YANGA YAIFUNGA KHARTOUM YA SUDAN 1-0
Mshambuliaji wa Yanga, Amisi Tambwe akishangilia kwa staili ya aina yake baada ya kuifungia timu yake bao pekee katika mchezo wa Kombe la Kagame uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Kushoto ni mshambuliaji wa timu hiyo, Malimi Busungu. (Picha na Francis Dande).
Golikipa wa Khartoum ya Sudan, Mohamed Ibrahimakiokoa moja ya hatari langoni mwake.
Simon Msuva akichuana na beki wa Khartoum.
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili15 Jun
Bashir amewasili mjini Khartoum Sudan
10 years ago
StarTV16 Jun
Bashir awasili salama mjini Khartoum Sudan.
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/06/14/150614153539_omar_al-bashir_640x360_reuters.jpg)
Bashir amewasili mjini Khartoum Sudan
Rais Omar al Bashir wa Sudan amewasili mjini Khartoum Sudan kutoka nchini Afrika Kusini.
Rais Bashir amekariri kuwa hana hatia yoyote wala hajui kwa nini mahakama ya kimatiafa ya ICC inasisitiza kumchafulia jina.
Shirika la habari ya AFP limemnukuu rais Bashir akifoka ”Allah Akbar” aliposhuka kutoka kwa ndege iliyombeba.
Aidha aliinua mkongojo wake juu na kushangiliwa na wafuasi wake.
Waziri wa mambo ya nje wa Sudan Ibrahim Ghandour aliwaambia waandishi...
10 years ago
Radio Tamazuj21 Oct
Amum blames Kampala and Khartoum for interfering in S. Sudan politics
Radio Tamazuj
Radio Tamazuj
The former Secretary-General of the SPLM Pagan Amum Okich has accused Kampala and Khartoum of plotting to overthrow the Sudan People's Liberation Movement from government in South Sudan. In an interview with El Jareeda newspaper, the head of ...
South Sudanese Factions Meet for Peace TalksteleSUR English
Tanzanian leader meets S. Sudan rivalswww.worldbulletin.net
Warring S.Sudan leaders accept...
10 years ago
TheCitizen05 Nov
South Sudan’s Kiir in Khartoum for talks as civil war continues
10 years ago
TheCitizen26 Jul
Yanga confront Khartoum in battle for ‘second place’
10 years ago
MichuziYANGA YAIFUNGA AZAM FC 3-0
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Y00YmZzt_4M/VbOVie1PneI/AAAAAAAHryc/kAIBZkodLNw/s72-c/150401100137_yanga_team_512x288_bbc_nocredit.jpg)
YANGA NA KHARTOUM KUKIPIGA JUMAPILI HII UWANJA WA TAIFA
Mchezo huo unatarajiwa kuanza saa 10 kamili jioni, ambapo Yanga SC watashuka dimbani kusaka ushindi wake wa tatu mfululizo katika michuano hiyo, hali kadhalika timu ya Khartoum ikihitaji ushindi...
10 years ago
MichuziKOMBE LA KAGAME: YANGA YAIFUNGA KMKM 2-0
10 years ago
BBCSwahili07 May
Azam yaifunga Yanga yashika nafasi 2