Ally Fereji Tamim mgeni rasmi Zanzibar Beach Soccer Bonanza, Agosti 2
![](http://1.bp.blogspot.com/-zsoS9GwDsiE/U8BFL6GX2WI/AAAAAAAF1RI/xCS7PCIYKqI/s72-c/unnamed+(23).jpg)
Na Andrew ChaleTAASISI ya Mwangaza wa buradani Zanzibar (Zanzibar Light Entertainment ) ya mjini Unguja, Zanzibar, kupitia vyombo vya habari, imemtangaza rasmi , Raisi mstaafu wa Chama cha Soka Zanzibar, (Zanzibar Football Association-ZFA) Mzee Ally Fereji Tamim kuwa mgeni rasmi kwenye michuano maalum ya soka la ufukweni lijulikanayo kama (Zanzibar Beach Soccer Championship Bonanza) linalotarajiwa kufanyika Agosti Mbili mwaka huu katika fukwe za Nungwi.Kwa mujibu wa taarifa yao...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima15 Jul
Ally Fereji mgeni Zanzibar Beach Soccer Bonanza
TAASISI ya Mwangaza wa Burudani Zanzibar, maarufu kama Zanzibar Light Entertainment, Imemteua Rais mstaafu wa Chama cha Soka Zanzibar (ZFA), Ally Fereji Tamim, kuwa mgeni rasmi katika michuano ya soka...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-CUA-A5T1Fz0/U8mFwzT0_sI/AAAAAAAF3kI/dGURx-gOthY/s72-c/unnamed+(22).jpg)
ZANZIBAR BEACH SOCCER KUCHEZWA KENDWA ROCK'S HOTEL BEACH
Kwa mujibu wa taarifa yao hiyo kwa vyombo vya habari, iliyotolewa na Mwandaaji wa michezo hiyo, Muslim Nassor ‘Jazzphaa’ ilieleza kuwa, kamati ya...
9 years ago
Habarileo28 Aug
RC mgeni rasmi bonanza la wanahabari
MKUU wa Mkoa (RC) wa Arusha, Felix Ntibenda anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Tamasha la 10 la Vyombo vya Habari vya Mkoa wa Arusha litakalofanyika kesho kwenye Uwanja wa Shekhe Amri Abeid.
9 years ago
Habarileo20 Aug
Rashid mgeni rasmi bonanza la selimundu
WAZIRI wa Afya, Dk Seif Rashid anatarajiwa kuwa mgeni rasmi wa bonanza maalumu kwa ajili ya kuhamasisha watanzania kwa upimaji wa selimundu. Katika bonanza hilo wasanii Banana Zoro, Mwana Fa, Yvonne Cherry (Monalisa), Wema Sepetu na mwanamitindo maarufu aliyewahi kuwa Miss Tanzania mwaka 1998, Basila Mwanukuzi watapamba.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-j6ul5PRpovc/U6vGTJA4H9I/AAAAAAACkUk/oAY8_CnYHgk/s72-c/IMG-20140625-WA0006.jpg)
JUMA PINTO MGENI RASMI KATIKA BONANZA LA TASWA ARUSHA
![](http://1.bp.blogspot.com/-j6ul5PRpovc/U6vGTJA4H9I/AAAAAAACkUk/oAY8_CnYHgk/s1600/IMG-20140625-WA0006.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-v32YxW9icHs/U6vGXeiJp7I/AAAAAAACkU4/H6yGCdqVBLA/s1600/IMG-20140625-WA0008.jpg)
10 years ago
Dewji Blog05 Mar
Rais Kikwete kuwa mgeni rasmi Bonanza la Maveteran wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki, Aprili 4-5, mwaka huu
Mwenyekiti wa Klabu ya Maveteran, Mussa Kisoky (katikati) akizungumza na wandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa mkutano wao juu ya Bonanza hilo la Maveteran wa Afrika Mashariki hiyo Aprili 4 hadi 5, mwaka huu. Kushoto kwake ni Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi, Mtemi Ramadhani na kwa upande wa kulia ni, Lawarence Mwalusako, tukio lililofanyika katika ukumbi wa Idara habari MAELEZO, jijini Dar es Salaam (Picha na Andrew Chale).
Na Andrew Chale wa Mo dewji blog
RAIS wa Jamhuri ya...
9 years ago
Dewji Blog20 Oct
Diamond Platinums awa mgeni rasmi Mahafali ya Nane ya shule ya awali na Msingi Rightway, Mbezi Beach
10 years ago
MichuziRAIS WA ZANZIBAR MGENI RASMI KATIKA MAHAFALI CHUO CHA UDAKTARI ZANZIBAR
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Yoxb_aT2G2g/U_CZS74XDhI/AAAAAAAGALQ/1H1BN-u3tQI/s72-c/504.jpg)
Mke wa Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar mgeni rasmi kwenye hafla ya kuwaaga wanafunzi wa Zanzibar wanaosoma chuo Kikuu cha Kiislamu Morogoro
Mama Asha Suleiman Iddi alisema hayo wakati wa hafla maalum ya kuagana kwa wana jumuiya ya wanafunzi wa Zanzibar wanaosoma chuo Kikuu cha Kiislamu Morogoro wa ZAMUMSA ambao wanatarajiwa kumaliza mafunzo yao mwezi Novemba mwaka huu...