Yanga Mfalme Ngao ya Jamii
Mbinu za mifumo na tambo za makocha Hans Pluijm na Stewart Hall vilishindwa kutoa mshindi ndani ya dakika 90 za mechi ya Ngao ya Jamii, ambayo Yanga iliitwaa kwa kulipa kisasi kwa Azam kwa mikwaju ya penalti 8-7.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/CWRwFfvur*CmgJiqo*TNY0j2sFvd6zhUfERTlPqI22I1gcvagUrUor1qcEOtc0rhMN7b52M2rxiNKMy3PoV-pvBcKoVMazQa/yangateam.jpg)
YANGA YAICHAPA AZAM 3-0, YATWAA NGAO YA JAMII
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-CXiHNLkoX9M/VA7lMyRE7hI/AAAAAAAGiOU/wHEV1rOpAAg/s72-c/TanzaniaFootballFederation.jpg)
KIINGILIO KATIKA MECHI YA NGAO YA JAMII KATI YA AZAM NA YANGA NI BUKU 5 TU!
![](http://1.bp.blogspot.com/-CXiHNLkoX9M/VA7lMyRE7hI/AAAAAAAGiOU/wHEV1rOpAAg/s1600/TanzaniaFootballFederation.jpg)
Mechi hiyo itaanza saa 10 kamili jioni, na kiingilio hicho cha sh. 5,000 ni kwa viti vya rangi ya kijani na bluu vitakavyochukua jumla ya watazamaji 36,000 katika uwanja huo wenye viti 57,558.
Viingilio vingine katika mechi hiyo ambayo itatumia tiketi za elektroniki ni sh. 10,000 kwa viti vya...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/edNtLJKyk8pSECSzxwjMoC81vRAZZu7JGmZY7qGDvwy34sNwlNldEWfBGMdiLgozRLzAXu6z2dMsWjqtcOBtg9ZlGW0VOR9h/NGAOYAHISANI.jpg)
NGAO YA JAMII NI KISASI TU
9 years ago
Habarileo19 Aug
Homa ya Ngao ya Jamii yapanda
HOMA ya pambano la ngao ya jamii zimezidi kupanda baada ya Yanga na Azam kurejea Dar es Salaam tayari kwa mechi hiyo itakayochezwa Jumamosi hii kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.
9 years ago
Mwananchi19 Aug
Ubora wanogesha Ngao ya Jamii
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9677Xpk6OnX4zS3baqSKld4P903Z2DGdBOiTBBA5-kROyijxUhWUNBTsh9xtip6XcsxHR6iauwnB-opIC4pKr2C6TWOibO8r/arsenal.jpg)
ARSENAL BINGWA NGAO YA JAMII
10 years ago
Mwananchi11 Sep
Coutinho kuikosa Ngao ya Jamii
9 years ago
Mtanzania22 Aug
Lazima wakae Ngao ya Jamii
NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
LAZIMA wakae! Hizo ndizo tambo za mashabiki, makocha wa timu za Azam na Yanga kuelekea mchezo wao wa kuwania Ngao ya Jamii utakaofanyika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam saa 10.00 leo jioni.
Mchezo huo wa aina yake ni kwa ajili ya kufungua pazia la Ligi Kuu ya Vodacom msimu wa 2015/16, utakaoanza rasmi Septemba 12, mwaka huu.
Kocha Mkuu wa Azam, Mwingereza Stewart Hall, amesema kuwa anataka kuendeleza rekodi yake ya kutwaa mataji mfululizo kwa kuifunga Yanga...
9 years ago
Habarileo21 Aug
Azam TV kuonesha mechi Ngao ya Jamii kesho
TELEVISHENI ya Azam ambayo ni mahiri kwa burudani itaonesha pambano la kukata na shoka la Ngao ya Jamii kati ya Yanga na Azam FC litakalofanyika kesho kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.