Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bendi ya Yamoto yafanya ziara Ubalozini London

Mwishoni mwa wiki iliyopita vijana machachari wa Yamoto Band walifanya ziara maalum kutembelea ubalozi wetu a jijini London, Uingereza, na kupata fursa ya kukutana na Balozi Peter Kallaghe na kujadili nae kuhusu tasnia ya muziki Tanzania. Aidha Mh Balozi Kallaghe aliwapongeza kwa kazi zao nzuri na kuwaasa kuwa waendelee kujituma kwa moyo zaidi, huku akiwatahadharisha wasilewe sifa na kuwa nguvu ya soda, bali wawe mfano wa kuigwa kwa kudumu pamoja kwa muda mrefu. Bendi ya Yamoto iko nchini...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

YAMOTO BENDI WAINGIA TUZO ZA KORA

Waimbaji wa yamoto bendi wakiwa katika picha ya pamoja.
Na Mwandishi MwetuWAKATI jana wakiendelea kutoa burudani katika mji wa Washington DC, Bendi ya Yamoto, imeingia katika kuwania tuzo za Kora 2016, ikiingia katika kipengele cha Most Promising Male Artist Of Africa.
Mkurugenzi wa bendi hiyo Said Fella, alisema kwanza anamshukuru Mungu vijana wake juzi usiku walikuwa na onesho lao la pili lililofanyika Washington DC na kuweza kufanya vizuri, lakini la pili kuingia katik tuzo za Kora. 
Fella...

 

10 years ago

Michuzi

YAMOTO BENDI NA KALUNDE KUTUMBUIZA KATIKA TUZO ZA TASWA JUMA TATU HII

BENDI ya Yamoto na Kalunde zinatarajiwa kutumbuiza wakati wa sherehe za Tuzo za Wanamichezo Bora na Tuzo ya Heshima ya Rais Jakaya Kikwete kesho Jumatatu Oktoba 12, 2015.
Maandalizi kuhusiana na tuzo hizo zinazoandaliwa na Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo nchini (TASWA) yamekamilika kwa kiasi kikubwa na baadhi ya wanamichezo wanaotoka nje ya Dar es Salaam ambao ni miongoni mwa watakaopewa tuzo wanatarajiwa kuwasili leo jioni tayari kwa shughuli hiyo.
Tunaamini uwepo wa Yamoto na...

 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

Vijimambo

YAMOTO BAND LIVE IN LONDON

Vijana wa Yamoto Band siku ya 21 February 2015 waliweka Historia katika jiji la London wakiwa ni watanzania wa kwanza kufanya Live show kwenye ukumbi wa Royal Regency na kuhudhuliwa na mamia ya wakaazi wa Jiji la London na vitongoji vyake. video hapo chini ni Kionjo tuu cha mambo yalivyokuwa.

 

10 years ago

Vijimambo

YAMOTO BAND YAWASHA MOTO LONDON

Yamoto Band wakiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Uingereza Mhe. Peter Kalage kwenye usiku wa onesho la Mkubwa na Wanae (Yamoto Band) siku ya Jumamosi Februari 21, 2015 jijini London nchini Uingereza wapili toka kushoto ni mratibu wa safari ya wasanii hao Bi. Jestina George.Mkubwa na Wanae (Yamoto Band) wakishambulia jukwaa huku shabiki akishindwa kujizuia nae akienda smbamba na wasanii hao jukwaani siku ya Jumamosi Februari 21, 2015 jijini London...

 

10 years ago

Michuzi

Yamoto Band ndani ya Royal Regency, UK London

Vijana wa Yamoto Band jumamosi iliyopita Walipiga Bonge moja la Show huko UK London katika Ukumbi wa Royal Regency na kuhudhuliwa na watu kibao wanaoishi huko, Hizi ni picha za matukio katika Show Hiyo.Pichani wakiwa na Balozi wa Tanzania nchini Uingereza,Balozi Peter Kallaghe pamoja na mwanadada Jestina George.Dogo Asley akifanya yake stejini.
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI


 

10 years ago

Dewji Blog

Picha zote za show ya Yamoto Band ndani ya Royal Regency, UK London

Vijana wa Yamoto Band jumamosi iliyopita Walipiga Bonge moja la Show huko UK London katika Ukumbi wa Royal Regency na kuhudhuliwa na watu kibao wanaoishi huko, Hizi ni picha za matukio katika Show Hiyo. Picha zaidi Ingia www.harakatizabongo.com

10386934_828991617161297_1265181723487925171_o

 

10 years ago

Michuzi

YAMOTO BAND LIVE KWA MARA YA KWANZA KWENYE JIJI LA LONDON

 Confirmed...21Feb2015..Yamoto! Yamoto! Yamoto Band Live in the UK For the first Time Ever...When we Say Live, we mean 
Live with Full Band & Dancers...This is one show that's not to be Missed... Sponsored by @officialjestinageorgeblog @bongodeejays@zuriihouseofbeauty
 Zurii House of Beauty CEO akiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya wasanii wa yamoto band Maromboso na Aslay  baada ya makubaliano ya kuwadhamini band hiyo kuja  kufanya show yao jijini London @maromboso @aslayisihaka Zurii...

 

11 years ago

Michuzi

Mashujaa bendi kufanya ziara mikoani

Mkurugenzi wa Mawasiliano wa bendi ya muziki wa dansi ya Mashujaa Maximillian Luhanga (kulia) akizungumza na Waandishi wa Habari jana kuhusu ziara yao itakayofanyika katika mikoa yote baada ya mfungo wa Mwezi wa Ramadhan, kustoto ni rapa wa bendi hiyo Raja Ladha.
BENDI ya muziki wa dansi nchini Mashujaa, inatarajia kufanya ziara katika mikoa ya nchini nzima kwa ajili ya kutoa shukrani kwa mashabiki wao waliowapigia kura kwenye tuzo za Kilimanjaro Music Awards.
Akizungumza Dar es Salaam...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani