Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MISS IRINGA KUFANYIKA JUNI 20

Baadhi ya washiriki wa redds miss iringa wakiwa katika picha ya pamoja kabla ya mazoezi katika ukumbi wanakofanyia mazoezi hotel ya Gentle Hill iliyoko mkoani Iringa. 
Na Denis Mlowe,Iringa   HATIMAYE kinyang’anyiro cha kumsaka Redds Miss Iringa kinatarajia kufanyika Juni 20 mwaka huu baada ya aliyekuwa mratibu wa kwanza Mohamed Mcholeka kutoweka katika mazingira ya kutatanisha na kushindwa kufanyika Juni 6 kama lilivyopangwa mwanzoni na Tanzania Daima kuwa la kwanza kuripoti kuhusiana...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Miss Tabata kufanyika Juni 6

Washiriki wa Miss Tabata 2014 wakiwa kwenye pozi.
Shindano la kumtafuta Redds Miss Tanzania Tabata 2014 limepangwa kufanyika Juni 6 katika ukumbi wa Da’ West Park.
Mratibu wa Miss Tabata Joseph Kapinga alisema kuwa warembo 24 watachuana vikali kutaka kumrithi Dorice Mollel ambaye anashikilia taji hilo.
Dorice pia ndiye anayeshikilia taji la Redds Miss Ilala.
Kapinga alisema kuwa warembo hao wanaendelea kujifua katika ukumbi wa Da’ West kila siku kuanzia saa nane mchana chini ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sasa Redd’s Miss Iringa Juni 20

HATIMAYE kinyang’anyiro cha kumsaka Redd’s Miss Iringa kinatarajia kufanyika Juni 20, baada ya aliyekuwa Mratibu wa kwanza, Mohamed Mcholeka kutoweka katika mazingira ya kutatanisha na kushindwa kufanyika Juni 6 kama...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bonanza la Bandari kufanyika TCC Juni 22

BONANZA lililopewa jina la ‘Bandari Bonanza’, linatarajiwa kufanyika, Juni 22, katika ukumbi wa Harbors Club, jijini Dar es Salaam. Kwa mujibu wa Mratibu wa Bonanza hilo, Rajab Mteta ‘KP’, Bonanza...

 

9 years ago

Bongo5

Miss World na Miss Universe kufanyika katika siku za kufuatana, Dec 19 na Dec 20

page

Mashidano ya urembo duniani, Miss World na Miss Universe yatafanyika katika siku zinazofuatana.

12298949_1716786988536951_639699071_n
Mwakilishi wa Tanzania kwenye shindano la Miss World 2015, Lilian Kamazima

Miss World itafanyika Jumamosi ya December 19 na Miss Universe Jumapili ya December 20. Miss World inafanyika huko Sanya, China wakati Miss Universe itafanyika Las Vegas nchini Marekani.

CUq5cM2XIAAqzqt.jpg large
Mwakilishi wa Tanzania kwenye shindano la Miss Universe 2015, Lorraine Marriott.

Katika Miss World, Tanzania inawakilishwa na Lilian...

 

10 years ago

Michuzi

TAMASHA LA HISTORICAL MARATHONI KUFANYIKA JUNI 14 MWAKA HUU.

Na Avila Kakingo,Globu ya Jamii.

WANANCHI jitokezeni katika kushiriki  tamasha la Bagamoyo historical Marathoni linatarajia kufanyika Juni 14 mwaka huu tamasha litakalo fanyika Wilaya Bagamoyo.


 Hayo yamesemwa na  Msemaji wa kampuni ya Vision Investiment Dominic Mosha wakati akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa Iadara ya Habari MAELEZO jijini Dar es Salaam leo.


Mosha alisema kuwa Tamasha la mwaka huu  litakuwa na kauli mbiu ya  “ANZA KUKIMBIA, UJIKINGE NA MAGONJWA...

 

10 years ago

Michuzi

UCHAGUZI MKUU WA TBA KUFANYIKA JUNI 10 MWAKA HUU.

Na Avila Kakingo, Globu ya Jamii.
Baraza la Michezo la Taifa (BMT) limesogeza mbele siku ya kufanya uchaguzi  wa Chama cha Mchezo wa Vinyoya Tanzania (TBA) ambapo unatarajiwa kufanyika Juni 10
mwaka huu katika ukumbi wa Baraza hilo.
Hayo yamesemwa na  Afisa habari Baraza la Michezo la Taifa (BMT) Najaha Bakari wakati akizungumza na Mwandishi wetu kwa Njia ya simu.
 Pia Najaha amesema kuwa Baraza hilo linaongeza muda wa kuchukua na kurudisha fomu za Uchaguzi wa Viongozi wa Chama cha Mchezo wa...

 

10 years ago

Michuzi

MASHINDANO YA BAISKELI KUFANYIKA JIJINI DAR JUNI 14 MWAKA HUU.

 Mkuu wa mashindano ya Baiskeli na Barozi wa Umoja wa Ulaya Filiberto Sebregondi akizungumza na waandishi wa habari leo (hawapo pichani)katika ukumbi wa mikutano wa Ubalozi wa Ulaya jijini Dar es Salaam leo. kushoto ni Mratibu wa Msafara wa Mkuu wa Operesheni ya umoja wa Ulaya, Eric Beaume.Naibu Mhamasishaji Mkuu wa Mfuko wa Fedha za Umoja wa Ulaya, Godlove Stephen akizungumza na waandishi wa habari hawapo hewani kuhusiana na mashindano ya baiskeli yatakayofanyika Juni 14 mwaka huu...

 

10 years ago

GPL

TAMASHA LA MICHEZO, AFYA KUFANYIKA JUNI 14 LEADERS JIJINI DAR

Mratibu wa tamasha hilo, Dimo Debwe Mitiki (katikati) na  Meneja wa Benki ya CRDB Bank ambao ndiyo wadhamini wa tamasha hilo, Leevan Maro (kushoto) na mratibu wa tamasha hilo, Josephine  Kayombo Mratibu  pia wa tamasha hilo. Rais wa shirikisho la Filamu Tanzania, Simon Mwakifwamba (wa pili kulia) akiwa katika picha ya pamoja.…

 

10 years ago

GPL

‘BAGAMOYO HISTORICAL MARATHON’ KUFANYIKA JUNI 14, 2015

Meneja wa huduma wa kampuni ya Vision Investment, Dorah Raymond (kushoto) na muandaaji wa tamasha, Dominic Mosha (katikati) akiwa na Fatma Mfundo (kulia). Meza kuu ikisikiliza maswali kutoka kwa wanahabari (hawapo pichani).…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani