Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


YEMI ALADE FT. SELEBOBO - TANGERINE (OFFICIAL VIDEO)

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

9 years ago

Africanjam.Com

VIDEO: YEMI ALADE - NA GODE ft. SELEBOBO (Official Video)



Published on Nov 4, 2015Yemi Alade finally premieres the music video for her smash hit "Na Gode" featuring Selebobo.
The gratitude preaching "Na Gode" is produced by the track's guest vocalist, and serves as the first and lead single of Yemi Alade's sophomore album christened "Mama Africa".

Special thanks to the National Commission of Refugees, Migrants and Internally Displaced Persons (NCFRMI), Nikki Laoye (Founder, Angel 4 Life Foundation/Celebrity Voice for NCFRMI South/West Zone), Mrs....

 

11 years ago

Bongo5

New Video: Yemi Alade wa Naija ampata ‘Johnny’! Mtazame katika video yake mpya ‘Tangerine’

Mwimbaji wa Nigeria Yemi Alade hana jina kubwa sana Tanzania, lakini video na wimbo wake wa ‘Johnny’ (I’m looking for my Johnny…questiion) umejipatia umaarufu mkubwa. Yemi ameachia video mpya ‘Tangerine’ ambayo ndani yake kamuonesha video model wa kiume muigizaji Alex Ekubo, ambaye kwenye video anaonekana amevaa jezi iliyandikwa ‘Johnny’ kwa nyuma. Hii inaunganisha maana ya […]

 

9 years ago

Bongo5

Video: Yemi Alade Feat. Selebobo — Na Gode

Yemi-Alade-Na-Gode-B-T-S-15

Msanii wa Kike kutoka Nigeria Yeami Alade ameachia video mpya wimbo unaitwa “Na Gode” amemshirikisha Selebobo

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Bongo5

Shilole aingia studio na producer wa Yemi Alade, Selebobo

Shilole na Selebobo

Staa wa muziki nchini, Shilole ameingia studio na producer wa hit single ya Yemi Alade (Johnny) Selebobo wa Nigeria kurekodi wimbo mpya.

Shilole na Selebobo

Shilole ambaye yupo nchini Nigeria, ameiambia Bongo5 kuwa kila kitu kimeenda sawa na usiku wa Jumamosi waliingia studio.

“Tunaingia leo (Jumamosi) usiku studio. Nimezungumza naye nimemwonesha ngoma zangu na ametokea kupenda kazi zangu, kwahiyo kwa kifupi mashabiki wangu wategemee mambo mazuri hasa hasa kolabo,” alisema.

Shilole amesema safari yake ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani