Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tanzania yaichapa Kenya -Beach Soccer .



Mpira wa Ufukweni timu ya Tanzania
Timu ya Taifa ya Tanzania ya Mpira wa Miguu wa Ufukweni (Beach Soccer) jana imeibuka na ushindi wa mabao 5- 3 ugenini dhidi wa wenyeji timu ya Taifa ya Kenya kwenye mchezo uliofanyika kwenye Uwanja wa fukwe za Hotel ya Big Tree Pirates jijini Mombasa.Katika mchezo huo mabao ya Tanzania yalifungwa na Ali Rabbi mabao manne na Mwalimu Akida bao moja .
Kipindi cha kwanza kilimazika kwa Tanzania kupata mabao 2 Kenya 1, kipindi cha pili kilimalizika Tanzania 4...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Tanzania kuikabili kenya beach soccer

Timu ya Taifa ya Tanzania ya mpira wa ufukweni imepangiwa kucheza na Kenya katika raundi ya kwanza ya michuano ya Afrika.

 

10 years ago

IPPmedia

Beach soccer national side to face Kenya


www.worldbulletin.net
Beach soccer national side to face Kenya
IPPmedia
The Tanzania national beach soccer team is set to fly today to Kenya ahead of their game against Kenya in the Africa Cup of Nations beach soccer qualifying stages first leg on Sunday in Nairobi. The Tanzania head coach, John Mwansasu, said in an ...
Tour operators advised to register vehicles in KenyaDaily News
East African Breweries report half year pretax profit up 12 per centCoastweek
Who's Making It Harder, Easier For...

 

11 years ago

Michuzi

ZANZIBAR BEACH SOCCER KUCHEZWA KENDWA ROCK'S HOTEL BEACH

Na Andrew ChaleTAASISI ya  Mwangaza wa buradani Zanzibar  (Zanzibar Light Entertainment ) ya mjini Unguja,  Zanzibar, Imemtangaza rasmi  Hotel ya Kendwa Rocks  kuwa eneo litakapofanyika  michuano m aalum ya soka la ufukweni  lijulikanayo kama  (Zanzibar Beach Soccer Championship Bonanza) linalotarajiwa kufanyika Agosti  Mbili mwaka huu.
Kwa mujibu wa taarifa yao hiyo  kwa vyombo vya habari, iliyotolewa na Mwandaaji wa michezo hiyo, Muslim Nassor ‘Jazzphaa’  ilieleza kuwa,  kamati ya...

 

11 years ago

BBCSwahili

Tanzania yaichapa Kenya 4-3

Timu ya taifa ya soka ya Tanzania chini ya umri wa miaka 20 imesonga mbele kuilaza Kenya kwa mikwaju ya Penalti 4-3

 

11 years ago

GPL

TIMU YA TAIFA YA VIJANA YA TANZANIA YAICHAPA KENYA

Timu ya taifa ya vijana ya Tanzania wenye umri wa miaka 20 wakishangilia baada ya kusonga mbele kwenye safari ya kufuzu Fainali za Kombe la mataifa baada ya kuilaza Kenya kwa mikwaju ya Penalti 4-3 kwenye mechi ya marudiano iliyochezwa kwenye uwanja wa taifa jijini Dar es Salaam siku ya…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Robo fainali Beach Soccer Dar kesho

MICHUANO ya mpira wa miguu wa ufukweni ‘Beach Soccer’ inayoendeshwa na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), ikishirikisha vyuo mbalimbali vya jijini Dar es Salaam imeingia hatua ya robo fainali. Robo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

DIT, CBE kucheza fainali ‘beach soccer’

FAINALI ya michuano ya soka ya ufukweni (Beach Soccer), kati ya Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT), na Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE), inatarajiwa kuchezwa kwenye ufukwe wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ally Fereji mgeni Zanzibar Beach Soccer Bonanza

TAASISI ya  Mwangaza wa Burudani Zanzibar, maarufu kama Zanzibar Light Entertainment, Imemteua Rais mstaafu wa Chama cha Soka  Zanzibar (ZFA), Ally Fereji Tamim, kuwa mgeni rasmi katika michuano ya soka...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani