Bashir amewasili mjini Khartoum Sudan
Rais Omar al-Bashir amewasili nchini Sudan kutoka Afrika Kusini licha ya mahakama nchini humo kutaka kumzuia hadi kesi dhidi yake isikizwe
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV16 Jun
Bashir awasili salama mjini Khartoum Sudan.
Bashir amewasili mjini Khartoum Sudan
Rais Omar al Bashir wa Sudan amewasili mjini Khartoum Sudan kutoka nchini Afrika Kusini.
Rais Bashir amekariri kuwa hana hatia yoyote wala hajui kwa nini mahakama ya kimatiafa ya ICC inasisitiza kumchafulia jina.
Shirika la habari ya AFP limemnukuu rais Bashir akifoka ”Allah Akbar” aliposhuka kutoka kwa ndege iliyombeba.
Aidha aliinua mkongojo wake juu na kushangiliwa na wafuasi wake.
Waziri wa mambo ya nje wa Sudan Ibrahim Ghandour aliwaambia waandishi...
11 years ago
CloudsFM25 Jul
Mwanamke wa Sudan aliehukumiwa kifo kwa kuolewa na Mkristo amewasili Italia.
Huyu wa kwanza kushoto aliembeba mtoto ni Makamu wa waziri wa mambo ya nje ya Italy Lapo Pistelli
Kiongozi wa kanisa katoliki duniani Pope Francis Alhamisi ya July 24 2014 nchini Italia amekutana na Meriam mwanamke wa Sudan ambae alihukumiwa kunyongwa nchini Sudan kwa kosa la kuolewa na mume Mkristo mwaka 2011.
Meriam na watoto wake wawili akiwemo huyu wa mwisho aliezaliwa gerezani pamoja na mume wake ambae ni raia wa Marekani mwenye asili ya Sudan, waliwasili Italy wakiwa wameongozana na...
10 years ago
MichuziYANGA YAIFUNGA KHARTOUM YA SUDAN 1-0
Golikipa wa Khartoum ya Sudan, Mohamed Ibrahimakiokoa moja ya hatari langoni mwake. Simon Msuva akichuana na beki wa Khartoum.
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
10 years ago
Radio Tamazuj21 Oct
Amum blames Kampala and Khartoum for interfering in S. Sudan politics
Radio Tamazuj
Amum blames Kampala and Khartoum for interfering in S. Sudan politics
Radio Tamazuj
The former Secretary-General of the SPLM Pagan Amum Okich has accused Kampala and Khartoum of plotting to overthrow the Sudan People's Liberation Movement from government in South Sudan. In an interview with El Jareeda newspaper, the head of ...
South Sudanese Factions Meet for Peace TalksteleSUR English
Tanzanian leader meets S. Sudan rivalswww.worldbulletin.net
Warring S.Sudan leaders accept...
10 years ago
TheCitizen05 Nov
South Sudan’s Kiir in Khartoum for talks as civil war continues
10 years ago
BBCBashir re-elected Sudan leader
10 years ago
BBCSwahili21 Oct
Bashir kugombea tena urais Sudan
10 years ago
TheCitizen15 Jun
S.Africa bans Sudan’s al-Bashir from leaving
9 years ago
BBCSwahili15 Sep
Museveni na Bashir kuzungumza kuhusu Sudan K