Yummies Bakery mabingwa wa kuoka mikate
Yummies Bakery ni mabingwa wa kuoka mikate mbalimbali, wakitumia kauli mbiu yao ya '' we bake to differ'' yaani tunatofautisha uokaji, kwa kuoka mikate bora kabisa na yenye ladha Nzuri; wapo Sinza Mori wanatizamana na kituo cha mafuta cha Big Bon , pia wana branches zao Masaki Chole Road Kituo cha Tax, Mwenge nyuma ya police post na Mbezi njia ya chini Kituo cha Msikitini, ukifika hapo utapata mikate mizuri ya brown , sweet breads, white breads, milk breads, maandazi , chapati , Pan Cakes,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Wells Journal14 Jan
Wells bakery assistant aims to raise £800
Wells Journal
Wells Journal
A BAKERY assistant is hoping to sell as many cakes as possible to help fund charity work in Tanzania. Katy Legg, who works at Parsons in Wells, is planning a ten week trip to the country volunteering with Raleigh International Citizen Service (ICS).
5 years ago
MichuziMagereza kuanzisha Kiwanda cha Mikate
11 years ago
Mwananchi15 May
Asilimia 96 ya mikate madukani haina ubora