Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


129,716 watahiriwa Tabora

KAMPENI ya tohara ya wanaume mkoani Tabora imefanikiwa kuwafikia watu 129,716 na imeleta mwamko wa kipekee kwa wanaume licha ya kufanyiwa tohara wanapata nafasi ya kupatiwa ushauri nasaha na upimaji wa VVU, uchunguzi na tiba ya magonjwa ya ngono na ushauri kuhusu afya ya uzazi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Wanaume watahiriwa kuepuka Ukimwi

SERIKALI wilayani hapa inaendelea kuwafanyia tohara wanaume wasiotahiriwa ikiwa ni moja ya mikakati yake ya kuzuia kuongezeka kwa maambukizi mapya ya Ukimwi kwa wakazi wake.

 

11 years ago

Daily News

Accidents kill 129 people, injure 299 others in Singida


Accidents kill 129 people, injure 299 others in Singida
Daily News
A TOTAL of 129 people lost their lives in Singida Region and 299 others were injured due to various road accidents that occurred last year. Speaking on Saturday, Singida Regional Police Commander (RPC), Mr Geofrey Kamwela said that a total of 246 road ...

 

10 years ago

Mwananchi

KUELEKEA MAJIMBONI : Mkoa wa Tabora hali si nzuri kwa Ukawa majimbo ya Uyui, Tabora na Igalula

Wilaya ya Uyui ni moja kati ya wilaya saba za mkoa wa Tabora na inaundwa na kata 29, vijiji 156 na vitongoji 688. Kwa mujibu wa sensa ya watu na makazi ya mwaka 2012 wilaya hii ina jumla ya wakazi 396,623 kwa maana ya wanaume 196,446, wanawake 200,177 na kuna wastani wa watu 6.6 katika kila kaya.

 

5 years ago

Michuzi

Maji ya Ziwa Victoria Kufika Tabora sio ndoto tena, ni kweli tumeyaona- Wananchi wa Tabora



 Mkurugenzi wa Idara ya Usambazaji Maji, Wizara ya Maji Mhandisi Nadhifa Kemikimba akipanda katika tanki la maji la Ushirika wilayani Igunga kujionea kiwango cha msukumo wa maji. Tanki hilo lina uwezo wa kutunza maji lita milioni 2.5 na linatosha kuhudumia mji wa Igunga na pembezoni..Moja ya tanki la kuhifadhi maji kwa ajili ya huduma kwa wananchi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani