Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Yanga 0 Etile du Sahel 1

Jerry Muro, msemaji mkuu wa Yanga katika ubora wake...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Yanga kukwaana na Etoile du Sahel

Wawakilishi wa Tanzania katika michuano ya vilabu ya kombe la Shirikisho barani Afrika watacheza na Etoile du Sahel ya Tunisia.

 

10 years ago

GPL

YANGA, ETOILE DU SAHEL NGUVU SAWA

Mshambuliaji wa Yanga, Mrisho Ngassa (kushoto) akijaribu kumtoka mchezaji wa Etoile Du Sahel wakati wa mechi yao ya Kombe la Shirikisho iliyopigwa Uwanja wa Taifa, Dar jana. Matokeo yalikuwa sare ya 1-1. Patashika wakati wa mchezo huo wa Kombe la Shirikisho uliomalizika kwa sare ya 1-1. Yanga…

 

10 years ago

BBCSwahili

Majeruhi Yanga kuikabili Etoile du Sahel

Mshambuliaji wa Yanga, Mbrazil Andrey Coutinho huenda akawa sehemu ya mchezo kati ya klabu yake na Etoile du Sahel ya Tunisia

 

10 years ago

BBCSwahili

Yanga yaifuata Etoile du Sahel Tunisia

Yanga ya Tanzania imeondoka Dar es Salaam kuelekea Tunisia kwa ajili ya mechi yao ya marudiano na Etoile du Sahel ,Jumamosi.

 

10 years ago

GPL

YANGA ILIVYOJIFUA LEO KUWAWINDA ETOILE DU SAHEL

Kocha Pluijm akimuelekeza jambo mshambuliaji, Danny Mrwanda Hassan Dilunga akimtoka Amissi Tambwe huku, Nizar Khalfan (kulia) akijiandaa kutoa msaada Daktari wa Yanga, Juma Sufiani, akimtibu kipa, Ally Mustapha ‘Barthez’…

 

10 years ago

Vijimambo

MTANANGE WA YANGA NA ETOILE DU SAHEL YA TUNISIA UWANJA WA TAIFA


Goli la kwanza la Yanga katika DK ya 2 tu ya mchezo lilifungwa kwa njia ya penati baada ya Msuva kufanyiwa madhambi ndani ya 18. Na naodha wa Yanga Canavaro akakwamisha wavuni mpira huo kama unavyoona golikipa Etoile akipishana nao na kudaka upepo.

Mchezaji wa Timu ya Etoile Du Sahel ya Tunisia, Bounedjah Baghdad akiangalia namna ya kuwatoka wachezaji wa Yanga, Mbuyu Twite na Amissi Tambwe wakati wa mchezo wa Kimataifa wa Kombe la Shirikisho unaoendelea kupigwa hivi sasa kwenye uwanja wa...

 

10 years ago

Michuzi

DRFA YAIPA MBINU YANGA KUINYOA ETOILE DU SAHEL

Kuelekea mchezo wa michuano ya kombe la shirikisho barani afrika kati ya Yanga dhidi ya Etoile Du Sahel ya Tunisia utakaopigwa jumamosi hii April 18 katika uwanja wa taifa,Chama cha soka mkoa wa Dar es salaam DRFA,kimeitabiria makubwa klabu hiyo ya Jangwani kuvuka katika kizingiti hicho kigumu kwa mchezo wa nyumbani na ugenini dhidi ya wababe hao wa Tunisia.
Mwenyekiti wa chama hicho Almasi Kasongo,amesema ili yanga ifanye vizuri katika mechi hiyo na kuwapa raha mashabiki wake na watanzania...

 

10 years ago

Mtanzania

Pluijm atamba Yanga kuweka historia kwa Etoile du Sahel

NA JUMA KASESA, TUNISIA
KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans van Der Plujim, ameapa kuiandikia historia timu hiyo kwa kuitoa timu ya Etoile du Sahel ya Tunisia katika michuano ya Kombe la Shirikisho barani Afrika.
Yanga iliyolazimishwa sare ya bao 1-1 katika mchezo wa awali uliopigwa jijini Dar es Salaam wiki mbili zilizopita, leo inavaana na timu hiyo katika mchezo wa marudiano wa raundi ya kwanza utakaofanyika katika Uwanja wa Olimpique de Sousse utakaoanza saa 3 usiku kwa saa za Afrika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani