Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ally Fereji mgeni Zanzibar Beach Soccer Bonanza

TAASISI ya  Mwangaza wa Burudani Zanzibar, maarufu kama Zanzibar Light Entertainment, Imemteua Rais mstaafu wa Chama cha Soka  Zanzibar (ZFA), Ally Fereji Tamim, kuwa mgeni rasmi katika michuano ya soka...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Ally Fereji Tamim mgeni rasmi Zanzibar Beach Soccer Bonanza, Agosti 2

 Na Andrew ChaleTAASISI ya  Mwangaza wa buradani Zanzibar  (Zanzibar Light Entertainment ) ya mjini Unguja,  Zanzibar, kupitia vyombo vya habari, imemtangaza rasmi , Raisi mstaafu wa  Chama cha Soka  Zanzibar, (Zanzibar Football Association-ZFA) Mzee Ally Fereji Tamim  kuwa mgeni rasmi kwenye michuano maalum ya soka la ufukweni  lijulikanayo kama  (Zanzibar Beach Soccer Championship Bonanza) linalotarajiwa kufanyika Agosti  Mbili mwaka huu katika fukwe za  Nungwi.Kwa mujibu wa taarifa yao...

 

11 years ago

Michuzi

ZANZIBAR BEACH SOCCER KUCHEZWA KENDWA ROCK'S HOTEL BEACH

Na Andrew ChaleTAASISI ya  Mwangaza wa buradani Zanzibar  (Zanzibar Light Entertainment ) ya mjini Unguja,  Zanzibar, Imemtangaza rasmi  Hotel ya Kendwa Rocks  kuwa eneo litakapofanyika  michuano m aalum ya soka la ufukweni  lijulikanayo kama  (Zanzibar Beach Soccer Championship Bonanza) linalotarajiwa kufanyika Agosti  Mbili mwaka huu.
Kwa mujibu wa taarifa yao hiyo  kwa vyombo vya habari, iliyotolewa na Mwandaaji wa michezo hiyo, Muslim Nassor ‘Jazzphaa’  ilieleza kuwa,  kamati ya...

 

10 years ago

Mwananchi

‘Beach Band Bonanza’

Bendi mbalimbali za muziki wa dansi na wasanii wa Bongo Fleva wanatarajia kushiriki katika bonanza  ‘Beach Band Bonanza’ litakalofanyika leo katika Ufukwe wa Azura, Kawe jijini Dar es Salaam.

 

9 years ago

Habarileo

RC mgeni rasmi bonanza la wanahabari

MKUU wa Mkoa (RC) wa Arusha, Felix Ntibenda anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Tamasha la 10 la Vyombo vya Habari vya Mkoa wa Arusha litakalofanyika kesho kwenye Uwanja wa Shekhe Amri Abeid.

 

10 years ago

Vijimambo

Tanzania yaichapa Kenya -Beach Soccer .



Mpira wa Ufukweni timu ya Tanzania
Timu ya Taifa ya Tanzania ya Mpira wa Miguu wa Ufukweni (Beach Soccer) jana imeibuka na ushindi wa mabao 5- 3 ugenini dhidi wa wenyeji timu ya Taifa ya Kenya kwenye mchezo uliofanyika kwenye Uwanja wa fukwe za Hotel ya Big Tree Pirates jijini Mombasa.Katika mchezo huo mabao ya Tanzania yalifungwa na Ali Rabbi mabao manne na Mwalimu Akida bao moja .
Kipindi cha kwanza kilimazika kwa Tanzania kupata mabao 2 Kenya 1, kipindi cha pili kilimalizika Tanzania 4...

 

10 years ago

BBCSwahili

Tanzania kuikabili kenya beach soccer

Timu ya Taifa ya Tanzania ya mpira wa ufukweni imepangiwa kucheza na Kenya katika raundi ya kwanza ya michuano ya Afrika.

 

9 years ago

Habarileo

Rashid mgeni rasmi bonanza la selimundu

WAZIRI wa Afya, Dk Seif Rashid anatarajiwa kuwa mgeni rasmi wa bonanza maalumu kwa ajili ya kuhamasisha watanzania kwa upimaji wa selimundu. Katika bonanza hilo wasanii Banana Zoro, Mwana Fa, Yvonne Cherry (Monalisa), Wema Sepetu na mwanamitindo maarufu aliyewahi kuwa Miss Tanzania mwaka 1998, Basila Mwanukuzi watapamba.

 

11 years ago

Tanzania Daima

DIT, CBE kucheza fainali ‘beach soccer’

FAINALI ya michuano ya soka ya ufukweni (Beach Soccer), kati ya Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT), na Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE), inatarajiwa kuchezwa kwenye ufukwe wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani