DIT, CBE kucheza fainali ‘beach soccer’
FAINALI ya michuano ya soka ya ufukweni (Beach Soccer), kati ya Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT), na Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE), inatarajiwa kuchezwa kwenye ufukwe wa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima09 May
Robo fainali Beach Soccer Dar kesho
MICHUANO ya mpira wa miguu wa ufukweni ‘Beach Soccer’ inayoendeshwa na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), ikishirikisha vyuo mbalimbali vya jijini Dar es Salaam imeingia hatua ya robo fainali. Robo...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-CUA-A5T1Fz0/U8mFwzT0_sI/AAAAAAAF3kI/dGURx-gOthY/s72-c/unnamed+(22).jpg)
ZANZIBAR BEACH SOCCER KUCHEZWA KENDWA ROCK'S HOTEL BEACH
Na Andrew ChaleTAASISI ya Mwangaza wa buradani Zanzibar (Zanzibar Light Entertainment ) ya mjini Unguja, Zanzibar, Imemtangaza rasmi Hotel ya Kendwa Rocks kuwa eneo litakapofanyika michuano m aalum ya soka la ufukweni lijulikanayo kama (Zanzibar Beach Soccer Championship Bonanza) linalotarajiwa kufanyika Agosti Mbili mwaka huu.
Kwa mujibu wa taarifa yao hiyo kwa vyombo vya habari, iliyotolewa na Mwandaaji wa michezo hiyo, Muslim Nassor ‘Jazzphaa’ ilieleza kuwa, kamati ya...
Kwa mujibu wa taarifa yao hiyo kwa vyombo vya habari, iliyotolewa na Mwandaaji wa michezo hiyo, Muslim Nassor ‘Jazzphaa’ ilieleza kuwa, kamati ya...
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2013/12/DSC_1821.jpg)
WATOTO 15 WATINGA FAINALI ZA SHINDANO LA "MO KIDS GOT TALENT 2013", FAINALI KUFANYIKA LEO JIONI LEDGER PLAZA - BAHARI BEACH
Lango kuu la kuingilia kwenye Hoteli ya Ledger Plaza Bahari Beach jijini Dar panapofanyika shindano kali la kusaka kipaji cha SUPA STAA wa watoto na vijana! la "MO Kids Got Talent 2013" Chief Judge wa Shindano la vipaji vya watoto na vijana wadogo la “MO Kids Got Talentâ€, Salma Mziray, akitoa maoni yake kwa baadhi ya washiriki walioingia semi finals za shindano hilo linalofanyika kwenye hotel ya Ledger Plaza...
10 years ago
Vijimambo17 Feb
Tanzania yaichapa Kenya -Beach Soccer .
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/01/14/150114141132_beach_soccer_512x288_bbc_nocredit.jpg)
Timu ya Taifa ya Tanzania ya Mpira wa Miguu wa Ufukweni (Beach Soccer) jana imeibuka na ushindi wa mabao 5- 3 ugenini dhidi wa wenyeji timu ya Taifa ya Kenya kwenye mchezo uliofanyika kwenye Uwanja wa fukwe za Hotel ya Big Tree Pirates jijini Mombasa.Katika mchezo huo mabao ya Tanzania yalifungwa na Ali Rabbi mabao manne na Mwalimu Akida bao moja .
Kipindi cha kwanza kilimazika kwa Tanzania kupata mabao 2 Kenya 1, kipindi cha pili kilimalizika Tanzania 4...
10 years ago
BBCSwahili14 Jan
Tanzania kuikabili kenya beach soccer
Timu ya Taifa ya Tanzania ya mpira wa ufukweni imepangiwa kucheza na Kenya katika raundi ya kwanza ya michuano ya Afrika.
10 years ago
Vijimambo16 Nov
BINGWA WA KUCHEZA NA PIKIPIKI "AWADUWAZA "WABONGO COCO BEACH
MWANAMICHEZO ambaye anacheza kwa kutumia pikipiki Bian Capper kutoka nchini Afrika kusini ametoa wito kwa watanzania kucheza mchezo huo ambao mbali ya kufurahisha pia unatumia akili na kukufanya uwe mkakamavu wakati wote.
Akizungumza jana kabla kuonesha umahiri huo mchezaji wa pikipiki ambaye ni raia wa Afrika Kusini anayefanya ziara katika nchi za Afrika kwa udhamini wa kinywaji cha Redbull atakuwa nchini kwa ziara za ya maonesho ya kuonesha namna ya kucheza na pikipiki kwa siku tatu.
Onyesho...
10 years ago
IPPmedia15 Feb
Beach soccer national side to face Kenya
www.worldbulletin.net
IPPmedia
The Tanzania national beach soccer team is set to fly today to Kenya ahead of their game against Kenya in the Africa Cup of Nations beach soccer qualifying stages first leg on Sunday in Nairobi. The Tanzania head coach, John Mwansasu, said in an ...
Tour operators advised to register vehicles in KenyaDaily News
East African Breweries report half year pretax profit up 12 per centCoastweek
Who's Making It Harder, Easier For...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania