Yanga yashitakiwa kwa rais wa Zanzibar
![](http://api.ning.com:80/files/u325ipbpd7p9VyZBZvwm47uvdd9PG-jqMTD*ugRVmzxD2hstdfDj2HIIGejbVr7QR6vqvT3zIvt8Aqr5zpsYQsEnzlwgRsQ5/yangayashitakiwa.jpg?width=650)
Timu ya Yanga Fc. Na Sweetbert Lukonge TIMU ya Yanga huenda isialikwe tena katika Mashindano ya Kombe la Mapinduzi ambayo hufanyika kila mwaka kisiwani Zanzibar, kutokana na tabia yake ya kujitoa katika dakika za mwisho. Kamati ya Maandalizi ya Kombe la Mapinduzi imeamua kuishtaki Yanga kwa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar inayoongozwa na Rais wa Dkt Ali Mohamed Shein, ambayo ndiyo waratibu wakuu wa mashindano hayo....
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziBALOZI SEIF AFUNGUA MKUTANO KWA NIABA YA RAIS WA ZANZIBAR DK SHEIN, WA KUIMARISHA MASUALA YA USHIRIKIANO KATIKA AMANIUSALAMA NA MAENDELEO KWA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI UNAOFANYIKA ZANZIBAR
10 years ago
VijimamboBALOZI SEIF AFUNGUA MKUTANO KWA NIABA YA RAIS WA ZANZIBAR, DK. SHEIN WA KUIMARISHA MASUALA YA USHIRIKIANO KATIKA AMANI, USALAMA NA MAENDELEO KWA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI UNAOFANYIKA ZANZIBAR
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-q8XUDTlp8wU/XoyFypuRDxI/AAAAAAALmYA/2QAFrzlyKTkMcyR7SZkxRkq-UMgC6N4PwCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC1422AAA-768x413.jpg)
RAIS WA ZANZIBAR DK. SHEIN AONGOZA DUA YA KUMUOMBEA RAIS WA KWANZA WA ZANZIBAR MAREHEMU MZEE ABEID AMANI KARUME ILIOFANYIKA VIWANJA VYA AFISI KUU YA CCM ZANZIBAR
![](https://1.bp.blogspot.com/-q8XUDTlp8wU/XoyFypuRDxI/AAAAAAALmYA/2QAFrzlyKTkMcyR7SZkxRkq-UMgC6N4PwCLcBGAsYHQ/s640/DSC1422AAA-768x413.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/DSC1428AAAA-1024x609.jpg)
9 years ago
Dewji Blog26 Sep
Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Shein atoa mkono wa Eid El Hajj kwa wazee wa Welezo na Sebleni Zanzibar
9 years ago
VijimamboMKE WA RAIS WA ZANZIBAR MAMA MWANAMWEMA SHEIN ATOWA MKONO WA EID EL HAJJ KWA WAZEE WA WELEZO NA SEBLENI ZANZIBAR
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/--1_1Le5EjP0/U1zBS2HsAxI/AAAAAAAFdcM/5qStY5PxIBA/s72-c/unnamed+(32).jpg)
Balozi Mdogo wa Jamuhuri ya Watu wa China aliyepo Zanzibar awasilisha agizo la Serikali yake kwa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar
![](http://2.bp.blogspot.com/--1_1Le5EjP0/U1zBS2HsAxI/AAAAAAAFdcM/5qStY5PxIBA/s1600/unnamed+(32).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-TrC4TyHFPKQ/U1zBUAVpaVI/AAAAAAAFdcY/Ka-s_bPNpX0/s1600/unnamed+(33).jpg)
9 years ago
Habarileo07 Dec
UN –ICTR yashitakiwa Mahakama ya Kazi
WALIOKUWA wafanyakazi wa Mahakama ya Kimataifa ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda (UN –ICTR) ambayo imemaliza kazi zake hapa wameishtaki Mahakama hiyo kwenye Mahakama ya Kazi wakidai kutolipwa stahiki zao.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-TemWwfoAqKY/XlQH6QFicyI/AAAAAAALfL4/Ykttwhp5t5gC-lnMHjuxPBW6Jmc2st3kgCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC6355AA-1024x599.jpg)
RAIS WA ZANZIBAR DK.SHEIN AZUNGUMZA NA UONGOZI WA MAKAMU WA PILI WA RAIS WA ZANZIBAR IKULU
![](https://1.bp.blogspot.com/-TemWwfoAqKY/XlQH6QFicyI/AAAAAAALfL4/Ykttwhp5t5gC-lnMHjuxPBW6Jmc2st3kgCLcBGAsYHQ/s640/DSC6355AA-1024x599.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/DSC6357AA-1024x613.jpg)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Uongozi wa Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, katika mkutano wa uwasilishaji wa Taarifa ya Utekelezaji wa Mpango Kazi kwa Ofisi hiyo kwa kipindi cha mwezi wa Julai hadi Disemba 2019 /2020, uliofanyika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/DSC6365AA-1024x606.jpg)
10 years ago
VijimamboKMKM YA ZANZIBAR YACHAPWA BAO 1-0 KUTOKA KWA YANGA