Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Yummies Bakery mabingwa wa kuoka mikate

Yummies Bakery ni mabingwa wa kuoka mikate mbalimbali, wakitumia kauli mbiu yao ya '' we bake to differ'' yaani tunatofautisha uokaji, kwa kuoka mikate bora kabisa na yenye ladha Nzuri; wapo Sinza Mori wanatizamana na kituo cha mafuta cha Big Bon , pia wana branches zao Masaki Chole Road Kituo cha Tax, Mwenge nyuma ya police post na Mbezi njia ya chini Kituo cha Msikitini, ukifika hapo utapata mikate mizuri ya brown , sweet breads, white breads, milk breads, maandazi , chapati , Pan Cakes,...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Wells Journal

Wells bakery assistant aims to raise £800


Wells Journal
Wells bakery assistant aims to raise £800
Wells Journal
A BAKERY assistant is hoping to sell as many cakes as possible to help fund charity work in Tanzania. Katy Legg, who works at Parsons in Wells, is planning a ten week trip to the country volunteering with Raleigh International Citizen Service (ICS).

 

5 years ago

Michuzi

Magereza kuanzisha Kiwanda cha Mikate

 Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene akiongoza Kikao cha Makadirio ya Mapato, Matumizi na Miradi ya Maendeleo ya Jeshi la Magereza kilichofanyika leo katika Ukumbi wa Makao Makuu ya wizara, jijini Dodoma.Aliyesimama ni Mkuu wa Kitengo cha Mipango wa Jeshi la Magereza, Kamishna Msaidizi Mwandamizi, Ambayuu Kitiku.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Christopher Kadio, akizungumza wakati wa Kikao cha Makadirio ya Mapato,...

 

11 years ago

Mwananchi

Asilimia 96 ya mikate madukani haina ubora

Chakula anachokula mtu lazima kiwe na muda wa matumizi. Kutokuwa na tarehe ya ukomo wa kutumika ni kukiuka haki ya mlaji. Kama hiyo haitoshi ni lazima kiandaliwe katika mazingira mazuri na kukidhi viwango vya matumizi kwa mujibu wa sheria za nchi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani