Zogo lazuka Dodoma, wajumbe waita ripoti ya Kamati No. 1 ‘maoni binafsi’ [VIDEO]
>Zogo kubwa limezuka Bunge Maalum la Katiba wakati wa uwasilishaji wa taarifa za kamati baada ya mmoja wa wenyeviti wa kamati hizo kudaiwa kukiuka kanuni.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-3bzKPLX6190/VV8NG_VwHEI/AAAAAAAAcJE/F0wIFqer50A/s72-c/1.jpg)
WAJUMBE WA KAMATI KUU WAKIJIANDAA NA KIKAO MJINI DODOMA MUDA HUU
![](http://1.bp.blogspot.com/-3bzKPLX6190/VV8NG_VwHEI/AAAAAAAAcJE/F0wIFqer50A/s640/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-nKxENeh6x0o/VV8NDNNsRjI/AAAAAAAAcI0/I7s6F8JLCNU/s640/02.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-t8ox_btVq-k/VV8NFoAWPFI/AAAAAAAAcI8/C1xsOn2umdc/s640/03.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zbcSW1D04avcgh6M0qBRLOAFdeYwgA-2plQdfbzp97TY51y056DIJgLF*VtRIBt9jTKhwGZpoMoI8-lSPmxULWSHh-P5RaHd/1509271_692807107449953_8609817621912643102_n.jpg?width=650)
MAONI YA WAJUMBE 'WALIO WACHACHE' KATIKA KAMATI NAMBA NNE ILIYOWASILISHWA NA MHE. TUNDU LISSU!
UTANGULIZI
Mheshimiwa Mwenyekiti,
Sura ya Kwanza na Sura ya Sita ya Rasimu ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (‘Rasimu’) ndizo msingi ambao Rasimu yote imejengwa juu yao. Wakati Sura ya Kwanza inagusa suala la muundo wa Muungano katika ibara moja tu kati ya ibara tisa, Sura yote ya Sita inahusu ‘Muundo wa Jamhuri ya Muungano.’ Suala la Muungano na hasa Muundo wake limetawala mjadala wa...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Hf5ysjlPPxw/Uz3GcWWaSbI/AAAAAAAFYW0/S54GIoh1v-Y/s72-c/unnamed+(35).jpg)
WAJUMBE WA KAMATI MBALI MBALI ZA BUNGE WAENDELEA NA VIKAO MJINI DODOMA
![](http://3.bp.blogspot.com/-Hf5ysjlPPxw/Uz3GcWWaSbI/AAAAAAAFYW0/S54GIoh1v-Y/s1600/unnamed+(35).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-loLBUztLkd4/Uz3GhJP6G6I/AAAAAAAFYXE/mk-z3HATFNM/s1600/unnamed+(36).jpg)
11 years ago
Mwananchi24 Feb
Kamati #Bunge la #Katiba zaongezewa muda, wajumbe waonesha wasiwasi [VIDEO]
MWENYEKITI wa muda wa Bunge la Katiba, Pandu Ameir Kificho amesogeza mbele kuanza rasmi kwa vikao vya bunge hilo baada ya Kamati ya Kanuni kuomba kuongezewa muda zaidi kukamilisha kazi iliyopewa.
11 years ago
Mwananchi07 Mar
Kanuzi zazidi kutatiza wajumbe Bunge la Katiba, Kificho aipa Kamati jukumu la ‘kuleta maridhiano’ [VIDEO]
Mheshimiwa Kificho amejikuta katika wakati mgumu, akijaribu kuendesha Bunge lilotawaliwa na makundi yenye mitazamo tofauti.
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/f-MjeoJgNE4/default.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-lUyqF8qGHi4/XnJOZF1PTpI/AAAAAAALkWU/44bUxENF4zkOoMerw0RIqLyJmZpFFD3jgCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA%2B1.jpg)
KATIBU MKUU WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI AWAONGOZA WAJUMBE WA KAMATI YA BUNGE MAMBO YA NJE, ULINZI NA USALAMA KUPOKEA TAARIFA YA MRADI WA UJENZI MAKAO MAKUU YA NIDA JIJINI DODOMA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-lUyqF8qGHi4/XnJOZF1PTpI/AAAAAAALkWU/44bUxENF4zkOoMerw0RIqLyJmZpFFD3jgCLcBGAsYHQ/s640/PICHA%2B1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-jXtnJTM2doQ/XnJOZKxw_jI/AAAAAAALkWQ/jDWWERpQ8ogJRG12JhCm552lYV3rcZ1RQCLcBGAsYHQ/s640/PICHA%2B2.jpg)
5 years ago
MichuziKATIBU MKUU KADIO AWAONGOZA WATENDAJI WAKUU MAGEREZA KIKAO CHA KAMATI YA BUNGE YA MAMBO YA NJE, ULINZI NA USALAMA, WAJUMBE WAKAGUA UJENZI KIWANDA CHA USEREMALA, MSALATO DODOMA
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania