-0bmVotg7m7g/Vk2LdGRwQRI/AAAAAAAIGvQ/RA1awx_6R8U/s640/MKULIMA.jpg)
Na Ali MohamedSERIKALI imepiga marufuku uuzaji na ununuzi wa karafuu usio rasmi (vikombe) kuepusha wizi wa karafuu mashambani na ukataji wa mikarafuu unaofanywa na baadhi ya watu kutokana na kuzoeleka kwa biashara hiyo.
Wakizungumza katika nyakati tofauti Wakuu wa Wilaya za Unguja na Pemba wamesema hakuna ruhusa kwa mtu yoyote kuuza au kununua karafuu mbichi au kavu...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania