Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Miss Tabata kufanyika Juni 6

Washiriki wa Miss Tabata 2014 wakiwa kwenye pozi.
Shindano la kumtafuta Redds Miss Tanzania Tabata 2014 limepangwa kufanyika Juni 6 katika ukumbi wa Da’ West Park.
Mratibu wa Miss Tabata Joseph Kapinga alisema kuwa warembo 24 watachuana vikali kutaka kumrithi Dorice Mollel ambaye anashikilia taji hilo.
Dorice pia ndiye anayeshikilia taji la Redds Miss Ilala.
Kapinga alisema kuwa warembo hao wanaendelea kujifua katika ukumbi wa Da’ West kila siku kuanzia saa nane mchana chini ya...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

MISS IRINGA KUFANYIKA JUNI 20

Baadhi ya washiriki wa redds miss iringa wakiwa katika picha ya pamoja kabla ya mazoezi katika ukumbi wanakofanyia mazoezi hotel ya Gentle Hill iliyoko mkoani Iringa. 
Na Denis Mlowe,Iringa   HATIMAYE kinyang’anyiro cha kumsaka Redds Miss Iringa kinatarajia kufanyika Juni 20 mwaka huu baada ya aliyekuwa mratibu wa kwanza Mohamed Mcholeka kutoweka katika mazingira ya kutatanisha na kushindwa kufanyika Juni 6 kama lilivyopangwa mwanzoni na Tanzania Daima kuwa la kwanza kuripoti kuhusiana...

 

11 years ago

GPL

MAANDALIZI YA MISS TABATA NDANI YA DA' WEST TABATA USIKU HUU

Mabango ya Global Publishers ambao ni mojawapo ya wadhamini wa Miss Tabata 2014 yakiwa ndani ya Da' West, Tabata. Baadhi ya wananchi walioanza kuingia ukumbini kwa ajili ya kumshuhudia Miss Tabata 2014 usiku huu.…

 

10 years ago

Michuzi

TABATA KISIWANI WAJIANDAA NA SHEREHE ZA UBINGWA WA YANGA JUNI 16 MWAKA HUU.

Makamu Mwenyekiti waTabata Kisiwani (TBT),Brito Burure akizungumza na waandishi leo katika ukumbi wa Idara ya Habari MAELEZO , Jijini Dar es Salaam juu ya  Maandalizi ya Sherehe za ubingwa wa Timu ya Yanga itakayofayika Juni 16 katika Ukumbi wa Diamond Jubilee. Kulia ni Mweka hazina wa tawi hilo Lawrence Zephiline.Baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza Makamu Mwenyekiti waTabata Kisiwani (TBT),Brito Burure katika ukumbi wa idara ya habari Maelezo jijini Dar es Salaam.(PICHA NA...

 

11 years ago

Michuzi

Miss Tabata kutambulishwa Pasaka Da West

Na Mwandishi Wetu
Warembo watakaoshiriki kwenye kinyang’anyiro cha kusaka malkia wa Tabata, Redds Miss Tabata 2014, watatambulishwa  siku ya sikukuu Pasaka katika ukumbi wa Da West Park, Tabata.
Mratibu wa shindano hilo Joseph Kapinga amesema jana kuwa utambulisho huo utaenda sambamba na uzinduzi wa Miss Tabata 2014.
Kapinga alisema kuwa wapenzi wa urembo watapata fursa ya kuwaona warembo hao siku hiyo kabla ya kushiriki kwenye shindano la Redds Miss Tabata ambalo limepangwa kufanyika...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Warembo 16 kuonyeshana kazi Miss Tabata

WAREMBO 16 wanatarajiwa kushiriki kwenye kinyang’anyiro cha kumtafuta Miss Tabata 2014 ambacho kimepangwa kufanyika katika Ukumbi wa Da’ West Park jijini Dar es Salaam Juni 6. Mratibu wa shindano hilo,...

 

11 years ago

GPL

WASHIRIKI WA MISS TABATA 2014 JUKWAANI

Washiriki wa Miss Tabata 2014 wakiwa stejini ndani ya ukumbi wa Da' West, Tabata.…

 

11 years ago

Michuzi

16 kushiriki fainali Miss Tabata June 6

WAREMBO wapatao 16 tu ndio watakaoshiriki kwenye kinyang’anyiro cha kumtafuta Miss Tabata 2014 ambalo limepangwa kufanyika Juni 6 katika ukumbi wa Da’ West Park.
Mratibu wa shindano hilo Joseph Kapinga alisema jana kuwa warembo hao wamepatikana baada ya kufanya mchujo iliyojumuisha warembo 40.
Kapinga aliwataja warembo watakaoshiriki kuwa ni Esther Frank Kiwambo (20), Mercy Mathias Kazula (19), Lydia Charles (22), Nuru Omary Athumani (19) na Happyclarrice Wilson Mbahi (19).
Wenine ni...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Warembo 17 mazoezini Miss Tabata 2014

WAREMBO 17 wamejitokeza kushiriki shindano la kumtafuta Redd’s Miss Tabata 2014. Mratibu wa shindano hilo, Joseph Kapinga, alisema jijini Dar es Salaam jana kuwa, warembo hao wanaendelea na mazoezi katika...

 

11 years ago

GPL

TOP 5 MISS TABATA 2014 HII HAPA

Warembo walioingia Top 5 wakiwa katika pozi. Lemutuz akitangaza washindi walioingia Top 5.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani