Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ZITTO AMETUSALITI

Stori: Elvan Stambuli
Aliyekuwa Mbunge wa Kigoma Kaskazini kwa tiketi ya Chadema, Zitto Zuberi Kabwe ambaye ametangaza rasmi kuwania ubunge katika majimbo mengine, amelaumiwa na waliokuwa wapigakura wake waliodai amewaacha kwenye mataa, Uwazi Mizengwe limedokezwa. Aliyekuwa Mbunge wa Kigoma Kaskazini kwa tiketi ya Chadema, Zitto Zuberi Kabwe. Zitto ametangaza kwamba atagombea ubunge kwa tiketi ya chama cha ACT- Tanzania katika...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

‘Pandu Kificho ametusaliti’

>Mwenyekiti wa Muda wa Bunge la Katiba, Pandu Ameir Kificho amekiri kuwasilisha waraka kwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba iliyokuwa chini ya Jaji Joseph Warioba na kupendekeza Zanzibar na Tanganyika kuwa na mamlaka huru, hatua ambayo imezua malalamiko miongoni mwa makada wa chama hicho ambao wamesema huo ni usaliti.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani