Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tanzania yaichapa Kenya 4-3

Timu ya taifa ya soka ya Tanzania chini ya umri wa miaka 20 imesonga mbele kuilaza Kenya kwa mikwaju ya Penalti 4-3

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Tanzania yaichapa Kenya -Beach Soccer .



Mpira wa Ufukweni timu ya Tanzania
Timu ya Taifa ya Tanzania ya Mpira wa Miguu wa Ufukweni (Beach Soccer) jana imeibuka na ushindi wa mabao 5- 3 ugenini dhidi wa wenyeji timu ya Taifa ya Kenya kwenye mchezo uliofanyika kwenye Uwanja wa fukwe za Hotel ya Big Tree Pirates jijini Mombasa.Katika mchezo huo mabao ya Tanzania yalifungwa na Ali Rabbi mabao manne na Mwalimu Akida bao moja .
Kipindi cha kwanza kilimazika kwa Tanzania kupata mabao 2 Kenya 1, kipindi cha pili kilimalizika Tanzania 4...

 

11 years ago

GPL

TIMU YA TAIFA YA VIJANA YA TANZANIA YAICHAPA KENYA

Timu ya taifa ya vijana ya Tanzania wenye umri wa miaka 20 wakishangilia baada ya kusonga mbele kwenye safari ya kufuzu Fainali za Kombe la mataifa baada ya kuilaza Kenya kwa mikwaju ya Penalti 4-3 kwenye mechi ya marudiano iliyochezwa kwenye uwanja wa taifa jijini Dar es Salaam siku ya…

 

9 years ago

BBCSwahili

Kenya yaichapa Cape Verde, Rwanda yalazwa

Timu ya taifa ya Kenya Harambee Stars imeondoka na ushindi dhidi ya Cape Verde mechi ya kufuzu kwa Kombe la Dunia iliyochezewa Nairobi.

 

11 years ago

Michuzi

YANGA YAANZA LIGI YAICHAPA TANZANIA PRISONS 2-1

Mshambuliaji wa Yanga, Andrey Coutinho akitafuta mbinu za kuwatoka wachezaji wa Tanzania Prisons, Lauvian Mpalile (kushoto) na Jeremia Juma wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Yanga imeshinda 2-1. (Picha na Francis Dande) Mshambuliaji wa Yanga, Mrisho Ngasa akitafuta mbinu za kumtoka beki wa Tanzania Prisons, Lauvian Mpalile. Jaja akimtoka beki wa Prisons, Nurdin.
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA

 

11 years ago

Michuzi

kagera sugar yaichapa Tanzania prisons 2-1 leo bukoba

Kikosi cha Kagera Sugar
Na Faustine Ruta,  Bukoba Ligi Kuu Vodacom imeendelea leo na hapa Mjini Bukoba tukishuhudia Timu ya Maafande kutoka Jijini Mbeya ikinyukwa bao 2-1 na  wenyeji Kagera Sugar katika uwanja wa Kaitaba.  Kipindi cha kwanza Tanzania Prisons ndio walipata bao kupitia kwa mchezaji wao Peter Michael katika dakika ya 37 baada ya kuwachambua kama karanga mabeki wa Kagera Sugar na kuachia shuti kali na kumfunga kipa wa Kagera Sugar.  Mpaka dakika za mapumziko Tanzania Prisons...

 

10 years ago

Michuzi

KEYNOTE ADDRESS BY HIS EXCELLENCY JAKAYA MRISHO KIKWETE, PRESIDENT OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA, AT THE KENYA - TANZANIA BUSINESS FORUM IN NAIROBI, KENYA, 6TH OCTOBER 2015

KEYNOTE ADDRESS BY HIS EXCELLENCY JAKAYA MRISHO KIKWETE, PRESIDENT OF THE UNITED REPUBLIC OF

TANZANIA, AT THE KENYA - TANZANIA BUSINESS

FORUM IN NAIROBI, KENYA,

6THOCTOBER 2015


Ladies and Gentlemen;

I thank you President Uhuru Kenyatta for including this meeting in my itinerary and for what you have just said emphasizing the importance of promoting business relations between our two countries. I thank Mr. Kiprono Kittony the Chairman of the Kenya Chamber of Commerce and Industry for organising...

 

10 years ago

Michuzi

The African Development Bank Group Supports Power Trade between Kenya and Tanzania ADF USD 144.9 million Loan to Kenya — Tanzania Power Interconnection Project

The Board of Directors of the African Development Bank Group (AfDB) approved an African Development Fund (ADF) Loan of USD 144.9 million1, to Kenya - Tanzania Power Interconnection Project.
The project will allow the two countries to exchange power. In addition, the Kenya-Tanzania Interconnection Project plays an important role in promoting regional integration through power trade.
The project is expected to improve the supply, reliability and affordability of electricity in the...

 

10 years ago

Vijimambo

KENYA-TANZANIA BUSINESS FORUM ON OCTOBER 6, 2015 IN NAIROBI, KENYA IN PICTURES

 Executive Director of Tanzania Investment Centre Ms. Juliet Kairuki welcomes the President of Republic of Kenya H.E. Uhuru Kenyatta to the Forum

 President of the Republic of Kenya  H.E. Uhuru Kenyatta arrives at the venue of the Kenya-Tanzania Business Forum. He is escorted by Kenyan Minister of Industrialization and Enterprise Development

 Kenyan Minister of Industrialization and Enterprise Development and Managing Director of Intercontinental Hotel, Nairobi welcome the President of the...

 

10 years ago

Michuzi

KENYA-TANZANIA BUSINESS FORUM ON OCTOBER 6, 2015 IN NAIROBI, KENYA.


 Ms Juliet Kairuki , CEO of Tanzania Investment Centre welcomes President of the United Republic of Tanzania HE. Dr Jakaya  Kikwete

 Their Excellencies Dr. Jakaya Kikwete and Uhuru Kenyatta enter the conference room.
 President Jakaya Kikwete delivers his keynote address during the forum. Senior members of the Tanzanian delegation at the forum.Mrs Juliet Kairuki addressing the audience.For more CLICK HERE




 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani