YAMOTO BENDI NA KALUNDE KUTUMBUIZA KATIKA TUZO ZA TASWA JUMA TATU HII
BENDI ya Yamoto na Kalunde zinatarajiwa kutumbuiza wakati wa sherehe za Tuzo za Wanamichezo Bora na Tuzo ya Heshima ya Rais Jakaya Kikwete kesho Jumatatu Oktoba 12, 2015.
Maandalizi kuhusiana na tuzo hizo zinazoandaliwa na Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo nchini (TASWA) yamekamilika kwa kiasi kikubwa na baadhi ya wanamichezo wanaotoka nje ya Dar es Salaam ambao ni miongoni mwa watakaopewa tuzo wanatarajiwa kuwasili leo jioni tayari kwa shughuli hiyo.
Tunaamini uwepo wa Yamoto na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo12 Oct
Yamoto, Kalunde Band kupamba tuzo za Taswa
BENDI ya Yamoto na Kalunde zinatarajiwa kutumbuiza wakati wa sherehe za Tuzo za Wanamichezo Bora na Tuzo ya Heshima ya Rais Jakaya Kikwete leo Jumatatu Oktoba 12, 2015.
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-uoxQ0ZZ5MU8/VmRKx2F92II/AAAAAAAIKfo/RexZr7SIgB8/s72-c/Yamoto-Band-12.png)
YAMOTO BENDI WAINGIA TUZO ZA KORA
![](http://2.bp.blogspot.com/-uoxQ0ZZ5MU8/VmRKx2F92II/AAAAAAAIKfo/RexZr7SIgB8/s640/Yamoto-Band-12.png)
Na Mwandishi MwetuWAKATI jana wakiendelea kutoa burudani katika mji wa Washington DC, Bendi ya Yamoto, imeingia katika kuwania tuzo za Kora 2016, ikiingia katika kipengele cha Most Promising Male Artist Of Africa.
Mkurugenzi wa bendi hiyo Said Fella, alisema kwanza anamshukuru Mungu vijana wake juzi usiku walikuwa na onesho lao la pili lililofanyika Washington DC na kuweza kufanya vizuri, lakini la pili kuingia katik tuzo za Kora.
Fella...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-j6ul5PRpovc/U6vGTJA4H9I/AAAAAAACkUk/oAY8_CnYHgk/s72-c/IMG-20140625-WA0006.jpg)
JUMA PINTO MGENI RASMI KATIKA BONANZA LA TASWA ARUSHA
![](http://1.bp.blogspot.com/-j6ul5PRpovc/U6vGTJA4H9I/AAAAAAACkUk/oAY8_CnYHgk/s1600/IMG-20140625-WA0006.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-v32YxW9icHs/U6vGXeiJp7I/AAAAAAACkU4/H6yGCdqVBLA/s1600/IMG-20140625-WA0008.jpg)
10 years ago
Bongo504 Mar
Diamond kutumbuiza kwenye tuzo za ‘Africa Magic Viewers’ Choice Awards’, Lagos Jumamosi hii
11 years ago
Bongo522 Jul
Tuzo za AFRIMMA kufanyika Jumamosi hii (July 26) Marekani, T-Pain, Davido, Diamond, Iyanya kutumbuiza
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-rIZRQSuta_k/Vhz71iXGO9I/AAAAAAAH_wo/13qGrIyt8lg/s72-c/Jakaya-Kikwete-1.jpg)
WALIOPEWA TUZO JANA KATIKA SHEREHE YA TASWA)
![](http://4.bp.blogspot.com/-rIZRQSuta_k/Vhz71iXGO9I/AAAAAAAH_wo/13qGrIyt8lg/s320/Jakaya-Kikwete-1.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Mmw-kcctJ0c/Vfx4CXtHS3I/AAAAAAAH59Y/0-BDG4IVP1M/s72-c/download%2B%25282%2529.jpg)
MAMLAKA ya Hifadhi ya Ngorongoro yaipiga jeki taswa katika tuzo za Wanamichezo Bora
![](http://2.bp.blogspot.com/-Mmw-kcctJ0c/Vfx4CXtHS3I/AAAAAAAH59Y/0-BDG4IVP1M/s400/download%2B%25282%2529.jpg)
Tuzo hizo zinazoandaliwa na Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA zinatarajiwa kufanyika Oktoba 8, mwaka huu ukumbi wa Mlimani City, Dar es Salaam, ambapo pia TASWA itatoa Tuzo ya Heshima kwa Rais Kikwete ikiwa ni kuthamini mchango wake kwa sekta ya michezo katika uongozi...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-D3E9rmz9il0/VO1BUpvgZ1I/AAAAAAAHFv8/FGHr9kPa21E/s72-c/unnamed%2B(32).jpg)
Bendi ya Yamoto yafanya ziara Ubalozini London