Sudan:Mwanamke mkristo bado yu taabani
Mawakili wa Meriam Ibrahim nchini sudan wamesema kuwa watawasilisha ombi mahakamani la kutaka mashtaka ya kughushi kuondolewa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
CloudsFM25 Jul
Mwanamke wa Sudan aliehukumiwa kifo kwa kuolewa na Mkristo amewasili Italia.
Huyu wa kwanza kushoto aliembeba mtoto ni Makamu wa waziri wa mambo ya nje ya Italy Lapo Pistelli
Kiongozi wa kanisa katoliki duniani Pope Francis Alhamisi ya July 24 2014 nchini Italia amekutana na Meriam mwanamke wa Sudan ambae alihukumiwa kunyongwa nchini Sudan kwa kosa la kuolewa na mume Mkristo mwaka 2011.
Meriam na watoto wake wawili akiwemo huyu wa mwisho aliezaliwa gerezani pamoja na mume wake ambae ni raia wa Marekani mwenye asili ya Sudan, waliwasili Italy wakiwa wameongozana na...
11 years ago
BBCSwahili23 Jun
Mwanamke aliyehukumiwa kifo Sudan aponea
11 years ago
BBCSwahili27 May
Mwanamke aliyehukumiwa kifo Sudan ajifungua
11 years ago
BBCSwahili17 Jun
Mazungumzo ya Sudan-K bado kizungumkuti
11 years ago
BBCSwahili15 May
Mwanamke kunyongwa kwa kuasi dini Sudan
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JHS5fnHuLYk6vS5fJZaHhW9o2TIaqhZCScN7bKObOnj2c34jrMTfuqrQq-a9*G8KS9u3VnbjNGGqrSe8RUZ2N3ZeWDQYr-ec/sudanpoliticalmap17976123.jpg?width=650)
MWANAMKE AHUKUMIWA KIFO, KUCHAPWA MIJELEDI 100 KWA KUBADILI DINI SUDAN
11 years ago
GPLMWANAMKE ALIYEMKWAPULIA 20,000/= MWANAMKE MWENZAKE ‘ATAITIWA’ DAR
11 years ago
GPLTUZO YA MWANAMKE BORA, HESHIMA YA KWELI YA MWANAMKE, PINDA NI MSOMI WA UWAZI