Rashid mgeni rasmi bonanza la selimundu
WAZIRI wa Afya, Dk Seif Rashid anatarajiwa kuwa mgeni rasmi wa bonanza maalumu kwa ajili ya kuhamasisha watanzania kwa upimaji wa selimundu. Katika bonanza hilo wasanii Banana Zoro, Mwana Fa, Yvonne Cherry (Monalisa), Wema Sepetu na mwanamitindo maarufu aliyewahi kuwa Miss Tanzania mwaka 1998, Basila Mwanukuzi watapamba.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo28 Aug
RC mgeni rasmi bonanza la wanahabari
MKUU wa Mkoa (RC) wa Arusha, Felix Ntibenda anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Tamasha la 10 la Vyombo vya Habari vya Mkoa wa Arusha litakalofanyika kesho kwenye Uwanja wa Shekhe Amri Abeid.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-j6ul5PRpovc/U6vGTJA4H9I/AAAAAAACkUk/oAY8_CnYHgk/s72-c/IMG-20140625-WA0006.jpg)
JUMA PINTO MGENI RASMI KATIKA BONANZA LA TASWA ARUSHA
![](http://1.bp.blogspot.com/-j6ul5PRpovc/U6vGTJA4H9I/AAAAAAACkUk/oAY8_CnYHgk/s1600/IMG-20140625-WA0006.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-v32YxW9icHs/U6vGXeiJp7I/AAAAAAACkU4/H6yGCdqVBLA/s1600/IMG-20140625-WA0008.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-zsoS9GwDsiE/U8BFL6GX2WI/AAAAAAAF1RI/xCS7PCIYKqI/s72-c/unnamed+(23).jpg)
Ally Fereji Tamim mgeni rasmi Zanzibar Beach Soccer Bonanza, Agosti 2
![](http://1.bp.blogspot.com/-zsoS9GwDsiE/U8BFL6GX2WI/AAAAAAAF1RI/xCS7PCIYKqI/s1600/unnamed+(23).jpg)
10 years ago
Dewji Blog05 Mar
Rais Kikwete kuwa mgeni rasmi Bonanza la Maveteran wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki, Aprili 4-5, mwaka huu
Mwenyekiti wa Klabu ya Maveteran, Mussa Kisoky (katikati) akizungumza na wandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa mkutano wao juu ya Bonanza hilo la Maveteran wa Afrika Mashariki hiyo Aprili 4 hadi 5, mwaka huu. Kushoto kwake ni Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi, Mtemi Ramadhani na kwa upande wa kulia ni, Lawarence Mwalusako, tukio lililofanyika katika ukumbi wa Idara habari MAELEZO, jijini Dar es Salaam (Picha na Andrew Chale).
Na Andrew Chale wa Mo dewji blog
RAIS wa Jamhuri ya...
11 years ago
Tanzania Daima15 Jul
Ally Fereji mgeni Zanzibar Beach Soccer Bonanza
TAASISI ya Mwangaza wa Burudani Zanzibar, maarufu kama Zanzibar Light Entertainment, Imemteua Rais mstaafu wa Chama cha Soka Zanzibar (ZFA), Ally Fereji Tamim, kuwa mgeni rasmi katika michuano ya soka...
11 years ago
GPLMAMA SHUJAA WA CHAKULA WAINGIA RASMI KIJIJI CHA MAISHA PLUS, PROFESA ANNA TIBAIJUKA MGENI RASMI KATIKA SHEREHE HIZO
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-__roV-ZxewA/XpgoLIUgx4I/AAAAAAALnJg/8C-8SeBuCBI3rDD-4464LcP5aVaWm-EYwCLcBGAsYHQ/s72-c/_111266929_corona.png)
MGENI, MGENII MGENI HUYU MGENI, ANAUA WAZEE, VIJANA MPAKA WATOTO
![](https://1.bp.blogspot.com/-__roV-ZxewA/XpgoLIUgx4I/AAAAAAALnJg/8C-8SeBuCBI3rDD-4464LcP5aVaWm-EYwCLcBGAsYHQ/s640/_111266929_corona.png)
Mgeni ulikua ni wimbo ambao ulimuelezea mgeni (Ukimwi) ambaye alikua ameingia kwa kasi nchini huku akiua watu kwa fujo. Wazee, Vijana hadi Watoto walikua wahanga wa mgeni huyu.
Sogea hapa; Mwishoni mwa mwaka jana, Desemba 31, 2019 watu walikesha wakifurahia kuuaga mwaka huo na kuukaribisha mwaka mpya wa 2020.
Watu...
10 years ago
Tanzania Daima04 Dec
Membe mgeni rasmi mahafali UB
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, Jumamosi ya wiki hii anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika mahafali ya pili ya Chuo Kikuu cha Bagamoyo (UB). Kwa...
9 years ago
Habarileo28 Sep
JK mgeni rasmi Tamasha la Amani
RAIS Jakaya Kikwete amekubali kuwa mgeni rasmi katika Tamasha la Kuombea Amani nchini litakalofanyika kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, Jumapili wiki hii. Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya tamasha hilo, Alex Msama, Rais Kikwete amekubali kuwa mgeni rasmi siku hiyo katika tamasha la kuombea amani Tanzania kuelekea katika Uchaguzi Mkuu mwezi ujao.