Yamoto, Kalunde Band kupamba tuzo za Taswa
BENDI ya Yamoto na Kalunde zinatarajiwa kutumbuiza wakati wa sherehe za Tuzo za Wanamichezo Bora na Tuzo ya Heshima ya Rais Jakaya Kikwete leo Jumatatu Oktoba 12, 2015.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi11 Oct
YAMOTO BENDI NA KALUNDE KUTUMBUIZA KATIKA TUZO ZA TASWA JUMA TATU HII
Maandalizi kuhusiana na tuzo hizo zinazoandaliwa na Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo nchini (TASWA) yamekamilika kwa kiasi kikubwa na baadhi ya wanamichezo wanaotoka nje ya Dar es Salaam ambao ni miongoni mwa watakaopewa tuzo wanatarajiwa kuwasili leo jioni tayari kwa shughuli hiyo.
Tunaamini uwepo wa Yamoto na...
10 years ago
Dewji Blog29 Aug
SautiSol, Yamoto Band, Skylight Band na wengine kibao kupamba BEAUTY & MUSIC NIGHT kesho Escape One
#LIPALA DANCE Itachezeka kisawa sawa hapo kesho!
Tiketi zinapatikana kwenye vituo vifuatavyo
10 years ago
Michuzi20 Jul
KALUNDE BAND KATIKA UBORA WAO, WAFANYA KWELI KLABU YA GMB MBEZI
![????????????????????????????????????](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/166.jpg)
![????????????????????????????????????](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/260.jpg)
![????????????????????????????????????](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/439.jpg)
10 years ago
Dewji Blog04 Sep
Sauti Sol, Skylight Band na Yamoto Band wapagawisha wakazi wa Dar BEAUTY and MUSIC Night!
Kundi la muziki kutoka nchini Kenya Sauti Sol waking’ara kwenye Red Carpet mwishoni mwa juma kwenye BEAUTY and MUSIC Night uliofanyika kwenye fukwe za Escape One Mikocheni jijini Dar.
Petit Man (katikati) akishow love na wasanii wa bongo flava waliotumbuiza kwenye usiku huo maalum Kulia ni Mirror na Kushoto ni msanii wa bongo flava Jordan.
Mwanadada mrembo akishow love mbele ya camera yetu.
Petit Man Wakuache aking’ara kwenye Red Carpet.
Mirror na msanii mwenzake Jordan wakishow love...