Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


YANGA YAIFUNGA KHARTOUM YA SUDAN 1-0

Mshambuliaji wa Yanga, Amisi Tambwe akishangilia kwa staili ya aina yake baada ya kuifungia timu yake bao pekee katika mchezo wa Kombe la Kagame uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Kushoto ni  mshambuliaji wa timu hiyo, Malimi Busungu. (Picha na Francis Dande).
 Golikipa wa Khartoum ya Sudan, Mohamed Ibrahimakiokoa moja ya hatari langoni mwake. Simon Msuva akichuana na beki wa Khartoum.

BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Bashir amewasili mjini Khartoum Sudan

Rais Omar al-Bashir amewasili nchini Sudan kutoka Afrika Kusini licha ya mahakama nchini humo kutaka kumzuia hadi kesi dhidi yake isikizwe

 

10 years ago

StarTV

Bashir awasili salama mjini Khartoum Sudan.


Bashir amewasili mjini Khartoum Sudan

Rais Omar al Bashir wa Sudan amewasili mjini Khartoum Sudan kutoka nchini Afrika Kusini.

Rais Bashir amekariri kuwa hana hatia yoyote wala hajui kwa nini mahakama ya kimatiafa ya ICC inasisitiza kumchafulia jina.

Shirika la habari ya AFP limemnukuu rais Bashir akifoka ”Allah Akbar” aliposhuka kutoka kwa ndege iliyombeba.

Aidha aliinua mkongojo wake juu na kushangiliwa na wafuasi wake.

Waziri wa mambo ya nje wa Sudan Ibrahim Ghandour aliwaambia waandishi...

 

10 years ago

Radio Tamazuj

Amum blames Kampala and Khartoum for interfering in S. Sudan politics


Radio Tamazuj
Amum blames Kampala and Khartoum for interfering in S. Sudan politics
Radio Tamazuj
The former Secretary-General of the SPLM Pagan Amum Okich has accused Kampala and Khartoum of plotting to overthrow the Sudan People's Liberation Movement from government in South Sudan. In an interview with El Jareeda newspaper, the head of ...
South Sudanese Factions Meet for Peace TalksteleSUR English
Tanzanian leader meets S. Sudan rivalswww.worldbulletin.net
Warring S.Sudan leaders accept...

 

10 years ago

TheCitizen

South Sudan’s Kiir in Khartoum for talks as civil war continues

>South Sudan’s President Salva Kiir was in Khartoum for talks with his Sudanese counterpart on Tuesday after a new flare-up of fighting in his country’s 11-month civil war.

 

10 years ago

TheCitizen

Yanga confront Khartoum in battle for ‘second place’

Young Africans wind up their Kagame Cup Group A matches with a clash against Al Khartoum at the National Stadium today.

 

10 years ago

Michuzi

YANGA YAIFUNGA AZAM FC 3-0

Mshambuliaji wa Yanga Mrisho Ngasa, kushoto akimtoka  beki wa Azam FC, Erasto Nyoni katika mchezo wa Ngao ya Hisani uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Yanya imeshinda 3-0.  Kikosi kamili cha Yanga kilichoifunga Azam FC 3-0 katika mchezo wa Ngao ya Hisani leo. Kikosi cha Azam FC.

 

10 years ago

Michuzi

YANGA NA KHARTOUM KUKIPIGA JUMAPILI HII UWANJA WA TAIFA

 Hatua ya makundi ya michuano ya Vilabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati (Kagame Cup 2015) inatarajiwa kukamilika kesho jumapili kwa michezo miwili kupigwa uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam, huku macho na masikio ya wapenzi wa soka yakiwa katika mchezo kati ya Yanga SC dhidi ya Kahrtoum ya Sudan.
Mchezo huo unatarajiwa kuanza saa 10 kamili jioni, ambapo Yanga SC watashuka dimbani kusaka ushindi wake wa tatu mfululizo katika michuano hiyo, hali kadhalika timu ya Khartoum ikihitaji ushindi...

 

10 years ago

Michuzi

KOMBE LA KAGAME: YANGA YAIFUNGA KMKM 2-0

 Mshambuliaji wa Yanga, Donald Ngoma akimtoka beki wa KMKM, Khamis Ali Khamis wakati wa mchezo wa Kombe la Kagame uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Yanga imeshinda 2-0. Deus Kaseke akiwatoka wachezaji wa KMKM. Golikipa wa timu ya KMKM ya Zanzibar, Nassor Abdulla Nassor akiokoa moja ya hatari langoni mwake wakati timu yake ilipopambana na Yanga katika mchezo wa Kombe la Kagame.Donald Ngoma (kulia) akiwania na beki wa KMKM, Khamis Ali Khamis.Mashabiki wa Yanga...

 

10 years ago

BBCSwahili

Azam yaifunga Yanga yashika nafasi 2

Baada ya kuvuliwa ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara,Azam FC hatimaye imekata tiketi ya kucheza Kombe la Shirikisho Afrika mwakani,

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani