YAMOTO BENDI WAINGIA TUZO ZA KORA
![](http://2.bp.blogspot.com/-uoxQ0ZZ5MU8/VmRKx2F92II/AAAAAAAIKfo/RexZr7SIgB8/s72-c/Yamoto-Band-12.png)
Waimbaji wa yamoto bendi wakiwa katika picha ya pamoja.
Na Mwandishi MwetuWAKATI jana wakiendelea kutoa burudani katika mji wa Washington DC, Bendi ya Yamoto, imeingia katika kuwania tuzo za Kora 2016, ikiingia katika kipengele cha Most Promising Male Artist Of Africa.
Mkurugenzi wa bendi hiyo Said Fella, alisema kwanza anamshukuru Mungu vijana wake juzi usiku walikuwa na onesho lao la pili lililofanyika Washington DC na kuweza kufanya vizuri, lakini la pili kuingia katik tuzo za Kora.
Fella...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo504 Dec
Diamond, Vanessa, Wakazi, Mpoto na Yamoto watajwa kuwania tuzo za Kora 2016, zawadi kubwa ni sh. Bilioni 2
![kora2016](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/kora2016-300x194.jpg)
Hatimaye majina ya wanaowania tuzo za Kora 2016 yametangazwa rasmi leo Dec.3 , ambapo Tanzania inawakilishwa na wasanii watano.
Diamond Platnumz ametajwa kuwania kipengele cha Best Male- East Africa, huku Vanessa Mdee akiwania Best Female-East Africa. Wakazi anawania kipengele cha Best Hip Hop, na Yamoto Band wametajwa kuwania kipengele cha Most Promising Male Artist Of Africa, bila kumsahau Mrisho Mpoto anayewania Best Traditional Male Artist Of Africa.
Mbali na tuzo yenyewe zawadi kubwa...
9 years ago
Michuzi11 Oct
YAMOTO BENDI NA KALUNDE KUTUMBUIZA KATIKA TUZO ZA TASWA JUMA TATU HII
Maandalizi kuhusiana na tuzo hizo zinazoandaliwa na Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo nchini (TASWA) yamekamilika kwa kiasi kikubwa na baadhi ya wanamichezo wanaotoka nje ya Dar es Salaam ambao ni miongoni mwa watakaopewa tuzo wanatarajiwa kuwasili leo jioni tayari kwa shughuli hiyo.
Tunaamini uwepo wa Yamoto na...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yO1JdgjIDGZrXAovHTfMuMHfX3M8KYvBLU4hgwMJqAckJ0*O8Cvgfum7jeFplZg9IGzQIZJYBbAK*H-ApDa4B8czZ9qmnsg2/Diamond22.jpg?width=650)
DIAMOND ATWAA TUZO YA KORA
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-D3E9rmz9il0/VO1BUpvgZ1I/AAAAAAAHFv8/FGHr9kPa21E/s72-c/unnamed%2B(32).jpg)
Bendi ya Yamoto yafanya ziara Ubalozini London
10 years ago
Bongo510 Oct
Mrisho Mpoto ateuliwa kuwa balozi wa tuzo za Kora Tanzania
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-oEp-Ww21t9I/U5QkwThhXyI/AAAAAAAFoxg/WvwM7zCzTeM/s72-c/20140608-113842-41922092.jpg)
11 years ago
Dewji Blog08 Jun
9 years ago
Habarileo12 Oct
Yamoto, Kalunde Band kupamba tuzo za Taswa
BENDI ya Yamoto na Kalunde zinatarajiwa kutumbuiza wakati wa sherehe za Tuzo za Wanamichezo Bora na Tuzo ya Heshima ya Rais Jakaya Kikwete leo Jumatatu Oktoba 12, 2015.
9 years ago
MillardAyo17 Dec
Dakika 4 za kuenjoy ngoma ya bendi ya wafungwa Malawi waliotajwa Tuzo za Grammy.. (+Video)
Kama ulikuwa karibu na radio yako jana December 16 2015 moja ya stori kubwa iliyosikika kwenye AMPLIFAYA ilikuwa ni hii inayohusu bendi ya wafungwa kutoka Malawi iliyotajwa kuingia kwenye Tuzo za Grammy zitakazotolewa February 2016. Bendi Inaitwa Zomba Prison Band na tayari wana album ambayo wameipa jina la ‘I Have No Everything Here‘, bendi hiyo ina […]
The post Dakika 4 za kuenjoy ngoma ya bendi ya wafungwa Malawi waliotajwa Tuzo za Grammy.. (+Video) appeared first on...