Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ZIARA YA VIONGOZI WA TANZANIA NCHINI FINLAND

  Naibu Meya wa jiji la Helsinki nchini Finland akitoa maelezo kuhusu mradi wa ujenzi wa nyumba za kisasa wa Kalasatama nchini Finland kwa viongozi wa Tanzania walioko katika ziara ya mafunzo nchini humo iliyoandaliwa na taasisi ya Uongozi ya Tanzania  Baadhi ya majengokatikamji wakisasa wa Kalasatama nchini Fnland  Baadhi ya majengokatikamji wakisasa wa Kalasatama nchini Fnland
Baadhi ya viongozi wa Tanzania walipotembelea kanisa lilijengwa kwa mbao katika jiji la Helsiniki nchini...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Ziara ya Rais Kikwete nchini Finland na Sweden

fin (1)

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikutana na kufanya mazungumzo na Spika wa Bunge la nchi ya Finland Mhe Maria Lohela siku alipotembelea bunge la nchi hiyo.

fin (2)

fin (3)

fin (4)

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifanya mahojiano na wanahabari jijini Helsinki, Finland.

fin (5)

fin (7)

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akigonganisha glasi na Mari Kiviniemi, Waziri wa Masuala ya Nje wa Finland wakati wa dhifa iliyoandaliwa kwa hashima yake jijini Helsinki.

fin (8)

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na mabalozi wa sasa na wa zamani waliopata...

 

10 years ago

GPL

ZIARA YA RAIS KIKWETE NCHINI FINLAND NA SWEDEN‏

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikutana na kufanya mazungumzomna Spika wa Bunge la Finland Mhe. Maria Lohela siku alipotembelea bunge la nchi hiyo. Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifanya mahojiano na wanahabari jijini Helsinki, Finland.…

 

10 years ago

Michuzi

TASWIRA MBALIMBALI ZA ZIARA YA RAIS KIKWETE NCHINI FINLAND NA SWEDEN

  Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikutana na kufanya mazungumzomna Spika wa Bunge la nchi ya Finland Mhe Maria Lohela siku alipotembelea bunge la nchi hiyo. Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na mabalozi wa sasa na wa zamani waliopata kuiwakilisha Finland nchini Tanzania. Kulia ni Balozi wa Tanzania nchini humo, Balozi Dorah Msechu. Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na Spika wa Bunge la Sweden Mhe Urban Ahlin alipotembelea Bunge la nchi hiyo jijini Stockholm.

BOFYA HAPA KWA PICHA...

 

10 years ago

Michuzi

VIONGOZI WA TANZANIA WATEMBELEA KITUO CHA MAZINGIRA FINLAND

 Mtaalam wa mazingira na mabadiliko ya tabianchi kutoka kituo cha mazingira cha Finland akitoa maelezo kwa baadhi ya viongozi wa Tanzania kuhusu htu zinazochukuliwa na nchi hiyo katika kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi. Viongozi wa Tanzania wakiwemo mameya na wakurugenzi wa majiji sita ya Tanzania walioko nchini Finland kwa ziara ya mafunzo inayoratibiwa na taasisi ya Uongozi ya Tanzania wakipata maelezo kuhusu aina mpya ya gari inayoendeshwa kwa kutumia umeme iliyoko katika...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mabinti waliobeba Bendera ya Tanzania nchini Finland

KIKOSI cha FC Vito Malaika cha Ruangwa mkoani Lindi, kilichokuwa jijini Dar es Salaam tangu Mei 28, juzi Jumamosi Mei 31 kilikwea pipa kwenda jijini Helsinki, Finland, kushiriki michuano ya...

 

10 years ago

Michuzi

Mameya na Wakurugenzi wa majiji sita ya Tanzania ziarani nchini Finland

Mameya na Wakurugenzi wa majiji sita ya Tanzania walioko katika ziara ya mafunzo nchini Finland wakiwa katika picha ya pamoja na Naibu Meya wa jiji la Helsinki,Hannu Pentila muda mfupi baada ya viongozi hao kutembelea mradi wa ujenzi wa mji wa kisasa wa Kalasatama katika jiji hilo la Helsinki.Ujumbe wa Mameya na Wakurugenzi kutoka majiji sita ya Tanzania ukitembelea mradi wa ujenzi wa nyumba za kisasa katika mji wa Kalasatama jijini Helsiniki nchini Finland.Lisa Tervo kushoto kutoka Taasisi...

 

5 years ago

Michuzi

TANZANIA NA FINLAND ZAKUBALIANA KUSHIRIKIANA KATIKA KUONGEZA IDADI YA WATALII NCHINI

Charles James, Michuzi TV

SERIKALI za Tanzania na Finland zimekubaliana kushirikiana katika kukuza sekta ya utalii nchini pamoja na sekta zingine za kimaendeleo lengo likiwa ni kuinua uchumi wa Nchi.

Makubaliano hayo yamefanyika leo jijini Dodoma wakati wa kikao cha pamoja kati ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Prof Adolf Mkenda na Waziri wa Maendeleo na Ushirikiano wa Biashara, Ville Skinnari.

Akizungumza baada ya mazungumzo hayo ambayo pia yalihudhuriwa na Balozi wa Finland...

 

10 years ago

Michuzi

BALOZI WA FINLAND NCHINI TANZANIA AZINDUA KITUO CHA MSAADA KWA WAHANGA WA UKATILI

Mkurugenzi wa Shirika linalotoa msaada wa kisheria na elimu ya haki za binadamu mkoani Kilimanjaro(KWIECO) akimpokea Balozi wa Finland Tanzania Mh. Antila Sinikka aliyefika kwa ajili ya uzinduzi wa kituo cha msaada kwa wahanga wa ukatili wa kijinsia.Balozi wa Finland Tanzania Mh. Antila Sinikka akifurahia jambo mara wakati akitembelea majengo ya kituo cha msaada kwa wahanga wa ukatili wa kijinsia ambayo yamejengwa kwa ufadhili wa Serikali ya Finland kupitia wizara ya mambo ya nje ya nchi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani