16 kushiriki fainali Miss Tabata June 6
![](http://3.bp.blogspot.com/-9kgAfEZS5c8/U4BYDENu_ZI/AAAAAAAFkt0/QUJ-Ja_IdAQ/s72-c/unnamed+(11).jpg)
WAREMBO wapatao 16 tu ndio watakaoshiriki kwenye kinyang’anyiro cha kumtafuta Miss Tabata 2014 ambalo limepangwa kufanyika Juni 6 katika ukumbi wa Da’ West Park.
Mratibu wa shindano hilo Joseph Kapinga alisema jana kuwa warembo hao wamepatikana baada ya kufanya mchujo iliyojumuisha warembo 40.
Kapinga aliwataja warembo watakaoshiriki kuwa ni Esther Frank Kiwambo (20), Mercy Mathias Kazula (19), Lydia Charles (22), Nuru Omary Athumani (19) na Happyclarrice Wilson Mbahi (19).
Wenine ni...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLTWANGA PEPETA WAKIFANYA VITU VYAO KWENYE FAINALI ZA MISS TABATA 2014
11 years ago
GPLMAANDALIZI YA MISS TABATA NDANI YA DA' WEST TABATA USIKU HUU
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-GvSu1e3kITI/Uv-9NuTQ1NI/AAAAAAAAM5k/x-IZL_dQO2E/s72-c/missTanzania.png)
MSHINDI WA MISS TANZANIA BEAUTY CONTEST USA 2014 KUSHIRIKI REDD'S MISS TANZANIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-GvSu1e3kITI/Uv-9NuTQ1NI/AAAAAAAAM5k/x-IZL_dQO2E/s1600/missTanzania.png)
MSHIRIKI LAZIMA AWE NA MAKARATASI YA KUSAFIRIA VENUES & REGISTRATION -DROPPING NEXT MAELEZO-TUANDIKIE ## MISSTANZANIA2014@GMAIL.COM
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-no_FQ1qwiKc/U2j3CgzlK_I/AAAAAAAFf7g/rIrJPTqhmCU/s72-c/unnamed+(8).jpg)
Miss Tabata kufanyika Juni 6
![](http://4.bp.blogspot.com/-no_FQ1qwiKc/U2j3CgzlK_I/AAAAAAAFf7g/rIrJPTqhmCU/s1600/unnamed+(8).jpg)
Shindano la kumtafuta Redds Miss Tanzania Tabata 2014 limepangwa kufanyika Juni 6 katika ukumbi wa Da’ West Park.
Mratibu wa Miss Tabata Joseph Kapinga alisema kuwa warembo 24 watachuana vikali kutaka kumrithi Dorice Mollel ambaye anashikilia taji hilo.
Dorice pia ndiye anayeshikilia taji la Redds Miss Ilala.
Kapinga alisema kuwa warembo hao wanaendelea kujifua katika ukumbi wa Da’ West kila siku kuanzia saa nane mchana chini ya...
11 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-GvSu1e3kITI/Uv-9NuTQ1NI/AAAAAAAAM5k/x-IZL_dQO2E/s1600/missTanzania.png?width=640)
KWA MARA YA KWANZA MSHINDI WA MISS TANZANIA BEAUTY CONTEST USA KWENDA BONGO KUSHIRIKI REDD'S MISS TANZANIA 2014!
11 years ago
Tanzania Daima24 May
Warembo 16 kuonyeshana kazi Miss Tabata
WAREMBO 16 wanatarajiwa kushiriki kwenye kinyang’anyiro cha kumtafuta Miss Tabata 2014 ambacho kimepangwa kufanyika katika Ukumbi wa Da’ West Park jijini Dar es Salaam Juni 6. Mratibu wa shindano hilo,...
11 years ago
Tanzania Daima04 Apr
Warembo 17 mazoezini Miss Tabata 2014
WAREMBO 17 wamejitokeza kushiriki shindano la kumtafuta Redd’s Miss Tabata 2014. Mratibu wa shindano hilo, Joseph Kapinga, alisema jijini Dar es Salaam jana kuwa, warembo hao wanaendelea na mazoezi katika...
11 years ago
GPLWASHIRIKI WA MISS TABATA 2014 JUKWAANI
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-NzQi1Ro_eo4/U0VdyPc2rKI/AAAAAAAFZfE/ueBdpd75hGI/s72-c/Misstabata.jpg)
Miss Tabata kutambulishwa Pasaka Da West
![](http://1.bp.blogspot.com/-NzQi1Ro_eo4/U0VdyPc2rKI/AAAAAAAFZfE/ueBdpd75hGI/s1600/Misstabata.jpg)
Warembo watakaoshiriki kwenye kinyang’anyiro cha kusaka malkia wa Tabata, Redds Miss Tabata 2014, watatambulishwa siku ya sikukuu Pasaka katika ukumbi wa Da West Park, Tabata.
Mratibu wa shindano hilo Joseph Kapinga amesema jana kuwa utambulisho huo utaenda sambamba na uzinduzi wa Miss Tabata 2014.
Kapinga alisema kuwa wapenzi wa urembo watapata fursa ya kuwaona warembo hao siku hiyo kabla ya kushiriki kwenye shindano la Redds Miss Tabata ambalo limepangwa kufanyika...