Robo fainali Beach Soccer Dar kesho
MICHUANO ya mpira wa miguu wa ufukweni ‘Beach Soccer’ inayoendeshwa na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), ikishirikisha vyuo mbalimbali vya jijini Dar es Salaam imeingia hatua ya robo fainali. Robo...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima22 May
DIT, CBE kucheza fainali ‘beach soccer’
FAINALI ya michuano ya soka ya ufukweni (Beach Soccer), kati ya Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT), na Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE), inatarajiwa kuchezwa kwenye ufukwe wa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-X1MGYS4MSPs/VMUSvtWiJFI/AAAAAAAG_c8/fcMEv2KNPiQ/s72-c/Tanzania_FF_(logo).png)
ROBO FAINALI KOMBE LA TAIFA WANAWAKE KUANZA KESHO
![](http://4.bp.blogspot.com/-X1MGYS4MSPs/VMUSvtWiJFI/AAAAAAAG_c8/fcMEv2KNPiQ/s1600/Tanzania_FF_(logo).png)
Mechi ya kwanza ya robo fainali ya michuano hiyo itakayooneshwa moja kwa moja na Azam Televisheni itaanza saa 9 alasiri kwa kuzikutanisha Mwanza na Kigoma. Robo fainali ya pili ambayo ni kati ya Tanga na Pwani itaanza saa 11 kamili jioni.
Ilala na Iringa watacheza robo...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-jasBCUH8kA4/VbfYwwZkCwI/AAAAAAAHsUw/IWKCVudZj3g/s72-c/azam-yanga-aug17-2013.jpg)
AZAM, YANGA KUKIPIGA ROBO FAINALI YA KAGAME CUP KESHO, NANI KUIBUKA KIDEDEA??
![](http://2.bp.blogspot.com/-jasBCUH8kA4/VbfYwwZkCwI/AAAAAAAHsUw/IWKCVudZj3g/s640/azam-yanga-aug17-2013.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/i41PO2l4KKXEr7GxmT92TOmwfdpuaRqEGCqz7r5QijmDPQz68USgQzUSukSZbbNDFa5qxKjmUHFZkHUvp-8W6xNB85uWRHS9/robo2.jpg?width=750)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-CUA-A5T1Fz0/U8mFwzT0_sI/AAAAAAAF3kI/dGURx-gOthY/s72-c/unnamed+(22).jpg)
ZANZIBAR BEACH SOCCER KUCHEZWA KENDWA ROCK'S HOTEL BEACH
Kwa mujibu wa taarifa yao hiyo kwa vyombo vya habari, iliyotolewa na Mwandaaji wa michezo hiyo, Muslim Nassor ‘Jazzphaa’ ilieleza kuwa, kamati ya...
11 years ago
Tanzania Daima17 Feb
Matuta yatawala robo fainali Sekondari Dar
MASHINDANO maalumu yanayozikutanisha shule 12 za sekondari za jijini Dar es Salaam yameingia nusu fainali kwa staili ya aina yake baada ya timu zote zilizotinga hatua hiyo kushinda kwa changamoto...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-dxMtz2qcX6o/XlVDwRJphfI/AAAAAAALfZU/CmzMoR33AfMOnaZCOQqdu2fh37EuQn7wwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-25%2Bat%2B18.55.52.jpeg)
SIMBA YATANGULIA ROBO FAINALI HATUA YA ROBO FAINAL MICHUANO YA AZAM SPORT FEDERATION CUP
![](https://1.bp.blogspot.com/-dxMtz2qcX6o/XlVDwRJphfI/AAAAAAALfZU/CmzMoR33AfMOnaZCOQqdu2fh37EuQn7wwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-25%2Bat%2B18.55.52.jpeg)
TIMU ya soka ya Simba ya jijini Dar es Salaam imefanikiwa kuingia hatua robo faina ya michuano ya Azam Sports Federation CUP baada ya kuibuka na ushindi kwenye mchezo wao wa leo dhidi ya Stand United.
Mchezo kati ya timu ya Simba na Stand United umepigwa katika dimba la Kambarage Shinyanga na hadi mpira huo unamaliza timu hizo zilitoka sare ya bao 1-1 na hivyo kuingia hatua ya matuta.
Hatua hiyo ya matuta iliiwezesha Simba kushinda penalt 3 -2 ambapo kwa...
10 years ago
MichuziNYAMLANI MGENI RASMI MASHINDANO YA ROBO FAINALI YAKWANZA YA MTEMVU CUP, DAR