Mwanamke wa Sudan aliehukumiwa kifo kwa kuolewa na Mkristo amewasili Italia.
Huyu wa kwanza kushoto aliembeba mtoto ni Makamu wa waziri wa mambo ya nje ya Italy Lapo Pistelli
Kiongozi wa kanisa katoliki duniani Pope Francis Alhamisi ya July 24 2014 nchini Italia amekutana na Meriam mwanamke wa Sudan ambae alihukumiwa kunyongwa nchini Sudan kwa kosa la kuolewa na mume Mkristo mwaka 2011.
Meriam na watoto wake wawili akiwemo huyu wa mwisho aliezaliwa gerezani pamoja na mume wake ambae ni raia wa Marekani mwenye asili ya Sudan, waliwasili Italy wakiwa wameongozana na...
CloudsFM
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili29 Jun
Sudan:Mwanamke mkristo bado yu taabani
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JHS5fnHuLYk6vS5fJZaHhW9o2TIaqhZCScN7bKObOnj2c34jrMTfuqrQq-a9*G8KS9u3VnbjNGGqrSe8RUZ2N3ZeWDQYr-ec/sudanpoliticalmap17976123.jpg?width=650)
MWANAMKE AHUKUMIWA KIFO, KUCHAPWA MIJELEDI 100 KWA KUBADILI DINI SUDAN
11 years ago
BBCSwahili27 May
Mwanamke aliyehukumiwa kifo Sudan ajifungua
11 years ago
BBCSwahili23 Jun
Mwanamke aliyehukumiwa kifo Sudan aponea
10 years ago
BBCSwahili15 Jun
Bashir amewasili mjini Khartoum Sudan
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JH0C62scBfA7sHKld8Fcrr2r5Tcct2RcmVmhXeD6kZrb4WxaD4w8A-1nECc7rHZqGyz8lWgKF*5D*sHwWSPFT3vCvJuliNGI/MeriamYahiaIbrahimIshag.jpg?width=650)
MWANAMKE ALIYEASI UISLAMU ASAFIRISHWA KWENDA ITALIA
11 years ago
BBCSwahili15 May
Mwanamke kunyongwa kwa kuasi dini Sudan
10 years ago
Mwananchi14 Jul
Dk Magufuli amewasili viwanja vya Zakhiem, Mbagala kwa ajili ya kutambulishwa rasmi
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dUBGrCUuK8R-KigMAM7C53u-3bP9sulWSSvmr5YnrE9ucnBYA1EJxv3-RV633i3OtbnpebY-MCORcxKYzn8u5*m2xk9B*Wyv/meriam.jpg)
MWANAMKE ALIYEHUKUMIWA KIFO AKAMATWA TENA