JUMA PINTO MGENI RASMI KATIKA BONANZA LA TASWA ARUSHA
![](http://1.bp.blogspot.com/-j6ul5PRpovc/U6vGTJA4H9I/AAAAAAACkUk/oAY8_CnYHgk/s72-c/IMG-20140625-WA0006.jpg)
picha ikionyesha katibu wa chama cha waandishi wa habari Mussa Juma akiwa na mwenyekiti wa chama cha waandishi wa habari za michezo, Arusha (TASWA) Jamila Omary wakiwa wana pokea cheki ya shilingi milioni moja na laki tano kutoka kwa meneja masoko wa Megatrade Gudluck Kwayu katika ukumbi wa hoteli ya palace mkoani Arusha.
katibu wa taswa wa kwanza kushoto Musa juma akiwa anaongea na waandishi wa habari kuhusiana na bonanza la taswa linalotarajiwa kufanyika jumamosi katika...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima01 Jul
AJTC yang’ara bonanza la Taswa Arusha
TIMU ya Chuo cha Uandishi wa Habari na Utangazaji Arusha (AJTC), kimefanikiwa kung’ara kwenye bonanza la Kanda ya Kaskazini lililoandaliwa na Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Mkoa wa...
9 years ago
Habarileo28 Aug
RC mgeni rasmi bonanza la wanahabari
MKUU wa Mkoa (RC) wa Arusha, Felix Ntibenda anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Tamasha la 10 la Vyombo vya Habari vya Mkoa wa Arusha litakalofanyika kesho kwenye Uwanja wa Shekhe Amri Abeid.
9 years ago
Habarileo20 Aug
Rashid mgeni rasmi bonanza la selimundu
WAZIRI wa Afya, Dk Seif Rashid anatarajiwa kuwa mgeni rasmi wa bonanza maalumu kwa ajili ya kuhamasisha watanzania kwa upimaji wa selimundu. Katika bonanza hilo wasanii Banana Zoro, Mwana Fa, Yvonne Cherry (Monalisa), Wema Sepetu na mwanamitindo maarufu aliyewahi kuwa Miss Tanzania mwaka 1998, Basila Mwanukuzi watapamba.
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-SQG-HzBgaIo/VdywdZX6vuI/AAAAAAAHz-o/ex_-HWIFmh0/s72-c/bb%2B1.jpg)
MKUU WA MKOA WA ARUSHA FELIX NTIBENDA KUWA MGENI RASMI KATIKA TAMASHA LA 10 LA VYOMBO VYA HABARI
Mkuu wa mkoa wa Arusha, Felix Ntibenda,anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika tamasha la 10 la vyombo vya habari vya mkoa wa Arusha. ambalo litafanyika Agosti 29 katika uwanja wa sheikh Amri Abeid.
Akizungumza na waandishi wa habari Palace hoteli jana mwenyekiti wa TASWA mkoa wa Arusha, Jamila Omar na Katibu wa TASWA Arusha, Mussa Juma walisema maandalizi yote muhimu yamekamilika ikiwepo ujio wa timu ya TASWA kutoka jijini Dar es Salaam.
Omar alisema Kauli mbiu ya Mwaka...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-D3lU1L5MZaU/VIhFlg6k4QI/AAAAAAAG2Wk/-qGwSOdPDLc/s72-c/dr_shein.jpg)
DKT. SHEIN KUWA MGENI RASMI UTOAJI TUZO ZA TASWA
![](http://2.bp.blogspot.com/-D3lU1L5MZaU/VIhFlg6k4QI/AAAAAAAG2Wk/-qGwSOdPDLc/s1600/dr_shein.jpg)
Tuzo hizo zinaandaliwa na Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA) na mwaka huu zimedhaminiwa na Selcom Wireless, Said Salim Bakhresa & Co Ltd - Bakhresa Group, IPTL, mifuko ya hifadhi ya jamii, PSPF na NSSF.
TASWA inaishukuru Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kwa ushirikiano wake na kukubali Rais Dk. Shein...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-zsoS9GwDsiE/U8BFL6GX2WI/AAAAAAAF1RI/xCS7PCIYKqI/s72-c/unnamed+(23).jpg)
Ally Fereji Tamim mgeni rasmi Zanzibar Beach Soccer Bonanza, Agosti 2
![](http://1.bp.blogspot.com/-zsoS9GwDsiE/U8BFL6GX2WI/AAAAAAAF1RI/xCS7PCIYKqI/s1600/unnamed+(23).jpg)
11 years ago
Daily News03 Mar
Pinto, Mhando retain TASWA posts
Daily News
JUMA Pinto and Amir Mhando were re-elected Tanzania Sports Writers Association (TASWA) chairman and secretary general respectively for another three-year term. The duo were unopposed at the election held peacefully at the NSSF Water Front in Dar es ...
10 years ago
Michuzi13 Dec
RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI DR. ALI MOHAMMED SHEIN MGENI RASMI TUZO ZA TASWA USIKU HUU
![0001](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/12/0001.jpg)
![003](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/12/0031.jpg)