Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


YALE YALEEEE......

Ankal Salam Aleikum,
Naomba uniwekee taarifa hii ya zengwe alilokutana nalo dereva wetu wa bodaboda ambaye alikamatwa jana maeneo ya posta na Jamaa wanaojiita TAMBAZA AUCTION MART & GENERAL BROKER sasa baada ya kugoma kulipa fain ya TSH 50,000 jamaa ambaye ndo mkuu wa hicho kikosi kilichokua pale kwenye traffik lights za Serena akasema anatupa kibali cha 20,000....na hata mtoza faini ..sasa angalia angalia hiyo fomu ya faini ambayo jamaa alikua kamjazia ili alipe faini ya 50,000 ...na...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

10 years ago

Michuzi

YALE YALEEEE....BAADA YA MSHIKAKI SASA KUNA KACHUMBARI....

Wadau wakisafiri katika barabara ya Msata-Bagamoyo maeneo ya Kiwangwa kwa staili ya  "Kachumbari"

 

10 years ago

Michuzi

YALE YALEEEE.......:Gari lapinduka wakati dereva akiwakimbia askari Polisi

Baadhi ya wakazi wa mji wa Moshi wakiangalia kwa mshangao gari aina ya Toyota Spacio, lenye namba za usajili, T111 BHW likiwa limepinduka chini juu mbele ya ofisi za TFA barabara ya Boma ,jirani kabisa na kipita shoto cha mnara wa saa ,Dereva wa gari hilo anadaiwa alikuwa akijaribu kuwakimbia askari wa kikosi cha barabarani kwa mwendo wa kasi kabla ya kugonga gari jingine na hatimaye kupinduka.hakuna aliepoteza maisha kwenye tukio hilo la ajali.Picha na Dixon Busagaga wa Globu ya jamii...

 

10 years ago

Michuzi

11 years ago

GPL

YALE YALE: WAZIRI MAGUFULI ANAPOTAFUTWA UBAYA....

Semi-Trela likiwa limebeba kontena likiwa limeanguka baada ya kulielemea  kwa uzito na kulivunja daraja la chuma katika barabara ya Banana-Kinyerezi maeneo ya Tabata jijini Dar es salaam jana jioni. Haikuweza kufahamika mara moja lilikuwa limebeba mzigo gani na kama dereva alikuwa anajua daraja hilo ni kwa magari yenye uzito wa wastani  wa tani 7 tu au ni kiburi tu.  Hakika Waziri wa Ujenzi Dkt John Pombe Magufuli ...

 

11 years ago

Mwananchi

Stars yale yale, Zanzibar wafanya fujo

Nairobi.Ndoto ya Kilimanjaro Stars kumaliza katika nafasi ya tatu iliyayuka baada ya kufungwa kwa penalti 6-5 na Zambia, huku wachezaji wa Zanzibar wakifanya fujo kambini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani